Naombeni mnisaidie kujua mimi ni mtu aina gani?

Naombeni mnisaidie kujua mimi ni mtu aina gani?

Wewe ni Immature young man...
Haujaweza kuishi kwenye uhalisia..
Uko kwenye fantasies still...
Uliposema unatamani kwenda Marekani inaonesha kabisa umeathirika na TV na mitandao...
Marekani unayo ijua wewe ni Ile ya kina Will Smith ya TV na filam...
Itakuchukua miaka kama 10 au zaidi kuweza kujua uhalisia na kuweza Kwenda Sawa na uhalisia
Asante mkuu. Nimekupata
 
Comments zinaonyesha namna tulivyo na taifa la watu wa hovyo.

Wenzetu hizo changamoto wanazichukulia kawaida tu na wana experts kabisa wanao somea hayo mambo na wana saidia sana jamii ila bongo mtu akieleza ukweli wake anadhihakiwa ama kutukanwa.

Pole sana brother, hili ndilo taifa letu kuwa mvumilivu tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Pamoja
 
Asante mkuu. Nimekupata. Ila suala la USA nipo serious. Kama sio VISA kuzingua na Applications za Green Lottery ningekua nshachomoka. Maana kuna a lot of opportunities kule.
 
Hello!

Matumaini yangu hamjambo kabisa.

Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
  • Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
  • Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
  • Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
  • Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need serious love
  • Napenda Horror movies
  • Nasoma pia horror novels
  • Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
  • Sio msafi sana wala mchafu (normal)
  • Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
  • Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Mpira na siasa sipendi kabisa
  • Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
  • Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
-Sina marafiki wengi.
  • Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
  • Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
ASANTENI SANA
Sigma na Alpha ni kitu gani?

Mimi Nifahamuvyo, kuna makundi manne ya temperament:
1. Sanguine
2. Melancholy
3. Choleric
4. Phlegmatic

Sanguine na Choleric zipo kwenye kundi la EXTROVERT, Melancholy na Phlegmatic zipo kwenye kundi la INTROVERT.

Lakini ifahamike pia kuwa hakuna mtu mwenye tabia za kundi moja kwa asilimia mia moja. Tafiti zinaonesha kuwa mtu mmoja anaweza kuwa na tabia za makundi mawili au hata matatu, ila ile inayoonekana kuwa "dominant" ndiyo hutumika kumtambulisha kuwa yeye ni wa kundi fulani.

Kwa mfano, mtu mwenye uwiano wa SANGUINE 70%, CHOLERIC 20% na PHLEGMATIC 10% atatambulika kama SANGUINE. Kwa huyo mtu, Temperament ya Sanguine ndiyo imekuwa "dominant".

Kwa maelezo yako, inaonekana upo kwenye kundi la MELANCHOLY. Vigezo nilivyovitumia kufikia hiyo hitimisho ni maelezo yako binafsi, kama:

1. MWONGEAJI UNAPOKUWA NA WATU ULIOZOEANA NAO
Melancholy anafahamika kuwa ni mkimya sana, lakini anao uwezo mkubwa wa kubadilika kulingana na mazingira. Akiamua kuongea, wasiofahamu huishia kumtambua kama mtu mwongeaji sana, lakini mtu uyo huyo wakimkuta kwenye mazingira mengine, wanaweza wakashangazwa kwa jinsi alivyo mkimya.

2. NDOTO KUBWA
Ni tabia mojawapo inayowatambulisha. Mara nyingi, hawapendi kuwa katikati. Wakiweka malengo, wanaweka makubwa sana ambayo wakati mwingine hushindwa kuyafikia.

3. KUTOKUPENDA MIKUSANYIKO
Kutokana na asili ya tabia zao, endapo atahudhuria sherehe uliyomwalika, ujue ni kwa sababu tu amekuheshimu, la sivyo, asingehudhuria.

Hata kazini, yeye angefurahia kukaa kwenye ofisi ya peke yake. Ni tofauti na mwenzake - Sanguine. Sanguine kukaa peke yake ni kama mateso vile.

4. KUWAKOPESHA WATU KIRAHISI
Katika temperament zote 4, mbili ndizo zinazoongoza kwa kuwa wepesi kuguswa hisia zao. Nazo ni SANGUINE na MELANCHOLY. Lakini hasa Melancholy, ana tabia ya kuwatanguliza sana wengine. Ana tabia ya huruma sana na kujitoa "sadaka" kwa ajili ya wengine.

