mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
wewe ni freemason umepewa masharti usidinyane😂ingekua kabla 2020 sawa, sasa nyeto isha haribu mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni freemason umepewa masharti usidinyane😂ingekua kabla 2020 sawa, sasa nyeto isha haribu mambo
oyaa uzi uko Tech huu, utapelekwa MMU 🙄wewe ni freemason umepewa masharti usidinyane😂
lipa kwanza madeni ya watu mkuu.Habari za wakati huu,
Thread zangu napenda kuziweka huku sababu pako active kuliko majukwaa mengine.
Naombeni msaada wa code, nahitaji mtu fulani akinipigia nisipatikane, simdai hanidai ila sihitaji tu kuwasliana nae.
Mwenye anajua namna ya kufanya naomba unielekeze. Natanguliza shukrani.
Akitumia namba ingine ?Sitaki ajue nmemblock...nahtaj tu nisipatikane..niliwaza kubadili lain ila nkaona haitofaa kubadili no.coz ya mtu mmoja...
Shughulizake anafanyia Mabibo.Drake wa Mbande Sokoni
😅 😅 😅 😅Shughulizake anafanyia Mabibo.
Nambie mkali. 2_Chainz hapa. Nina Ban ila nina akaunt ya akiba😅 😅 😅 😅
Acha uhuni. Unamficha nani na ili iweje?Habari za wakati huu,
Thread zangu napenda kuziweka huku sababu pako active kuliko majukwaa mengine.
Naombeni msaada wa code, nahitaji mtu fulani akinipigia nisipatikane, simdai hanidai ila sihitaji tu kuwasliana nae.
Mwenye anajua namna ya kufanya naomba unielekeze. Natanguliza shukrani.
😅 😅 🤣 🤣 sasa mzee si wata merge IDs , maana wanasoma hapaNambie mkali. 2 Chainz hapa. Nina Ban ila nina akaunt ya akiba
Utaniona tu bado. Nilifunguaga nyingi mno maana nilijua shida kama hizi. We usijali utaendelea kuniona tena na tena mpaka ukamilifu wa dahali😅 😅 🤣 🤣 sasa mzee si wata merge IDs , maana wanasoma hapa
🤣 🤣 🤣 wata merge IPs mwishoniUtaniona tu bado. Nilifunguaga nyingi mno maana nilijua shida kama hizi. We usijali utaendelea kuniona tena na tena mpaka ukamilifu wa dahali
Nina simu tatu, sasa labda wanifate nilipo wakaniweke jela, ila humu we usihofu. Au nije na ID inasomeka Maksensi melo?🤣 🤣 🤣 wata merge IPs mwishoni
🤣 🤣 🤣 🤣 haya banaNina simu tatu, sasa labda wanifate nilipo wakaniweke jela, ila humu we usihofu. Au nije na ID inasomeka Maksensi melo?
🙆😬😬Am taken😂
Shukran mkuu✊
Sidaiwi mkuu... Ni maswala ya mahusiano mzeelipa kwanza madeni ya watu mkuu.
simu yako haina uwezo kublock mtu? binafsi mama mtoto wangu wa kambo alinisumbuaga sana nikawa nablock namba zake, akitumia hata ya rafiki yake nablock, zilipofika namba kama 10 hivo, akaacha kabisa kupiga.Sidaiwi mkuu... Ni maswala ya mahusiano mzee
Nataka nikae tu mbali nae asinipate kirahisi..Acha uhuni. Unamficha nani na ili iweje?
Inao, sema kumblock mtu waga naona ni udhaifu sanasimu yako haina uwezo kublock mtu?