Naombeni Mbinu kwenye hili la Ndoa

Naombeni Mbinu kwenye hili la Ndoa

Habari zenu wana jamii. Naombeni mbinu na ushauri kwenye suala hili la ndoa.

Nahitaji kufanya maamuzi ya kujitoa kwenye ndoa ( kuachana na mke wangu ) sababu hanivutii tena. Hatujazaa wala hana ujauzito na ndoa yetu haijatimiza hata mwaka.

Yaani naona kama naulazimisha mwili wangu kwenye kiwili wili kisichonivutia.

Nahitaji kujinasua, sina furaha kabisa. Nifanye nini niweze kuachana nae kwa njia yoyote ile?
Wewe ni mpuuzi

Nani kakuambiwa ndoa ina majaribio?

Uliingia mwenye ndoa kwa mhemko sio?

Sasa Kula chuma hiko.

Nakuhakikishia huyo hutomuacha utampenda hivyo hivyo bwege wewe

Unaniboa Sana mpuuzi wewe
 
Kuna manzi ananipenda balaa na yupo tayari Kwa lolote anatamani sana nimuoe shida ayupo kwenye Moyo wangu ata kidogo nimelazimisha sana kumpenda kumuingiza moyoni mwangu lakini Moyo umegoma aisee dah ningeingia kwenye mtego Wa kumuoa na mi ningekoma
 
Habari zenu wana jamii. Naombeni mbinu na ushauri kwenye suala hili la ndoa.

Nahitaji kufanya maamuzi ya kujitoa kwenye ndoa ( kuachana na mke wangu ) sababu hanivutii tena. Hatujazaa wala hana ujauzito na ndoa yetu haijatimiza hata mwaka.

Yaani naona kama naulazimisha mwili wangu kwenye kiwili wili kisichonivutia.

Nahitaji kujinasua, sina furaha kabisa. Nifanye nini niweze kuachana nae kwa njia yoyote ile?
Rudi kijijini kwenu kasalimie Wazazi
 
Habari zenu wana jamii. Naombeni mbinu na ushauri kwenye suala hili la ndoa.

Nahitaji kufanya maamuzi ya kujitoa kwenye ndoa ( kuachana na mke wangu ) sababu hanivutii tena. Hatujazaa wala hana ujauzito na ndoa yetu haijatimiza hata mwaka.

Yaani naona kama naulazimisha mwili wangu kwenye kiwili wili kisichonivutia.

Nahitaji kujinasua, sina furaha kabisa. Nifanye nini niweze kuachana nae kwa njia yoyote ile?
Ndoa haijatimiza hata mwaka, hajakukosea, wala hujamkosea, lakini unataka kuachana naye?

Kulikoni?

Kwa nini usiombe ushauri ujue cha kufanya ili kuiondoa hiyo changamoto?
 
kwann ulimuoa
umesha mtumia unataka kumuacha
Upo kwenye majaribio
Kutiana nuksi tu
Ndoa sio toilet paper
Kaa kwa kutulia babu
 
Maskini Binti wa watu kashaliwa vya kutosha, jamaa anataka Jimbo jipya😥😥
Ningekuwa kaka wa huyo Binti we jamaa ningekukula kiboga.
 
Kuna manzi ananipenda balaa na yupo tayari Kwa lolote anatamani sana nimuoe shida ayupo kwenye Moyo wangu ata kidogo nimelazimisha sana kumpenda kumuingiza moyoni mwangu lakini Moyo umegoma aisee dah ningeingia kwenye mtego Wa kumuoa na mi ningekoma
Pole. Ipo siku ukishajitambua utamkumbuka lakini wenye akili watakuwa tiyari wamemchukua na anaitwa mama fulani
 
Habari zenu wana jamii. Naombeni mbinu na ushauri kwenye suala hili la ndoa.

Nahitaji kufanya maamuzi ya kujitoa kwenye ndoa ( kuachana na mke wangu ) sababu hanivutii tena. Hatujazaa wala hana ujauzito na ndoa yetu haijatimiza hata mwaka.

Yaani naona kama naulazimisha mwili wangu kwenye kiwili wili kisichonivutia.

Nahitaji kujinasua, sina furaha kabisa. Nifanye nini niweze kuachana nae kwa njia yoyote ile?
Hata mwaka bado?
images.jpg
 
Habari zenu wana jamii. Naombeni mbinu na ushauri kwenye suala hili la ndoa.

Nahitaji kufanya maamuzi ya kujitoa kwenye ndoa ( kuachana na mke wangu ) sababu hanivutii tena. Hatujazaa wala hana ujauzito na ndoa yetu haijatimiza hata mwaka.

Yaani naona kama naulazimisha mwili wangu kwenye kiwili wili kisichonivutia.

Nahitaji kujinasua, sina furaha kabisa. Nifanye nini niweze kuachana nae kwa njia yoyote ile?
Kwanini umesaini chochote?
 
Mkuu kwanza nikupe pole. Matatizo yaliyo katika mwaka mmoja tu wa ndoa mara nyingi yanatokana na mmoja wenu au kila mmoja wenu kutokufahamu vizuri nafasi yake.

Ushauri wangu
  • Uwe na mtazamo wa kutoa kuliko kupokea zaidi, yani kumfurahisha mwenzio kuliko kutegemea wewe kufurahishwa.

  • Do something to save your marriage, mambo hayajiweki sawa yenyewe. Ndoa haijengwi kwa upendo peke yake.

  • Boresha mawasiliano, tumia lugha ya upole usiwe mwepesi kurusha maneno ya kuudhi

  • Achana na kuwazia suala la yeye kushika mimba, assume yeye ndo mwanao wa kwanza.

  • Jilazimishe kumpenda yani hata ikibidi ku pretend.

  • Usipuuzie maarifa ya msingi ya tendo la ndoa. (Usitake kuwa expert, jitahidi tu kuboresha)

  • Fanya mazoezi ya mwili, kula mlo sahihi

  • Muandae mwenzako hata kwa kumnunulia vizawadi ukirudi

  • Hali ikiendelea tafuta mtu anayeaminika aliyekuzidi umri, mwenye hekima akupe ushauri wa uwazi na uzoefu. Ni vizuri kuwa na mtu wa aina hii hata kama huna tatizo lolote bado. Kama wewe ni muislamu mtafute Sheikh mwenye busara zake akupe ushauri. Sio vizuri kuachana itaharibu mambo yako mengi baadae. Sijaona katika maelezo yako sababu ya kukufanya uwaze kuachana.

  • Fanya hayo juu na utavuna utakachopanda.
Mashekh siku izi ukiwapelekea hizo shida wanaruka na mkeo
 
Hakuna ndoa yenye raha,ni shida tupu ukitaka raha aachana na mambo ya kuoa ila utambue finalise siku ukiumwa na uzee
 
Back
Top Bottom