Naombeni code za hii ndoto

Naombeni code za hii ndoto

Ndoto ya kweli Huwa inajirudia more than three times. Ninachoona hapo anacheza na psychology Yako tu kwa kwa sababu Fulani Fulani.

Hata hivyo ndoto za aina hiyo humaanisha upo katika vita Kali na roho zinazotaka kuondoa maisha Yako au at least kuharibu kabisa msingi wa maisha Yako iwe kiuchumi au kiafya.

Dawa yake ni Moja tu; FANYA maombi ya nguvu na kufunga Ili kuvunja roho hizo. Hilo ni lazima liende sambamba na kutengeneza ama kuweka vizuri mahusiano Yako na MUNGU.

Maombi na kufunga vifanyike SIKU 7.
Aminaaa japo mi mvivu Ila nkitaka kulala ntafanya ata ishara ya msalaba
 
Exactly but sdhani ka ndoto imelenga mauti kweli japo hakuna kinachoshindkana..
Sasa kumbe we mwenyewe mtabiri tayari?
Anyways niliwahi ambiwa na mzee mmoja wa makamu ukiota harusi Ni ishara ya msiba,Sasa sijui vice versa yake itakuwa ni harusi?Kama ni hivyo basi kaota ndoa yenu
 
Ilhali umezaliwa,mauti ni lazima.....kukataa kitu ambacho lazima utakutana nacho ni kuchosha akili
Ni kweli lakini Si vifo vyote vimepangwa na mungu ndio maana unaoneshwa kupitia ndoto ili uombe
 
Sasa kumbe we mwenyewe mtabiri tayari?
Anyways niliwahi ambiwa na mzee mmoja wa makamu ukiota harusi Ni ishara ya msiba,Sasa sijui vice versa yake itakuwa ni harusi?Kama ni hivyo basi kaota ndoa yenu
Kufa na ndoa mbn avishabiiani au swala la kubeba maua
 
Na ukifanya masihara utakufa kweli hakika na kuambia...shetani yupo karibu sana na huo ugomvi wenu
 
Ndoto za kifo most of times ni kinyume chake ....ina maana utaishi miaka mingi
 
Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti.

Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza kwa asilimia 80%.

Leo asubuhi mapema nlipoamka baada ya Salam alinitumia ujumbe kuwa ameota nimekufa na alikuwa anapeleka maua kwenye kaburi langu.

Imenishtua hivyo naombeni mnisaidie code za hii ndoto ya bibie juu yangu. Natanguliza shukrani.

View attachment 2594332
Kama lugha inapanda Vizuri...
Kuna Mtandao wanatafasiri ndoto...

Lakini ndoto unayoota wewe ndo ya kuzingatia.... siyo ya kuotewq... inaweza Kuwa anakudanganya Tu

Ni wabobezi na wajuzi wa Unajimu... wametemgeneza kama Artificial intelligence System.

Ingia hapa jaribu kuangalia...

dreaminterpreter.ai
 
Kama lugha inapanda Vizuri...
Kuna Mtandao wanatafasiri ndoto...

Lakini ndoto unayoota wewe ndo ya kuzingatia.... siyo ya kuotewq... inaweza Kuwa anakudanganya Tu

Ni wabobezi na wajuzi wa Unajimu... wametemgeneza kama Artificial intelligence System.

Ingia hapa jaribu kuangalia...

dreaminterpreter.ai
Shukran san
 
Bibie ameonyeshwa kwamba yeye hatokua na wewe tena kimahusiano hivyo naweza kusema penzi Lenu litakufa ila bibie ndiye atakayekua anakukumbuka sana( atakua anamis uwepo wako)
 
Kwanini uzae na mwanamke halafu hujamuoa? Ninyi ndio mna produce single mothers. Bora hata alivyoota.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti.

Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili tatu nyuma nlikua nmetibuana nae ijapo sikuonyesha kwake ka amenikwaza Ila mawasliano nlipunguza kwa asilimia 80%.

Leo asubuhi mapema nlipoamka baada ya Salam alinitumia ujumbe kuwa ameota nimekufa na alikuwa anapeleka maua kwenye kaburi langu.

Imenishtua hivyo naombeni mnisaidie code za hii ndoto ya bibie juu yangu. Natanguliza shukrani.

View attachment 2594332

Wenye majina ya Mary wanakuwaga watata watata sana na asilimia kubwa hawawezagi kuishi na Mwanaume.😅😅😅
 
Back
Top Bottom