Naombeni code nikipigiwa Simu nisipatikane

lipa kwanza madeni ya watu mkuu.
 
Acha uhuni. Unamficha nani na ili iweje?
 
Sidaiwi mkuu... Ni maswala ya mahusiano mzee
simu yako haina uwezo kublock mtu? binafsi mama mtoto wangu wa kambo alinisumbuaga sana nikawa nablock namba zake, akitumia hata ya rafiki yake nablock, zilipofika namba kama 10 hivo, akaacha kabisa kupiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…