5. MARAFIKI WACHACHE
Kwa kawadi, Melancholy hutengeneza marafiki kwa tahadhari sana lakini pia si rahisi kuwapoteza marafiki. Yeye, msimamo wake ni kuwa bora kuwa na marafiki wachache lakini walio bora. Anazongatia ubora na si idadi.

Kutokana na kutokuwa mwepesi kumridhia mtu kama rafiki yake, pia ni nadra sana kwa yeye kumpoteza rafiki. Isitoshe, katika makundi yote 4, ndilo kundi linaloongoza kwa kuaminiwa. Ndilo kundi pia linaloongoza kwa kuwa waaminifu.

Kwa kuongezea tu, hizi ni baadhi ya tabia zingine za Melancholy:

A. Ni watu wa kufikiria sana. Kama analifikiria jambo linalogusa hisia, anaweza akfikiria mpaka akaanza kutokwa na machozi, ingawa jambo lenyewe ni la kufikirika tu.

B. Ndilo kundi linaloongoza kwa kuwa na vipaji vingi, ingawa wana changamoto ya kutokujiamini

C. Si wepesi kufanya maamuzi ingawa pia wakishaamua ni vigumu kubadili misimamo yao

D. Wako very organized. Kama ni mwanaume, kwa mfano, anaporudi tu kutoka kazini, si ajabu anaweza akaanza kuhoji sababu ya vyombo kutokupangiliwa katika mpangilio stahiki.

E. Perfectionist. Wao ni bora wachelewe kukamilisha jambo lakini walifanye katika kiwango wanachoamini kuwa ni cha ubora unaoridhisha

F. Hawapendi umaarufu. Yeye anaridhika kukaa "viti" vya nyuma, tofauti na Sanguine ambaye yeye anataka anapokuwa mahali fulani kila mtu autambue uwepo wake. Inasemekana, kama Sanguine akiwa na nusu ya uwezo wa Melancholy, angekuwa maarufu haraka sana.

G. Wakati mwingine huwaona Sanguine kama watu wasiokuwa na akili kutokana na udhaifu wa Sanguine kuongea bila kufikiria.

H. Ni wasiri sana, hivyo wanaaminika sana katika ushauri. Wana vifua vya kutunza siri za watu. Ni tofauti na Sanguine ambaye yeye akishajua mambo ya siri ya mtu, anaweza akashindwa kuvumilia na kuishia kusema kwa mtu anayemwamini akifikiri naye hataenda kuyavujisha kama yeye alivyoyavujisha.

Hizo ni baadhi tu, lakini pia, si lazima mtu awe nazo zote.

Kwa hiyo, inavyoonekana, wewe unaweza ukawa na temperament ya Melancholy.
 
Mimi tangu nijue kuwa wabongo wengi ni low IQs nilishaacha kuwauliza ishu zinazofikilisha Kama hizi zinazohusisha saikolojia, nikitaka mada kama hizi huwa naenda Quora huko ndio kuna watu tunaweza think deep na kusaidia vijana wengine katika Mambo mbalimbali Ila humu utatukanwa tu . Wewe Kama unataka ueleweke waulize ishu za ngono nk.
 
Mimi tangu nijue kuwa wabongo wengi ni low IQs nilishaacha kuwauliza ishu zinazofikilisha Kama hizi zinazohusisha saikolojia, nikitaka mada kama hizi huwa naenda Quora huko ndio kuna watu tunaweza think deep na kusaidia vijana wengine katika Mambo mbalimbali Ila humu utatukanwa tu . Wewe Kama unataka ueleweke waulize ishu za ngono nk.
Kweli kabisa. Hilo nimeliona leo. Nashukuru sana kwa ushauri wako. Ila wapo wengine ambao wapo smart. Appreciating them
 
Wewe ni mtoto bado subri ukue utajua we ni nani bwana mdogo.Najua unataka upewe jibu kwamba ni introvert lakini sio kweli
Kwa mujibu wa maelezo yake, sifa nyingi alizozitaja ni za Melancholy, na kama atakuwa Melancholy, itamaanisha yeye ni INTROVERT.
 
Kwa mujibu wa maelezo yake, sifa nyingi alizozitaja ni za Melancholy, na kama atakuwa Melancholy, itamaanisha yeye ni INTROVERT.
Yeah inawezekana sema huyu bado mdogo na vijana siku hizi wanatabia ya kutengeza tabia zao ambazo ni tofauti innate traits.So,never trust them.
 
