Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho

mkuu, kumbuka nimesema nilikuwa na malengo nae na sikuwahi kuwaza kumpotezea muda wake.
Miaka 8 unasema haujawaza kumpotezea muda??? Miaka 8 kwa mwanamke ujue ni mingi tukirefer kuwa mwanaume hazeeki hata miaka 70 utaoa tu.
Kama ulimkuta ana miaka 22 sahivi tunaongea ana 30 afu wasema una malengo???
 
Pitia hapa kama una nia

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Miaka 8 unasema haujawaza kumpotezea muda??? Miaka 8 kwa mwanamke ujue ni mingi tukirefer kuwa mwanaume hazeeki hata miaka 70 utaoa tu.
Kama ulimkuta ana miaka 22 sahivi tunaongea ana 30 afu wasema una malengo???
nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane
 
Asingeweza kusoma mawazo yako mkuu...mika 8 mingi mno kukaa na mtoto wa watu
nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane
 
men are selfish women are slaves
nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane
 
Umeshamaliza maswali yangu yote. Hasa hapo kwenye umri

Cha kuongezea... what is muhfucking money? Kinachokuuma hapa ni hela ama ni nn? Wewe hukua unamla? Mwanaume ugharamike mdogo wangu
 
Mkuu kila kitu kina mwisho. Alipoanza tu kuchepuka ndio mapenzi kwako yaliisha kwake.

Kingine inaonekana wewe ni mshamba sana wa mademu. Unakaaje kwenye mahusiano kwa miaka yote hiyo? Miaka minane? Kwa maelezo yako tu inaonyesha hukuwahi chepuka hata siku moja. Yaani wewe ni huyo huyo tu.

Miaka mi8 kwenye mahusiano mlitakiwa muwe na angalao mtoto basi.
Acha ushamba mademu wapo kibao. Afu unalialia kama vile umemuoa.!!πŸ˜πŸ˜πŸ™„
 
Sio sababu aseee alitakiwa awe na mtu ambae yupo tayari kwa maisha.... okay swali langu narudia unazuga haujaliona HAUJAWAHI KULA PAPUCHI NYINGINE HIYO MIAKA 8????
 
Kukaa na binti wa mtu miaka 8 wewe unaona sawa au unajitoa ufahamu. Huu ni muda mtu yeyote mwenye akili timamu alipaswa afikiri mara mbili kuhusu huo uhusiano, kama kuna matunda au ni kuchezeana tu
 
Kukaa na binti wa mtu miaka 8 wewe unaona sawa au unajitoa ufahamu. Huu ni muda mtu yeyote mwenye akili timamu alipaswa afikiri mara mbili kuhusu huo uhusiano, kama kuna matunda au ni kuchezeana tu
nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane
 
Pole... Huyo kakuchoka hata ufanyeje atakuona kama nyau tu mpiga kelele na tarumbeta.. achana nae move on.. umekaa unajiumiza mwenyewe huku hana muda na wewe tena.
 
Pole... Huyo kakuchoka hata ufanyeje atakuona kama nyau tu mpiga kelele na tarumbeta.. achana nae move on.. umekaa unajiumiza mwenyewe huku hana muda na wewe tena.
naitaji kufanya kitu na roho yangu ipoe
 
Miaka 8 unasema haujawaza kumpotezea muda??? Miaka 8 kwa mwanamke ujue ni mingi tukirefer kuwa mwanaume hazeeki hata miaka 70 utaoa tu.
Kama ulimkuta ana miaka 22 sahivi tunaongea ana 30 afu wasema una malengo???
Atuambie na hizo pesa amemjengea nyumba?kamnunulia gari? Au biashara au hizi hizi pesa za chipsi na kuku πŸ™†πŸ½β€β™‚οΈπŸ™†πŸ½β€β™‚οΈπŸ™†πŸ½β€β™‚οΈ
 
Umekaa nae miaka nane bila ndoa halafu unaachwa unalialia. Mtu gani akuvumilie miaka yote hiyo ambapo kama mngezaa mtoto mwaka mlipoanza mahusiano angekuwa STD III. Kwa ufupi wewe ndio umezingua na inaonekana ni mbinafsi sana. Achana na kulipiza kisasi. Kisasi analipiza MUNGU tu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…