beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Ni kweli hakucheza kwa sababu alikuwa mgonjwa lakini alichaguliwa na Team Durant.Draymond hakuwepo na utaratibu huu haukuanza 2022..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hakucheza kwa sababu alikuwa mgonjwa lakini alichaguliwa na Team Durant.Draymond hakuwepo na utaratibu huu haukuanza 2022..
sio washabiki ni mashabikiNapenda kikapu(NBA) sana sema Tanzania haina hata washabiki
Goodsio washabiki ni mashabiki
Uhakika mkuu,,Nashukuru kwa ufafanuzi bomba..ntakutafuta dingii,,me nipo Kijengejuu ukukwanza kuchezea East au West haihusishi kuzaliwa upande gani wa Marekani (na wala haijawahi kuwa hivyo)..
East na West All Star Teams zinawakilisha wachezaji nyota wa msimu husika mpaka kipindi hicho toka katika kanda hizo(Mashariki na Magharibi au wenyewe wanaziita Conferences).Kuna utaratibu wa kupata hao wachezaji,ikiwepo kupigiwa kura na mashabiki,Makocha ...
Katika kuboresha huu mfumo ndio wakaja na wachezaji nyota watakaopatikana kwa kanda zote mbili ,watakaoongoza kura katika kila upande watakuwa makapteni na kisha kila mmoja kuchagua timu yake(kwa mfumo wa draft)bila kuzingatia Ukanda..
Natumai nimekupa picha kidogo..
Kama kweli unapenda Nba na unahitaji mtu wa kulonga nae,nicheki,napatikana A-town.
Kweli maana hata Role model wangu Ja12 (Morant) kachezea East wakati Memphis Grizzlies ipo westkwanza kuchezea East au West haihusishi kuzaliwa upande gani wa Marekani (na wala haijawahi kuwa hivyo)..
East na West All Star Teams zinawakilisha wachezaji nyota wa msimu husika mpaka kipindi hicho toka katika kanda hizo(Mashariki na Magharibi au wenyewe wanaziita Conferences).Kuna utaratibu wa kupata hao wachezaji,ikiwepo kupigiwa kura na mashabiki,Makocha ...
Katika kuboresha huu mfumo ndio wakaja na wachezaji nyota watakaopatikana kwa kanda zote mbili ,watakaoongoza kura katika kila upande watakuwa makapteni na kisha kila mmoja kuchagua timu yake(kwa mfumo wa draft)bila kuzingatia Ukanda..
Natumai nimekupa picha kidogo..
Kama kweli unapenda Nba na unahitaji mtu wa kulonga nae,nicheki,napatikana A-town.
Umewaona hao Team Lebron(West)??..Haya Hao waliosimama niambie huyo wa 4 ni nani??Mazee Labda humjui Gianis...hiyo picha nimetazama sijakuona...labda niambie hii ni all Star ya lini?..Kama ya mwaka huu nilitazama game alichezea east
Et ooh nipo na makamu wa Rais sasa haya yanahusika vip hapa ujuaji + ulimbukeniMim nimemuelewa acha uchawi.we sema sijui inatosha