Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Sio kivile hasa 😃
Nikiwazaga navoangalia tamthilia had saa 5 itafikia kipindi nitaitwa chumban saa 2 Dah😭😭😭
Hyo si mwanzoni tu ndoa ikiwa mpya heka heka nyingi, mkishazoeana ratiba inageuka tu alfajiri unapata haki Yako ya kikatiba....ko jion utaendelea kuangaalia series zako
 
Hyo si mwanzoni tu ndoa ikiwa mpya heka heka nyingi, mkishazoeana ratiba inageuka tu alfajiri unapata haki Yako ya kikatiba....ko jion utaendelea kuangaalia series zako
Et haki ya kikatiba
Natania bhana nitapiga story na babawatoto saa ngapi nikiwa busy na movie 😃😃
Navopenda kugandagandana sasa😭😭
 
Back
Top Bottom