glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Hakikisha master bedroom haikai jirani na vyumba vingine vya kulalaWakuu mambo vipi.
Nina ramani ambayo nimeandaa kwa ajili ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu.(1 master bedroom + 2 normal rooms).
Nyumba itapauliwa kwa mtindo wa Hidden Roof a.k.a contemporary
Naombeni mawazo yenu juu ya hii ramani.
- Nini cha kuboresha?
- Nini kimekosewa/hakijakaa sawa?
- Nini cha kurekebisha?
- Nini niondoe/nipunguze?
Nimeambatanisha hapa chini ramani yenyewe.
View attachment 2521843
Utakuja kunishukuru baadae
Masta ikae kona nyingine huko for privacy purpose kama vile simu, ugomvi mdogo mdogo na yale mambo
Otherwise uweke milango ambayo haitaruhusu sauti kupenya