Naombeni kujua jamani

Acha kufanya watu wajinga! Ww ni mwanaume mara utumie "jomoni" mara "jamani" inaonekana unafake mambo kabisa👎👎 unamfahamu xavierjerry ?? Huyu amejiunga jana na tayari amekufollow?😂😂 au umeamua kufollow ID yako nyingine?
Acha wadau wenye njaa ya Fisi wakakutane na Kia la Nyati huko PM Mimi simo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…