DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Nenda nmbMalengo account iko bank gani mkuu
Nenda nmb hapo waambie nataka kufungua account ya malengo. Mnakubaliana muda gan. Hata akifa baba yako hela haitoki mpaka ule muda ufike. Mi Wakat huo naanza life ilinisaidia sana.Mkuu account ya malengo ikoje ,
Tofauti na mleta mada mimi uhifadhi wa pesa benki at cheapest cost ndo sijajua ebu toa mwanga.
Hyo uninstall nmb app imenigusa mkuu, mana mwezi uliopita bank statement ilikua ni kitabu cha BS.1. Usitembee na hela nyingi.
2. Usipende kulipa kwa card au Lipa Namba.
3. Uninstall NMB na CRDB Apps.
4. Kama bando linakufirisi punguza social medias.
5. No showoffs.
6. Kama unapenda kula kula anza kupika.
7. Badala ya kupeleka nguo Dry cleaner, ita mama fua.
8. Nunua iteams unazozihitaji.
9. Tumia formula: If you can't buy two now, then you can't afford it.
10. Ukitaka fanya shopping ya kitu chochote cha thamani zaidi ya Laki 1, jipe week moja mbele, uone kama still unakihitaji, usinunue kwa mihemko.
11. Punguza machawa.
12. Jitoe out cheap places (Cheap Thrills by Sia & Sean Paul)
13. Anza kufanya activities ambazo hazihitaji hela sana mfano jifunze kufua, kupika, kuosha gari, kupaka rangi ukuta, mazoezi etc)
Oya we...
Naomba pesa mkuuMie ukiniomba hela naweza kukupa hata yote kwenye pochi ngoja nami nijifunze mbinu japo kwenye kula vizuri mtanisamehe maana ndo stareh yng
Oa haraka mwanamke kutoka kabila la Kipare. Na tatizo lako nalo litaisha mara moja.Jamani....
Naombeni mbinu za kuwa mchumi,,,,,nisitumie pesa hivyo,Hali hii inanitesa Sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo....yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M
Juzi Jana na leo nishatumia 170,000,
Sina kazi Wala kutegea uchumi chochote, Ila na haso huku na huko kutafuta
Alafu nikiombwa pesa kusema Sina siwezi,Kama ninayo lazima nitatoa tuuuu 😢😢
Tatizo linanitesa Sana, kwasababu nitakapokwama Sina MTU YEYOTE wa kunipatia hata 5000 nikiwawatizama ndugu na marafiki wanaonizunguka sioni wa kunisaidia nikikwama.
Nisaidieni niwe bahili, na mchumi niache matumizi mabaya ya pesa ninayoitafuta kwa taabu na nguvu nyingi.........
Nimewaona watu wakishinda na njaa huku Wana pesa mfukoni ....yaani nataka kuwa bahili Kama hivyo
Hivi kwanini ukianza tu kufanya savings matatizo yanakufata kwa maandamano 🤔 Ilimradi tu account ibaki na vumbi na buibuiJiwekee malengo ya kufanya jambo fulani la mendeleo ndani ya muda fulani
Mfano: miezi 6 ijayo ninunue kiwanja, baada ya kununua kiwanja miezi 6 mingine nianze ujenzi
Shikamana na malengo yako mpaka uyafikie kwa wakati kwa kudhibiti matumizi na kufanya saving
We una akili sana. Ulivyo vielezea, asilimia Kubwa vinamata ktk njia za kutunza Pesa. [emoji120][emoji120]1. Usitembee na hela nyingi.
2. Usipende kulipa kwa card au Lipa Namba.
3. Uninstall NMB na CRDB Apps.
4. Kama bando linakufirisi punguza social medias.
5. No showoffs.
6. Kama unapenda kula kula anza kupika.
7. Badala ya kupeleka nguo Dry cleaner, ita mama fua.
8. Nunua iteams unazozihitaji.
9. Tumia formula: If you can't buy two now, then you can't afford it.
10. Ukitaka fanya shopping ya kitu chochote cha thamani zaidi ya Laki 1, jipe week moja mbele, uone kama still unakihitaji, usinunue kwa mihemko.
11. Punguza machawa.
12. Jitoe out cheap places (Cheap Thrills by Sia & Sean Paul)
13. Anza kufanya activities ambazo hazihitaji hela sana mfano jifunze kufua, kupika, kuosha gari, kupaka rangi ukuta, mazoezi etc)
Oya we...
Ata laki haijafika kwenye kibubu, unasikia babu nyumbani kameza shoka.Hivi kwanini ukianza tu kufanya savings matatizo yanakufata kwa maandamano 🤔 Ilimradi tu account ibaki na vumbi na buibui
Yani sijui kwanini yani....ni kama pesa ukiitunza ina-attract matatizoAta laki haijafika kwenye kibubu, unasikia babu nyumbani kameza shoka.
1. Usitembee na hela nyingi.
2. Usipende kulipa kwa card au Lipa Namba.
3. Uninstall NMB na CRDB Apps.
4. Kama bando linakufirisi punguza social medias.
5. No showoffs.
6. Kama unapenda kula kula anza kupika.
7. Badala ya kupeleka nguo Dry cleaner, ita mama fua.
8. Nunua iteams unazozihitaji.
9. Tumia formula: If you can't buy two now, then you can't afford it.
10. Ukitaka fanya shopping ya kitu chochote cha thamani zaidi ya Laki 1, jipe week moja mbele, uone kama still unakihitaji, usinunue kwa mihemko.
11. Punguza machawa.
12. Jitoe out cheap places (Cheap Thrills by Sia & Sean Paul)
13. Anza kufanya activities ambazo hazihitaji hela sana mfano jifunze kufua, kupika, kuosha gari, kupaka rangi ukuta, mazoezi etc)
Oya we...