GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Namba yake unatoa wapi?Mpigie.
Wew ni mkongwe hapa jF huwezi shindwa vitu vidogo hivyo.Shida hua ni kuwavuta pm. Sijui nifanyeje
Nzuri,Tafuta thread ya miaka ya zamani huko hata 2008 huko ambazo hazina comments nyingi nyingi Mtag halafu muendelee Huko
Asante,Fanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!π
ππππππππ AiseeeeeTafuta thread ya miaka ya zamani huko hata 2008 huko ambazo hazina comments nyingi nyingi Mtag halafu muendelee Huko
Hapo kwenye utani wa hovyo mi ndo pana nikosesha wachumba humu..Fanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!π
Howutakuja kutongoza mama yako huku mkuu ,tafadhali achaa hii kutu
Wewe umeoa au ndio kazi kuwaungisha watu na huku unahesabu mabatiMkuu njo pm sema unamtaka yupi mi ntakupa namba chap...