Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 228
Kuna wagonjwa kibao wanahitaji mchango wako wa hali na mali ili wapelekwe nje ya nchi kutibiwa, umeshawachangia wangapi, mpaka utake kumchangia mtu alojipachika ugonjwa?
Kamchangie Beatrice, yule dada wa kisarawe, mwenye mguu mkubwa hata kunyanyua hawezi, anahitaji Usd 27,000 ili akatibiwe india, mchango wako mdogo will make a big difference.
Kamchangie Beatrice, yule dada wa kisarawe, mwenye mguu mkubwa hata kunyanyua hawezi, anahitaji Usd 27,000 ili akatibiwe india, mchango wako mdogo will make a big difference.