Mkuu Mr Director , ukubwa wa kiwanja ni 473 sqm. Urefu ni 25M na upana ni 19M.Kiwanja chako ni SqM ngapi..? (Upana mita ngapi na urefu mita ngapi..?)
Raman yako upana ni mkubwa itabana nafasi kama kiwanja chako chini ya sqm 600. Jitahidi nyumba iache mita 3.5 au 4 kulia na kushoto.
Asante sana mkuuAsante mkuu, naipitia hiyo post yako... naona iko njema sana
Sawa nimekupata basi kwenye huo huo ukuta mwishoni karibu na upande wa kuta ya store weka dirisha mkuu kusaidia ventilation.Mzee wa mizagamuo mzabzab ... Asante kwa mawazo mazuri.
Nimeweka dirisha moja Sebuleni kwa sababu huwa napenda kwenye sitting room sehemu ya "Entertainment area" (ie upande wa Tv) usiwe na dirisha wala mlango, uwe plain na itawaliwe na TV, sound system, game etc peke yake. Unaonaje wazo hili kwa hii ramani?
Wazo la dirisha mbili Master bedroom nimelichukua, na nitarekebisha hapo.
Kama ataua ofisi hiyo sehemu iliyokuwa ofisi aifanye choo cha bedroom 1 ya kushoto ili chumba kiwe master bedroomOngeza room moja ua hyo ofisi isiyo na dirisha
Chumba cha metre 3×3 ni standard mkuuKwanza sijajua ukubwa wa kiwanja chako ili kushauri dimension za vyumba.
3x3 ni tu vyumba tudogo sana atlist 4x4 na master walau 5x6 pia umeweka kuta nyingi ambazo zinakaba space mfano kweny entrace kushoto huo ukuta unakaba space ya sebule... hata hiyo uliyoita ofisi ni kadogo mno 2x2.8m ni kama choo? Iliyochangamka. Kingine vyumba vinavyo share public toilet vinakuwa mbali na toilet yenyewe, pia master iwe mbali kidogo na vyumba vya watoto.
Then angalia pia budget na uharaka wako wa kuwa na nyumba uamue kwa usahihi.
Sink nje ya public ni sahihi. Tuseme kuna mtu yuko ndani ya choo cha public na mwingine anataka asugue meno au kunawa mikono anaweza kutumia hiyo sink ya nje2. Sink za kuosha mikono. Sidhani kama unahitaji sink nje ya public bathroom kama ndani ipo pia.
Kuna hii kanuni ya kujifunza lay out ya kabati la nguo na kitanda vinapaswa kupangiliwaje ndani ya chumba ukizingatia dirisha/madirisha ya chumba. Hapo utaweza kujua ni wapi pa kuweka kiti na meza ya kusomeaHongera sana mkuu. Mimi naweza kusema haya kwanza:
1. Storage. Vyumbani weka au onyesha makabati ya nguo yatakuwa wapi. Kama watoto wakiwa wakubwa wataweza kusoma chumbani? Je wataweza kuwa na meza za kusomea na kufanyia hobbies zao kama coding na nyinginezo?
Sawa mkuu... Nitaongeza ukubwa wa vyumba. Kiwanja sio kikubwa sana, ni 473 sqm... so nafikiri maybe nitaongeza iwe 3.2 * 3.5 ( kutoka hiyo 3*3). Nini maoni yako juu ya hii size mpy
Hiyo based on size ya kiwanja inatosha.Sawa mkuu... Nitaongeza ukubwa wa vyumba. Kiwanja sio kikubwa sana, ni 473 sqm... so nafikiri maybe nitaongeza iwe 3.2 * 3.5 ( kutoka hiyo 3*3). Nini maoni yako juu ya hii size mpya?
💯🤝 nakuunga mkono hapo kwenye arragement ya shower na toilet kwenye choo cha public sio sahihi3. Public bathroom ni nyembamba sana na siyo sawa sana kuwa na shower katikati ya sink na choo, yaani mtu anavuka maji kufika chooni. Ukienda haja baada ya mtu aliyetoka kuoga na umevaa soksi....
