Ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 na elimu ya kidato cha sita. Nilichaguliwa kusoma chuo cha IFM kampasi ya Dar es Salaam. Mwaka jana nilisitisha masomo baada ya kupungukiwa na ada. Ninatafuta kazi yoyote na ninaishi Kigamboni, Dar es Salaam.
Niko tayari kufanya kazi kwa bidii na kujifunza mambo mapya. Nina uwezo mzuri wa mawasiliano na ninaweza kufanya kazi katika mazingira mbalimbali.
Ikiwa una nafasi ya kazi au unamjua mtu anayeweza kunisaidia, tafadhali wasiliana nami nipate japo ada ya chuo ili mwezi wa kumi na moja na mimi niendelee na masomo kwa maana nilisitisha tangu mwaka jana semester ya kwanza (Mwezi wa tatu)
Niko tayari kufanya kazi kwa bidii na kujifunza mambo mapya. Nina uwezo mzuri wa mawasiliano na ninaweza kufanya kazi katika mazingira mbalimbali.
Ikiwa una nafasi ya kazi au unamjua mtu anayeweza kunisaidia, tafadhali wasiliana nami nipate japo ada ya chuo ili mwezi wa kumi na moja na mimi niendelee na masomo kwa maana nilisitisha tangu mwaka jana semester ya kwanza (Mwezi wa tatu)