Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 472
- Thread starter
-
- #21
Kwa kutoa ndo unapata pesa
Na usipotoa hupati
Unaweza kuta mtu unampa hela mnakuwa na mahusiano mazuri unapata pesa kupitia kwake indirect
Kwa mfano unamsaidia mtu anakuja kuwa mteja au kukuunganisha na wateja
Kuwa na mahusiano na watu ni vizuri, pesa ni watu
Hata akina na Bakhresa wanatoa misaada huwezi amini
Nenda Buguruni kwa Bakhkresa mwezi Ramadhan analisha watu bure
Toa ndo utapokea ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuhonga mzee babuJamani....
Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M
Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,
Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta
Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu [emoji22][emoji22]
Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.
Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........
Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Umezaliwa mwezi gani?Jamani....
Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M
Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,
Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta
Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢
Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.
Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........
Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Mimi NI binti sijawah kuhongaAcha kuhonga mzee babu
SeptemberUmezaliwa mwezi gani?
AhsanteAcha roho ya huruma kuwa na roho ya paka.
Money speaks one language if you save me today I will save you tomorrow.
Mkuu jifunze kusema hapana, sina.Jamani....
Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M
Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,
Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta
Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢
Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.
Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........
Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Kata bima ya afya baada ya hapo fungua account ya malengo. Ukipata hela muda huo huo ingiza acha kias kidogo cha matumiz then utakuja kunishukuruJamani....
Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M
Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,
Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta
Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢
Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.
Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........
Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Mkuu account ya malengo ikoje ,Kata bima ya afya baada ya hapo fungua account ya malengo. Ukipata hela muda huo huo ingiza acha kias kidogo cha matumiz then utakuja kunishukuru
Nna ka tabia ka u-baba huruma, December naami nlitaitika nkahitaji nipate laki chapchap, nlihaso hadi sitamani mda urudi nyuma, nakagua phone book yangu hadi nahisi kupalalaiz,Jamani....
Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M
Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,
Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta
Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢
Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.
Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........
Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Inatakiwa mianya ijifunge kwa miezi sita, baada ya hapo utakua mfano wa kuigwaHili kwangu nimeshindwa kabisa kujibana yaani huwa sijui maana ya kujibana.
Kutumia milioni ndani ya siku 4 nikabaki sina hata mia ni kawaida na ninachomshukuru Mungu kwakuwa tu mianya ya kupata vijisenti vya mara kwa mara havikauki ndiyo pona yangu.
Yaani nikiwa na hela nawashwa kutumia na watu wengine nakuwa sina amani nikiwa na hela mfukoni halafu nisikie tu mtu ama uhitaji na fedha lazima nimpe.
Unafanya kazi gani?Jamani....
Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M
Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,
Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta
Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢
Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.
Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........
Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe lazima unavinasaba vya kipare.Unatafuta pesa ili iwe nini?Kazi na dawa my friend Life is short.Kiukweli sio kama najisifu lakini kuipata hela yangu ukiwa ww sio mzazi wangu uache kazi ufanye kazi
Hua si hongi hovyo
Na kuepuka helo natafutaga partner wakueleweka ( hii kwa ambao hatujaoa), kumhudumia mchumba nitofauti na kudeal na variety of girls
Pili kwenye mavazi unatakiwa uwe na break ( ukifanya manunuzi hakikisha umenunua zakukutosha ) baada ya hapo ukiona nguo nzuri fanya kama huzioni atleast kwa mwaka waeza nunua mara moja au mara mbili kulingana na kipato chako
Sio kila anakuomba umkopeshe, nawe unamkopesha
Kama kuna uwezekano kula chakula unachokiandaa mwenyewe inasaidia kupunguzacost
Pia kumbuka sadaka Kwa Mungu wako, kusaidia wenye uhitaji bila kusahau kujali wazazi wako hata kama kwa kiaso kidogo kila mwezi au baada ya mud afulani , utapata fedha na itahifadhika
Wacha kuendekeza wasiokujali.September
Malengo account iko bank gani mkuuKata bima ya afya baada ya hapo fungua account ya malengo. Ukipata hela muda huo huo ingiza acha kias kidogo cha matumiz then utakuja kunishukuru