Naombeni Mbinu kwenye hili la Ndoa

Wewe ni mpuuzi

Nani kakuambiwa ndoa ina majaribio?

Uliingia mwenye ndoa kwa mhemko sio?

Sasa Kula chuma hiko.

Nakuhakikishia huyo hutomuacha utampenda hivyo hivyo bwege wewe

Unaniboa Sana mpuuzi wewe
 
Kuna manzi ananipenda balaa na yupo tayari Kwa lolote anatamani sana nimuoe shida ayupo kwenye Moyo wangu ata kidogo nimelazimisha sana kumpenda kumuingiza moyoni mwangu lakini Moyo umegoma aisee dah ningeingia kwenye mtego Wa kumuoa na mi ningekoma
 
Rudi kijijini kwenu kasalimie Wazazi
 
Ndoa haijatimiza hata mwaka, hajakukosea, wala hujamkosea, lakini unataka kuachana naye?

Kulikoni?

Kwa nini usiombe ushauri ujue cha kufanya ili kuiondoa hiyo changamoto?
 
kwann ulimuoa
umesha mtumia unataka kumuacha
Upo kwenye majaribio
Kutiana nuksi tu
Ndoa sio toilet paper
Kaa kwa kutulia babu
 
Maskini Binti wa watu kashaliwa vya kutosha, jamaa anataka Jimbo jipya😥😥
Ningekuwa kaka wa huyo Binti we jamaa ningekukula kiboga.
 
Kuna manzi ananipenda balaa na yupo tayari Kwa lolote anatamani sana nimuoe shida ayupo kwenye Moyo wangu ata kidogo nimelazimisha sana kumpenda kumuingiza moyoni mwangu lakini Moyo umegoma aisee dah ningeingia kwenye mtego Wa kumuoa na mi ningekoma
Pole. Ipo siku ukishajitambua utamkumbuka lakini wenye akili watakuwa tiyari wamemchukua na anaitwa mama fulani
 
Hata mwaka bado?
 
Kwanini umesaini chochote?
 
Mashekh siku izi ukiwapelekea hizo shida wanaruka na mkeo
 
Hakuna ndoa yenye raha,ni shida tupu ukitaka raha aachana na mambo ya kuoa ila utambue finalise siku ukiumwa na uzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…