Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Haya angalia ufafanuzi hukoNipe link mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya angalia ufafanuzi hukoNipe link mkuu
Aiseemi nna wangu mmoja humu nampenda mpaka naumwa na anajijua.
Bro ule uzi ulisema utamfungulia Tayana uko wapi au mods washaufuta?Naweza nikawataja sema namuogopa mmoja yule mchuga wa tabata "Nakazia"
🤦🤦🤦Duh aisee sijawahi andika thread humu! Kama nliwahi comment hvo sehemu sikua serious kbsBro ule uzi ulisema utamfungulia Tayana uko wapi au mods washaufuta?
Mimi hilo halinihusu ila nachojua mi nampenda sanaaaaaaaaaa siwezi usemea moyo wake.Aisee
Na yeye anakupenda au basi tu
Tukuombee Tena mtadumu na tutakula ubwabwaMnayo sare ya harusi itakuwa rangi ya jf logo 😂
Na ujinga wangu mwingi eti namimi kuna mtu humu nimemzimikia balaa. Nahitaji mniombee
Kumbe natakiwa kuolewa Bora hata Umenikumbusha😃😃😃Yako lini
Ubwabwa ni muhimu hata kama ndoa haitodumu. Kamati ya mapishi unayoTukuombee Tena mtadumu na tutakula ubwabwa
Dadeq! Hujachoka kulala mwenyewe?Kumbe natakiwa kuolewa Bora hata Umenikumbusha😃😃😃
Yani mie naomba niwe kwenye hiyo kamati nitafutie Dela tu la kukandia ngano😃Ubwabwa ni muhimu hata kama ndoa haitodumu. Kamati ya mapishi unayo
Nina tatizo kama lako aisee,Mimi hilo halinihusu ila nachojua mi nampenda sanaaaaaaaaaa siwezi usemea moyo wake.
kijana,kumbe kupewa vya kupewa si mchezo kabisaa!Aisee
Sio kivile hasa 😃Dadeq! Hujachoka kulala mwenyewe?
Hyo si mwanzoni tu ndoa ikiwa mpya heka heka nyingi, mkishazoeana ratiba inageuka tu alfajiri unapata haki Yako ya kikatiba....ko jion utaendelea kuangaalia series zakoSio kivile hasa 😃
Nikiwazaga navoangalia tamthilia had saa 5 itafikia kipindi nitaitwa chumban saa 2 Dah😭😭😭
Et haki ya kikatibaHyo si mwanzoni tu ndoa ikiwa mpya heka heka nyingi, mkishazoeana ratiba inageuka tu alfajiri unapata haki Yako ya kikatiba....ko jion utaendelea kuangaalia series zako
Kumbe kugandana! Mkiwa wawili inanoga ngoja muanze kuzaaa 😁😁Et haki ya kikatiba
Natania bhana nitapiga story na babawatoto saa ngapi nikiwa busy na movie 😃😃
Navopenda kugandagandana sasa😭😭
Kwanini iwe tabia mbaya? We unajua unaempenda na tamba sana ila usiseme juu ya anaekupenda, moyo wa mtu kichaka acha aseme yeye.Nina tatizo kama lako aisee,
Ila nadhani hii ni tabia mbaya
Dera utapata kikubwa uzingatie ladha huko jikoni.Yani mie naomba niwe kwenye hiyo kamati nitafutie Dela tu la kukandia ngano😃
Mkitaka kupigana mabusu unasikia mama nyonyo🤣🤣🤣🤣Kumbe kugandana! Mkiwa wawili inanoga ngoja muanze kuzaaa 😁😁