- Thread starter
- #61
Mkuu Mr Director , ukubwa wa kiwanja ni 473 sqm. Urefu ni 25M na upana ni 19M.Kiwanja chako ni SqM ngapi..? (Upana mita ngapi na urefu mita ngapi..?)
Raman yako upana ni mkubwa itabana nafasi kama kiwanja chako chini ya sqm 600. Jitahidi nyumba iache mita 3.5 au 4 kulia na kushoto.