Naombeni mnisaidie kujua mimi ni mtu aina gani?

Naombeni mnisaidie kujua mimi ni mtu aina gani?

wewe ni SANFUINE MELANCHOLIC .
una baadhi ya sifa za hao watu wawili wote
 
Njoo tulime huku mdogo wangu ikifika kipindi mpunga umeweka
maziwa nikuachie ulinde ndege mwezi mzima
kama bado utakuwa hujajijua we ni nani basi nitakuwa sina lawama juu ya dhambi zako.
 
Hello!

Matumaini yangu hamjambo kabisa.

Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
  • Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
  • Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
  • Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
  • Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need series love
  • Napenda Horror movies
  • Nasoma pia horror novels
  • Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
  • Sio msafi sana wala mchafu (normal)
  • Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
  • Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Mpira na siasa sipendi kabisa
  • Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
  • Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
-Sina marafiki wengi.
  • Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
  • Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
ASANTENI SANA
Tabia ulizonazo ni za watu wenye temperament ya melancholic kati ya tabia zile 4; melancholic, sanguine, phlegmatic na choleric. Pia wewe ni introvert katika zile personality mbili introvert vs extrovert.
 
Tabia ulizonazo ni za watu wenye temperament ya melancholic kati ya tabia zile 4; melancholic, sanguine, phlegmatic na choleric. Pia wewe ni introvert katika zile personality mbili introvert vs extrovert.
Upo umemsaidia yeye ni nani!
 
Hello!

Matumaini yangu hamjambo kabisa.

Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
  • Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
  • Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
  • Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
  • Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need series love
  • Napenda Horror movies
  • Nasoma pia horror novels
  • Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
  • Sio msafi sana wala mchafu (normal)
  • Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
  • Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Mpira na siasa sipendi kabisa
  • Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
  • Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
-Sina marafiki wengi.
  • Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
  • Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
ASANTENI SANA
Sawa.Ila DP World wanatuletea taharuki.Tujadili hili lako baadaye.Au unaonaje muhishimiwa?
 
Hello!

Matumaini yangu hamjambo kabisa.

Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
  • Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
  • Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
  • Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
  • Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need series love
  • Napenda Horror movies
  • Nasoma pia horror novels
  • Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
  • Sio msafi sana wala mchafu (normal)
  • Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
  • Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Mpira na siasa sipendi kabisa
  • Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
  • Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
-Sina marafiki wengi.
  • Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
  • Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
ASANTENI SANA


Ndugu,
Pole sana watu wa aina HII wapo wengi tena wa umri huu.

Kuna kitu kinaitwa adverse childhood experiences, ni hali alizopitia mtu utotoni na zina_ affect afya ya akili kwa njia ya moja kwa moja au kinyume chake na HII hu affect uwezo kufanya maamuzi, tabia au matendo yetu haswa kwenye adult stage.

Kuna mifano mingi ya (ACE) kama unyanyasaji wa kijinsia sexual abuse, emotional abuse( kama vile kupingwa kila kitu) au physical abuse kama adhabu kali n.k

Na kuna viashiria vingi vya ACEs.
Na kuna kitu kinaitwa TOCIX SHAME kama upo tayari kujifunza tutajifunza zaidi.

Unaweza pata ushauri wa kutoka kwa wanasaikolojia hilo ni tatizo na unaweza kuwa resilient na ukawa kawaida sababu muda mwingine itakuwa ngumu kuwa na TEAM WORK.
 
Kuna jilani yangu alikuwa hivo hivo Leo hii Ni Chizi, mwendawazimu a.k.a Mwehu muda huu anatembea uchi na kuokota makopo hiyo Simu yako wakabidhi tu wazazi wako maana soon haitakuwa na maana yoyote kwako.
 
Back
Top Bottom