Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 479
- 727
- Thread starter
-
- #21
Aminaaa japo mi mvivu Ila nkitaka kulala ntafanya ata ishara ya msalabaNdoto ya kweli Huwa inajirudia more than three times. Ninachoona hapo anacheza na psychology Yako tu kwa kwa sababu Fulani Fulani.
Hata hivyo ndoto za aina hiyo humaanisha upo katika vita Kali na roho zinazotaka kuondoa maisha Yako au at least kuharibu kabisa msingi wa maisha Yako iwe kiuchumi au kiafya.
Dawa yake ni Moja tu; FANYA maombi ya nguvu na kufunga Ili kuvunja roho hizo. Hilo ni lazima liende sambamba na kutengeneza ama kuweka vizuri mahusiano Yako na MUNGU.
Maombi na kufunga vifanyike SIKU 7.
Unataka kumaansha nn bossKupenda kupita kiasi ni kumkaribisha shetani
Wahitimu kutoka CubaAnataka liboro tu huyo kalimic
Sasa kumbe we mwenyewe mtabiri tayari?Exactly but sdhani ka ndoto imelenga mauti kweli japo hakuna kinachoshindkana..
Ni kweli lakini Si vifo vyote vimepangwa na mungu ndio maana unaoneshwa kupitia ndoto ili uombeIlhali umezaliwa,mauti ni lazima.....kukataa kitu ambacho lazima utakutana nacho ni kuchosha akili
Ooooh sawaNi kweli lakini Si vifo vyote vimepangwa na mungu ndio maana unaoneshwa kupitia ndoto ili uombe
Kufa na ndoa mbn avishabiiani au swala la kubeba mauaSasa kumbe we mwenyewe mtabiri tayari?
Anyways niliwahi ambiwa na mzee mmoja wa makamu ukiota harusi Ni ishara ya msiba,Sasa sijui vice versa yake itakuwa ni harusi?Kama ni hivyo basi kaota ndoa yenu
Siwezi kufa mkuu..Ukiamini unakufa kweli mkuu!
🤣🤣🤣🤣eeh basi jitabirie mwenyewe,maana sisi tunakupigia ramli unabisha,basi tuambie wewe unahisi Nini kwenye hii ndoto?Kufa na ndoa mbn avishabiiani au swala la kubeba maua
demu wako ni amplifierKwann mkuu
Kama lugha inapanda Vizuri...Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti.
Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza kwa asilimia 80%.
Leo asubuhi mapema nlipoamka baada ya Salam alinitumia ujumbe kuwa ameota nimekufa na alikuwa anapeleka maua kwenye kaburi langu.
Imenishtua hivyo naombeni mnisaidie code za hii ndoto ya bibie juu yangu. Natanguliza shukrani.
View attachment 2594332
Shukran sanKama lugha inapanda Vizuri...
Kuna Mtandao wanatafasiri ndoto...
Lakini ndoto unayoota wewe ndo ya kuzingatia.... siyo ya kuotewq... inaweza Kuwa anakudanganya Tu
Ni wabobezi na wajuzi wa Unajimu... wametemgeneza kama Artificial intelligence System.
Ingia hapa jaribu kuangalia...
dreaminterpreter.ai
Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti.
Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza kwa asilimia 80%.
Leo asubuhi mapema nlipoamka baada ya Salam alinitumia ujumbe kuwa ameota nimekufa na alikuwa anapeleka maua kwenye kaburi langu.
Imenishtua hivyo naombeni mnisaidie code za hii ndoto ya bibie juu yangu. Natanguliza shukrani.
View attachment 2594332