Mkuu hao watoto SI wanakua, kinatosha kama utaweka kitandaa pekee bila kabatiSawa mkuu, ila naomba kuuliza.
Vyumba vya 3*3 kwa watoto chini ya miaka 10 ni vyumba vidogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hao watoto SI wanakua, kinatosha kama utaweka kitandaa pekee bila kabatiSawa mkuu, ila naomba kuuliza.
Vyumba vya 3*3 kwa watoto chini ya miaka 10 ni vyumba vidogo?
Wsitting room mbona dirisha upande mmoja tuu?Wakuu mambo vipi.
Nina ramani ambayo nimeandaa kwa ajili ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu.(1 master bedroom + 2 normal rooms).
Nyumba itapauliwa kwa mtindo wa Hidden Roof a.k.a contemporary
Naombeni mawazo yenu juu ya hii ramani.
- Nini cha kuboresha?
- Nini kimekosewa/hakijakaa sawa?
- Nini cha kurekebisha?
- Nini niondoe/nipunguze?
Nimeambatanisha hapa chini ramani yenyewe.
View attachment 2521843
Point zako 6 za nguvu nimezichukua mkuu, nazifanyia kaziHongera sana mkuu. Mimi naweza kusema haya kwanza:
1. Storage. Vyumbani weka au onyesha makabati ya nguo yatakuwa wapi. Kama watoto wakiwa wakubwa wataweza kusoma chumbani? Je wataweza kuwa na meza za kusomea na kufanyia hobbies zao kama coding na nyinginezo?
2. Sink za kuosha mikono. Sidhani kama unahitaji sink nje ya public bathroom kama ndani ipo pia.
3. Public bathroom ni nyembamba sana na siyo sawa sana kuwa na shower katikati ya sink na choo, yaani mtu anavuka maji kufika chooni. Ukienda haja baada ya mtu aliyetoka kuoga na umevaa soksi....
4. Kama utaratibu uko vizuri, laundry na store vichanganye viwe chumba kimoja kiwe scullery ama Butler's pantry with laundry.
5. Nadhani ulitaka mlango wa chumbani usionekane kutoka sebuleni, ila mtu kuingia office anapitia dining... Nadhani mtu aingie ofisini kupitia foyer maana unaweza pata mgeni wa kikazi ambaye unaweza kumalizana naye ofisini kabla hajafika maeneo mengine ya nyumba.
Hivyo mimi ningeua ukuta wa dining wa corridor ili dining iongezeke na kuhamisha mlango office uwe upande wa foyer. Ulitaka unaweza kuweka mlango wenye frosted glass kati ya bedroom/office/ washroom kutenga maeneo ya vyumbani na maeneo ya sebuleni
Sawa mkuu, Acha niliangalie hiloTafuta ramani nyingine ambayo chumba chako kitakuwa mashariki, chumba cha watoto wa kiume mashariki, halafu cha watoto wa kike kusini.
Haiwezekani ujenge nyumba halafu vyumba vyote viko upande mmoja. Mtajikuta muda wote mnaongea na kufanya mambo yenu bila ya uhuru.
Mkuu, hebu fafanua ili kunipa mwangaza...Hiyo raman haijazingatia faragha za master bedroom, haijazingatia matumiz sahihi ya ardhi hata kama una eneo kubwa ramani upana tu sio chini ya mita 14 urefu mita 12, ramani itaku cost si chini ya matofali 4,000 wakat hayo matofali ungepata raman nzuri yenye hivyo vitu na ungeongeza chumba cha 4. Inshort raman itakugharimu pesa nyingi kama unajenga kwa pesa za vikoba
Haina noma mkuuMkuu mbona umeniwekea hapa ili niikwapue?[emoji12] Just kidding, fuata ushauri wa wataalamu hapo juu
Karibu sana.Point zako 6 za nguvu nimezichukua mkuu, nazifanyia kazi
Kiwanja chako ni SqM ngapi..? (Upana mita ngapi na urefu mita ngapi..?)Mkuu, hebu fafanua ili kunipa mwangaza...
Unasema ramani haijazingatia matumizi makubwa ya ardhi...kivipi?
Mkuu asante kwa inputs:1. Hii kitu inaitwa "foyer" imenikera!! sijui ni ushamba?. Ondoa huo ukuta kati ya sebule na hiyo foyer sebule iwe kubwa na iwe wazi (utakuja kunishukuru). Sebule ndio maana inaitwa "living room" inatakiwa iwe kubwa isibanwe banwe, pia kuta zinaleta giza tu ndani unakuta nyumba saa nane mchana mmewasha taa!!. Hata hiyo foyer itakuwa na giza ni busara kuondoa huo ukuta.
