Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kuna ule upendo ulikua unampenda zile mume sehemu kubwa utahamia Kwa watoto na mume nae atahamisha upendo Kwa watotoMkitaka kupigana mabusu unasikia mama nyonyo🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ule upendo ulikua unampenda zile mume sehemu kubwa utahamia Kwa watoto na mume nae atahamisha upendo Kwa watotoMkitaka kupigana mabusu unasikia mama nyonyo🤣🤣🤣🤣
Kumbe eeh mambo Huwa yanabadilikaKuna ule upendo ulikua unampenda zile mume sehemu kubwa utahamia Kwa watoto na mume nae atahamisha upendo Kwa watoto
Awe muongo sana ajifanye ana pesa, muonekano mzuri n.k, wakija kukutana wala Ke hataghairi kwanza ndio itakua imemsaidia kupata mwenza. Ke wengi wapo desparateHawajui kusukuma kete hawa
Onesha kujiamini mpe mistari hapa laivu ye atakufata inboxKatika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.
Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.
Unajiuliza nini hiki sasa.
Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.
Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.
Kumuanzishia thread haijakaa poa.
Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.
Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.