Nakubaliana na wewe Babu.....kwanza heshima yako sanaaa
Nalia na wao kujisahau sana na kujiona kama wapo juu ya jamii hii....wanaishi kwa anasa...Kukosa adabu..wamejitengenezea class yao, kumbi za starehe na FM stations.......kumbe hawana fall back position!!!!!! Wakikwama kidogo tu vilio kutwa kucha kwa jamii hiyihiyo walioipa kisogo.
Kuna wangapi wanateketea kwa tatizo kama lake na hatuwajali?????
Sisi kama jamii tunafanya nini kwa ujumla wetu kwanusuru????
Huyu ni binadamu saaanaa kuliko hao walojazana Mirembe na Muhimbili achilia mbali vituo vya mabasi vilivyoajaa mateja.....huku mitaani ndo usiseme kwa sisi tunaokaa uswazi tu. Hivi lisingemkuta huyu mimi na wewe tungejadili hapa......why double standards among us???
Kwa hiyo kama ni approach iwe wholesome sio kwa huyu specifically...tatizo ni kubwa kuliko tunavyojadili hapa babu
JF inabidi muwe waelewa. Huyu Ray C kwao wanajiweza sana tu kuweza kumuhudumia, kinachofanyika hapa ni mashauzi classic yakujifanya na mimi au na sisi tulimchangiaga Ray C. Vituo vile havina gharama kubwa yeyote, tena vipo radhi kukusaidia free endapo unataka kuacha Unga. Wacheni ujinga wakusema watu hawana huruma. Hizi ni Shobomshoboko ambazo wa tz haswa maredio ya kise nge yanaleta, haswa pale m2 anapoumwa. Wao hawaangalii hata kama huyo m2 kwao wanajiweza wao wanatafuta sifa. Ray c anahitaji ushauri kwanza wa kuacha unga, then aanze kupewa ARVs.
Jaman tuseme huyu Ray C hana marafiki jaman wenye uwezo wa kchangia mpaka aombe watanzania, mtu aliekua maarufu namna ile jaman, wasanii wenzake alofanya nao kolabo, clouds fm mameneja na maproducer wa mhzik wake wote hao wameshinwa kumchangiatu wao, kuna watu wengine ambao hawana hata mtu wanafahiana nae mwenye uwezo hao ndio wanahitaj msaada wa watanzania
Betty Chalamila Mkwasa na Rehema Chalamila Ray C siyo ndugu, udugu wao ni wa Kiutanzania zaidi lakini siyo wadamu kutokana na majina yao, ingawaje wote wanatokea Kumnofu.nijuavyo mie Bety Mkwasa (DC) ni dada yake sasa kama hata DC kashindwa msaidia nduguye cye tutawezaje??? Bora kusaidia wagonjwa wa kansa kuliko huyu aliyekuwa anajua effect ya drugs lakini kwa misifa yake akaendelea kubwia.Hili ni fundisho kwa mastaa uchwara a bongo.... mnaringa tuu wakati hata akili ya maisha hamna.
Mimi personal nipo tayari kumchangia Ray c .Agent wake ni nani?.mtu anaeaminika afungue account tumchangia.She needs help .mimi personal nipo tayari
Nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu mkuu
Nilimsikia mama yake akitaja no za cmu clouds fm bt ckuwezazinote,sielewi kwann wasanii hawafanyi fundraising kumchangia pesa za matibabu,huu ubaguzi unachangia kurudisha maendeleo nyuma hapa tz! Imagine mtu anatoa 10 mil kama rambirambi kwa sm1 ambaye ni marehemu ila aliye hai hachangiwi, ama kwasababu ray c hawezi wapa political fame and capital? so sad
JF kuna watu wana roho.mbaya astaghafiruAllah ....