Naombeni mbinu za kuushinda umaskini

Kama ni Mungu nimemwomba sana lakini wapi? Sometimes mpaka nawaza bora nisingezaliwa. Maana kama huna hela huna msaada.
Usifikie kujilaumu kiasi hicho. Katika kutatua tatizo, hatua ya kwanza ni kutambua tatizo, baada ya hapo ni kutafuta njia sahihi na mbinu sahihi za kupambana nalo. Umekwishagundua tatizo, sasa upo kwenye hatua ya pili.


Ili tukupatie ushauri, sahihi, yabidi utupatie mwangaza zaidi juu ya yafuatayo;

1) Una umri gani?

2) Umekuwa unajishughulisha na nini?

3) Una elimu na ujuzi wowote?

5) Kama huna ujuzi, na labda elimu ya kawaida (primary - secondaru), una uwezo wa kufanya kazi ngumu za kujituma kama utalipwa vizuri?

6) Una mke na watoto?
 
Sawa Mkuu. Litakalowezekana litafanyikaπŸ™πŸ™πŸ™
 
1)23yrs
2)Mi sichagui kazi Ndugu yangu. Kazi yoyote nafanya. Kwahiyo sina kazi maalum.
3) Sikubahatika kumaliza elimu ya chuo (DIPLOMA IN PHARMACEUTICAL SCIENCE)
5) Kazi ngumu nafanya.
6) Sina Mke wala Watoto.
 
1)23yrs
2)Mi sichagui kazi Ndugu yangu. Kazi yoyote nafanya. Kwahiyo sina kazi maalum.
3) Sikubahatika kumaliza elimu ya chuo (DIPLOMA IN PHARMACEUTICAL SCIENCE)
5) Kazi ngumu nafanya.
6) Sina Mke wala Watoto.
Angalao kwa kuanzia, unafikiria ukiweza kupata kiasi gani kwa mwezi, maisha yako yatakuwa na unafuu na ya uhakika kuliko yalivyo sasa?

Naangalia uwezekano wa kuongea na jamaa zangu ili wakupe kibarua, angalao hata ukifanya kwa miaka miwili, unaweza kuwa umejikusanyia kiasi fulani cha kwenda kuanza nacho kama mtaji, kama utakuwa umefikiria kufanya hivyo.
 
At least 400k maana kwenye harakati zangu mara nyingi napata 15k au 20k kwa siku. Kazi zikiwepo, Japo kuna mda harakati zinakuwa adimu kwa kweli.
 
Soma thread hii,

DawayaUmaskini,madeni,ukata, mifukokutoboka,uhitaji,kufilisika,hiihapa-Rabbon
 
Japo hata chochote ila kisiwe cha kuumiza sana Ndugu.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 mgawa vocha akipata mafua nyuzi 7 mnashusha za kumwish get well soon......

Maisha yamekaza wallah...

Leejay49 Bantu Lady tunawaombea afya njema 😹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Amina. Nimecheka ila Eve una maneno πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
 
Badili cycle ya marafiki zako...hapo automatic utabadili mifumo ya utafutaji na mitizamo juu ya mafanikio....mfano,,ukiwa na rafiki wengi wenye njaa na wewe umeshiba utaona kuwa umefanikiwa,,,lakini wakiwa wengi wamekuzidi mbali,tuliza wenge wakupe code...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…