Hapo ilipo laundry sio jikoni. Kipimo cha jiko ni 3m katikakati ni corridor halafu ndio laundry room(2.5m)1. hiyo laundry kuwa ndani ya jiko haijakaa vizuri
Chumba cha metre 3×3 ni standard mkuu
Modern laundry room inahitaji kuwa na iron board/table, sink, kabati la kuwekea nguo zilizonyooshwa temporarily na vifaa vingine na hangers za kutundikia nguo. Ili kuzuia purukushani za store zetu za kibongo ni bora kutenganisha4. Kama utaratibu uko vizuri, laundry na store vichanganye viwe chumba kimoja kiwe scullery ama Butler's pantry with laundry.
Hiyo corridor maeneo ya vyumbani itakuwa na giza sana...Wakuu mambo vipi.
Nina ramani ambayo nimeandaa kwa ajili ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu.(1 master bedroom + 2 normal rooms).
Nyumba itapauliwa kwa mtindo wa Hidden Roof a.k.a contemporary
Naombeni mawazo yenu juu ya hii ramani.
- Nini cha kuboresha?
- Nini kimekosewa/hakijakaa sawa?
- Nini cha kurekebisha?
- Nini niondoe/nipunguze?
Nimeambatanisha hapa chini ramani yenyewe.
View attachment 2521843
Kama yeye baba ndio anadundwa basi acheni ikae hapo hapo, watoto waje kumuokoa. Mtanishukuruugomvi mdogo mdogo
Modern laundry room inahitaji kuwa na iron board/table, sink, kabati la kuwekea nguo zilizonyooshwa temporarily na vifaa vingine na hangers za kutundikia nguo. Ili kuzuia purukushani za store zetu za kibongo ni bora kutenganisha
View attachment 2523974
View attachment 2523962
View attachment 2523963
View attachment 2523965
💯🤝 hapo sawaKweli kabisa mkuu. Ndiyo maana nikasema kama utaratibu uko vizuri aunganishe. Wazo langu lilikuwa Kwa combo ya namna hii zaidi...
View attachment 2524072
Ila kama ni ngumu kumaintain ni Bora kutenganisha kama ulivyoshauri.
Hakikisha sebule ina madirisha si chini ya mawili lli kuweza kutembeza natural air and light kwa uhakika. Ogopa nyumba sebuleni inawashwa taa saa 7 mchana.Mzee wa mizagamuo mzabzab ... Asante kwa mawazo mazuri.
Nimeweka dirisha moja Sebuleni kwa sababu huwa napenda kwenye sitting room sehemu ya "Entertainment area" (ie upande wa Tv) usiwe na dirisha wala mlango, uwe plain na itawaliwe na TV, sound system, game etc peke yake. Unaonaje wazo hili kwa hii ramani?
Wazo la dirisha mbili Master bedroom nimelichukua, na nitarekebisha hapo.
Wapita njia watakuwa wanasikia akiwa anapiga miti..Kwa nini master bedroom inakaa uwani? Yaani watoto wakae mbele wewe mwenye nyumba ujifiche uwani! Fanya uwezavyo chumba chako kikae mbele uwe na uwezo wa kuona chochote kinachotokea eneo la mbele la nyumba ikiwezekana uone na gate kubwa la mbele.
Kuongeza ukubwa wa chochote ni kuongeza maradufu gharama ya ujenzi. Hata kama ungekuwa na kiwanja cha 400sqm kama budget yako haitoshi huwezi kufanya kitu. Ungeuliza kwanza kama mhusika ana "unlimites budget" ndio utoe ushauri wako huo.Standard kwenye ordinary sio moden. Vinyumba vya nation housing enzi hizo. Huwezi hata kuweka kabati, kitanda, meza na kiti chumba kimejaa. Nyumba za kishamba kabisa. We ukiwa na eneo la kutosha kwanini ung'ang'ane na tuchumba tudogo.
Au kiwanja cha 20x20 400sqm cha kazi gani? Ndio maana nilikubaliana na Mabula kwenye kupiga marufuku huto tu viwanja... anyway kila mtu na standard zake pambana mwanaume. Ila binafsi out of 1200sqm and above sihangaiki napo.