Naombeni mbinu jinsi ya kuwa bahili, kubana bajeti

Naombeni mbinu jinsi ya kuwa bahili, kubana bajeti

Kwa kutoa ndo unapata pesa
Na usipotoa hupati
Unaweza kuta mtu unampa hela mnakuwa na mahusiano mazuri unapata pesa kupitia kwake indirect
Kwa mfano unamsaidia mtu anakuja kuwa mteja au kukuunganisha na wateja
Kuwa na mahusiano na watu ni vizuri, pesa ni watu
Hata akina na Bakhresa wanatoa misaada huwezi amini
Nenda Buguruni kwa Bakhkresa mwezi Ramadhan analisha watu bure
Toa ndo utapokea ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah huu kwangu unataka kuwa ugonjwa mwingine..

Tangu kumekucha mpaka hapa naandika hii reply 50000 ishakatika. Na muda unakolekea kesho kutakucha karibu laki itaisha kiutani utani tu.😥
 
Jamani....

Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.

Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo

Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M


Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,

Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta


Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu [emoji22][emoji22]


Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.

Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........

Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Acha kuhonga mzee babu
 
Jamani....

Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.

Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo

Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M


Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,

Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta


Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢


Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.

Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........

Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Umezaliwa mwezi gani?
 
Jamani....

Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.

Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo

Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M


Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,

Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta


Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢


Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.

Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........

Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Mkuu jifunze kusema hapana, sina.
Mbili rahisisha mahitaji.
Track your money
Track.
Track.
 
Jamani....

Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.

Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo

Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M


Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,

Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta


Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢


Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.

Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........

Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Kata bima ya afya baada ya hapo fungua account ya malengo. Ukipata hela muda huo huo ingiza acha kias kidogo cha matumiz then utakuja kunishukuru
 
Kata bima ya afya baada ya hapo fungua account ya malengo. Ukipata hela muda huo huo ingiza acha kias kidogo cha matumiz then utakuja kunishukuru
Mkuu account ya malengo ikoje ,
Tofauti na mleta mada mimi uhifadhi wa pesa benki at cheapest cost ndo sijajua ebu toa mwanga.
 
Kiukweli sio kama najisifu lakini kuipata hela yangu ukiwa ww sio mzazi wangu uache kazi ufanye kazi

Hua si hongi hovyo
Na kuepuka helo natafutaga partner wakueleweka ( hii kwa ambao hatujaoa), kumhudumia mchumba nitofauti na kudeal na variety of girls

Pili kwenye mavazi unatakiwa uwe na break ( ukifanya manunuzi hakikisha umenunua zakukutosha ) baada ya hapo ukiona nguo nzuri fanya kama huzioni atleast kwa mwaka waeza nunua mara moja au mara mbili kulingana na kipato chako

Sio kila anakuomba umkopeshe, nawe unamkopesha
Kama kuna uwezekano kula chakula unachokiandaa mwenyewe inasaidia kupunguzacost

Pia kumbuka sadaka Kwa Mungu wako, kusaidia wenye uhitaji bila kusahau kujali wazazi wako hata kama kwa kiaso kidogo kila mwezi au baada ya mud afulani , utapata fedha na itahifadhika
 
Jamani....

Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.

Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo

Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M


Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,

Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta


Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢


Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.

Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........

Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Nna ka tabia ka u-baba huruma, December naami nlitaitika nkahitaji nipate laki chapchap, nlihaso hadi sitamani mda urudi nyuma, nakagua phone book yangu hadi nahisi kupalalaiz,

Tuwe wachoyo kwa salama yetu kiuchumi.
 
Hili kwangu nimeshindwa kabisa kujibana yaani huwa sijui maana ya kujibana.

Kutumia milioni ndani ya siku 4 nikabaki sina hata mia ni kawaida na ninachomshukuru Mungu kwakuwa tu mianya ya kupata vijisenti vya mara kwa mara havikauki ndiyo pona yangu.

Yaani nikiwa na hela nawashwa kutumia na watu wengine nakuwa sina amani nikiwa na hela mfukoni halafu nisikie tu mtu ama uhitaji na fedha lazima nimpe.
Inatakiwa mianya ijifunge kwa miezi sita, baada ya hapo utakua mfano wa kuigwa
 
Jamani....

Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.

Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo

Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M


Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,

Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta


Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢


Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.

Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........

Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Unafanya kazi gani?

Kipati chako kwa siku Tsh ngapi?

Umepanga au unakaa kwenu /umejenga?

Una familia inayokutegemea?

Una usafiri binafsi au unategemea usafiri wa uma?

Unaishi wapi/mkoa gani?
 
Kiukweli sio kama najisifu lakini kuipata hela yangu ukiwa ww sio mzazi wangu uache kazi ufanye kazi

Hua si hongi hovyo
Na kuepuka helo natafutaga partner wakueleweka ( hii kwa ambao hatujaoa), kumhudumia mchumba nitofauti na kudeal na variety of girls

Pili kwenye mavazi unatakiwa uwe na break ( ukifanya manunuzi hakikisha umenunua zakukutosha ) baada ya hapo ukiona nguo nzuri fanya kama huzioni atleast kwa mwaka waeza nunua mara moja au mara mbili kulingana na kipato chako

Sio kila anakuomba umkopeshe, nawe unamkopesha
Kama kuna uwezekano kula chakula unachokiandaa mwenyewe inasaidia kupunguzacost

Pia kumbuka sadaka Kwa Mungu wako, kusaidia wenye uhitaji bila kusahau kujali wazazi wako hata kama kwa kiaso kidogo kila mwezi au baada ya mud afulani , utapata fedha na itahifadhika
Wewe lazima unavinasaba vya kipare.Unatafuta pesa ili iwe nini?Kazi na dawa my friend Life is short.
 
Back
Top Bottom