Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Oyaaa,nani kaona SERIES love?
🤣 🤣 🤣 🤣 Bila shaka ni Typing Error au?Oyaaa,nani kaona SERIES love?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaaa,nani kaona SERIES love?
🤣 🤣 🤣 🤣 Bila shaka ni Typing Error au?Oyaaa,nani kaona SERIES love?
Nimeuliza kama kuna aliyeona 😂🤣 🤣 🤣 🤣 Bila shaka ni Typing Error au?
Tabia ulizonazo ni za watu wenye temperament ya melancholic kati ya tabia zile 4; melancholic, sanguine, phlegmatic na choleric. Pia wewe ni introvert katika zile personality mbili introvert vs extrovert.Hello!
Matumaini yangu hamjambo kabisa.
Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
-Mpira na siasa sipendi kabisa
- Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
- Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
- Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
- Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need series love
- Napenda Horror movies
- Nasoma pia horror novels
- Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
- Sio msafi sana wala mchafu (normal)
- Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
- Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Sina marafiki wengi.
- Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
- Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
ASANTENI SANA
- Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
- Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
Ndo kaua kabisa!chinja tupa!Hapo bado hujamsaidia mtoa mada
Upo umemsaidia yeye ni nani!Tabia ulizonazo ni za watu wenye temperament ya melancholic kati ya tabia zile 4; melancholic, sanguine, phlegmatic na choleric. Pia wewe ni introvert katika zile personality mbili introvert vs extrovert.
Mmmh?!Upo umemsaidia yeye ni nani!
Sawa.Ila DP World wanatuletea taharuki.Tujadili hili lako baadaye.Au unaonaje muhishimiwa?Hello!
Matumaini yangu hamjambo kabisa.
Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
-Mpira na siasa sipendi kabisa
- Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
- Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
- Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
- Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need series love
- Napenda Horror movies
- Nasoma pia horror novels
- Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
- Sio msafi sana wala mchafu (normal)
- Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
- Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Sina marafiki wengi.
- Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
- Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
ASANTENI SANA
- Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
- Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
Hello!
Matumaini yangu hamjambo kabisa.
Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
-Mpira na siasa sipendi kabisa
- Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
- Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
- Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
- Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need series love
- Napenda Horror movies
- Nasoma pia horror novels
- Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
- Sio msafi sana wala mchafu (normal)
- Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
- Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Sina marafiki wengi.
- Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
- Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
ASANTENI SANA
- Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
- Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
mwamba anazinguaNi kwamba tu huna, stress zimekulemea. Wee mbona ni mkawaida tu
Stressed mind lazima iwe na wengemwamba anazingua