2. Hivi vitu vinaitwa "office" au "study room" pale kwangu zimeishia kuwa store[emoji23][emoji23] Tumeweka makorokoro kibao hata hakuingiliki. Wageni wakija tunaongelea sebuleni kama kuna issue itahitaji documentation au kufanya kazi kwenye laptop kuna meza simple ya juu iko hapo pembeni sebuleni tunahamia hapo tunamalizana (otherwise sijui nature ya shughuli zako kama ni 24/7 unafanyia home).
Watoto wanasomea kule chumbani kwao kuna vimeza vidogo vya kusomea. Ni ngumu kumuhamisha mtoto akasomee "study room" kwanza wanaogopa kukaa huko peke yao hawajapazoea.
Brother hii raman yako utaichukia nyumba ukiimaliza, wageni ili waingie ndani Veranda/Kibalaza kipo Master Bedroom sio vzuri haipendez... Ihamishe ikae upande wa dining...Nahitaji pia maoni wakuu, kwa ramani hii
Kuna mjumbe kashasema Baraza mbele ya master bedroom siyo poa. Bora hata iwe upande wa dining.Nahitaji pia maoni wakuu, kwa ramani hii
Sawa EngineerKuna mjumbe kashasema Baraza mbele ya master bedroom siyo poa. Bora hata iwe upande wa dining.
Toilets za 1.5*1.6 siyo mbaya, ila zipangiliwe vizuri. Mwambie mchoraji akuwekee wc, shower tray na basin na ikibidi akupe na vipimo vyake.
Jiko dogo ila kuna milango/njia tatu. Sioni likiwa practical. Mchoraji akuwekee design ya jiko- sink litakaa wapi, fridge, cooker nk. Kumbuka unahitaji prep area pia Kwa kuandaa vya kupika na pakuepilia vilivyoiva.
Vyoo na jiko huwa vinasahaulika kupangwa na wachoraji wengi. Usipokee plan isiyoonyesha mpangilio wa ndani wa vitu hivi. Bedrooms pia ni muhimu ujue kitanda na kabati au meza vitakaaje.
Mlango wa master bedroom unaweza kurudishwa nyuma kwenye hicho kicorridor chake.
Sawa MkuuBrother hii raman yako utaichukia nyumba ukiimaliza, wageni ili waingie ndani Veranda/Kibalaza kipo Master Bedroom sio vzuri haipendez... Ihamishe ikae upande wa dining...
Mwisho wa siku uzuri au ubaya wa kitu upo machoni pa mtu, kwa maana kilamtu ana namn yake ya kupenda au kuchukia kitu... All in all raman ya nyumba unapaswa kuzingatia vitu vitatu 1. Privacy ya M/bedroom 2. Ukubwa wa raman una determine gharama za ujenzi 3. Ukubwa wa eneo lako
Nashukuru mkuu kwa wazo.Ongeza room moja ua hyo ofisi isiyo na dirisha
Nahitaji pia maoni wakuu, kwa ramani hii
Sawa mkuu... Nitaongeza ukubwa wa vyumba. Kiwanja sio kikubwa sana, ni 473 sqm... so nafikiri maybe nitaongeza iwe 3.2 * 3.5 ( kutoka hiyo 3*3). Nini maoni yako juu ya hii size mpya?Mkuu hao watoto SI wanakua, kinatosha kama utaweka kitandaa pekee bila kabati
Mzee wa mizagamuo mzabzab ... Asante kwa mawazo mazuri.Wsitting room mbona dirisha upande mmoja tuu?
Masterbedroom ukiwa unaendelea na mizagamuano upande wa pili wanakusikia. Choo cha master ndio ungekipachika katikati ya hivyo vyumba viwili.
Masterbedroom inapaswa kuwa na madirisha pande mbili
Asante mkuu, naipitia hiyo post yako... naona iko njema sanaKaribu sana.
Kama ungependa, acha pia nikuonyeshe post niliyoanzisha hivi karibuni ya jinsi ninavyodesign . Kuna vitu utaweza kupata hapa pia.
Jinsi ninavyo design (+ kanuni za design) Ep. 01: 3 bedroom house #01
Pamoja sana mkuu. Umoja ni nguvu. Huwa napenda kubadilishana mawazo katika kazi hizi. Huwa ndiyo njia tuliyonayo kuboresha kazi zetu. mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia...www.jamiiforums.com