Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,302
- 2,473
Still your in assumption cause from the start hajagusia budget ameongelea ramani so we were free to put our suggestion from our exprience. Kama ushauri wako ulijali budget fine mpe huo. Wengine tulibase on essentials in moden house. Kama una uharaka wa kuishi kwako kwa budget ndogo sawa ingawa mi sikuona kama ameomba based on budget.Kuongeza ukubwa wa chochote ni kuongeza maradufu gharama ya ujenzi. Hata kama ungekuwa na kiwanja cha 400sqm kama budget yako haitoshi huwezi kufanya kitu. Ungeuliza kwanza kama mhusika ana "unlimites budget" ndio utoe ushauri wako huo.
Jamaa yangu tulianza nae ujenzi mwaka 2016 yeye akajenga mjengo mkubwa balaa (hiyo veranda mzunguko wake pekee ni hatari na inatakiwa kumiminwa) mimi nikajenga simple/standard family house, mwaka 2017 nikahamia kwangu. Yeye mpaka leo lile jumba lake halijaisha (tunakaribia kuliita gofu/pagale) na bado amepanga mpaka leo.
Pili si kweli kwamba ukifanya adjustment za dimension una double cost unless uniambie neno double limebadilishwa maana! Unaweza kuongeza ukubwa kwa kuondoa visivyo na umuhimu ndio maana ya review and dedactions. So usimtishe kwa uzoefu wako mmoja wa huyo rafiki yako. Wengine pia tuliwahi kufanya site adjustment na tunavijumba vyetu kadhaa.