Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Yako liniHarusi tunayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yako liniHarusi tunayo
Mwanaume kama wewe simtaki! Umeshindwa kusema hata KEeh watatu? Moyo wangu ni special kwa mtu mmoja tu anajijua haina haja ya kutaja ila jina lake lipo kati ya herufi A to Z.
Najua ataiona hii comment, ujumbe "nampenda sana" ❤
sijataja mtu mimi na sitaji ila anajijua we bold tu 😂Mwanaume kama wewe simtaki! Umeshindwa kusema hata K
Unakaa hapa unatoa visababu
Naweza nikawataja sema namuogopa mmoja yule mchuga wa tabata "Nakazia"😂 kagua kama hayupo usijichanganye
niulize mimi 😎Yako lini
😂 mchuga wa tabata? Aisee kumbe mambo ni mengi hivi hata simjui.Naweza nikawataja sema namuogopa mmoja yule mchuga wa tabata "Nakazia"
Mwangu mpaka wahuni wanasepa na kigoli ulishindwa hata kunisanuaniulize mimi 😎
We si kataa ndoa endeleaMwangu mpaka wahuni wanasepa na kigoli ulishindwa hata kunisanua
Kuna sehemu nlikuta anatetea jina lako kinoma nkataka nikutag sema nliamua kula ganzi maana ulikua online unasoma kimya kimya😂 mchuga wa tabata? Aisee kumbe mambo ni mengi hivi hata simjui.
JF hawaoani ww usiingie mtego sheikh humu ni kudate tuWe si kataa ndoa endelea
AiseeKijana,hadi mimi nakushinda mbinu?
Siku ya kwanza nimemtupia ka emoji ka "busu" nimekaa siku 2 nikamtupia "kakopa" siku ya 3 nikafunguliwa huko PM ,mara kidogo nikafunguliwa na vingine
... na sasa tuko wote hapa Tandale tunafurahia maisha na bibi yako.
😂 jidanganyeJF hawaoani ww usiingie mtego sheikh humu ni kudate tu
Hawajui kusukuma kete hawaHadi hapo ww ni mzembe sana
Wapi huko nipe link nione mkuu.Kuna sehemu nlikuta anatetea jina lako kinoma nkataka nikutag sema nliamua kula ganzi maana ulikua online unasoma kimya kimya
Nyie vijana Mengi hamyajui😂 jidanganye
Thread ya mda mda kidogoWapi huko nipe link nione mkuu.
Tulia mkuu inatosha maana hatua tuliyofikia sihitaji kurudishwa nyuma 😂Nyie vijana Mengi hamyajui
Nipe hivyo hivyo nmjueThread ya mda mda kidogo
Kikubwa uhai....npo paleee kwa RemmyTulia mkuu inatosha maana hatua tuliyofikia sihitaji kurudishwa nyuma 😂
Nipe link mkuuKikubwa uhai....npo paleee kwa Remmy