Hili ni swali kwa wataalamu wa sychology. Kijana una tabia ya introvert. Wenyewe watafafanua
 
Hello!

Matumaini yangu hamjambo kabisa.

Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
  • Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
  • Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
  • Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
  • Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need serious love
  • Napenda Horror movies
  • Nasoma pia horror novels
  • Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
  • Sio msafi sana wala mchafu (normal)
  • Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
  • Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Mpira na siasa sipendi kabisa
  • Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
  • Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
-Sina marafiki wengi.
  • Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
  • Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
ASANTENI SANA
Introvert 🥶
 
Hello!

Matumaini yangu hamjambo kabisa.

Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
  • Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
  • Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
  • Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
  • Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need serious love
  • Napenda Horror movies
  • Nasoma pia horror novels
  • Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
  • Sio msafi sana wala mchafu (normal)
  • Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
  • Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Mpira na siasa sipendi kabisa
  • Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
  • Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
-Sina marafiki wengi.
  • Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
  • Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
ASANTENI SANA
Wewe ni Yanggaa
 
Uko Kawaida ila ukitaka Kujifahamu zaidi anza Self Development Journey,

Usinagalie Madhaifu, play on your Strengths

Ukijitaji msaada wa mtu anaekuelewa DM iko Open
 
Sigma na Alpha ni kitu gani?

Mimi Nifahamuvyo, kuna makundi manne ya temperament:
1. Sanguine
2. Melancholy
3. Choleric
4. Phlegmatic

Sanguine na Choleric zipo kwenye kundi la EXTROVERT, Melancholy na Phlegmatic zipo kwenye kundi la INTROVERT.

Lakini ifahamike pia kuwa hakuna mtu mwenye tabia za kundi moja kwa asilimia mia moja. Tafiti zinaonesha kuwa mtu mmoja anaweza kuwa na tabia za makundi mawili au hata matatu, ila ile inayoonekana kuwa "dominant" ndiyo hutumika kumtambulisha kuwa yeye ni wa kundi fulani.

Kwa mfano, mtu mwenye uwiano wa SANGUINE 70%, CHOLERIC 20% na PHLEGMATIC 10% atatambulika kama SANGUINE. Kwa huyo mtu, Temperament ya Sanguine ndiyo imekuwa "dominant".

Kwa maelezo yako, inaonekana upo kwenye kundi la MELANCHOLY. Vigezo nilivyovitumia kufikia hiyo hitimisho ni maelezo yako binafsi, kama:

1. MWONGEAJI UNAPOKUWA NA WATU ULIOZOEANA NAO
Melancholy anafahamika kuwa ni mkimya sana, lakini anao uwezo mkubwa wa kubadilika kulingana na mazingira. Akiamua kuongea, wasiofahamu huishia kumtambua kama mtu mwongeaji sana, lakini mtu uyo huyo wakimkuta kwenye mazingira mengine, wanaweza wakashangazwa kwa jinsi alivyo mkimya.

2. NDOTO KUBWA
Ni tabia mojawapo inayowatambulisha. Mara nyingi, hawapendi kuwa katikati. Wakiweka malengo, wanaweka makubwa sana ambayo wakati mwingine hushindwa kuyafikia.

3. KUTOKUPENDA MIKUSANYIKO
Kutokana na asili ya tabia zao, endapo atahudhuria sherehe uliyomwalika, ujue ni kwa sababu tu amekuheshimu, la sivyo, asingehudhuria.

Hata kazini, yeye angefurahia kukaa kwenye ofisi ya peke yake. Ni tofauti na mwenzake - Sanguine. Sanguine kukaa peke yake ni kama mateso vile.

4. KUWAKOPESHA WATU KIRAHISI
Katika temperament zote 4, mbili ndizo zinazoongoza kwa kuwa wepesi kuguswa hisia zao. Nazo ni SANGUINE na MELANCHOLY. Lakini hasa Melancholy, ana tabia ya kuwatanguliza sana wengine. Ana tabia ya huruma sana na kujitoa "sadaka" kwa ajili ya wengine.

5. MARAFIKI WACHACHE
Kwa kawadi, Melancholy hutengeneza marafiki kwa tahadhari sana lakini pia si rahisi kuwapoteza marafiki. Yeye, msimamo wake ni kuwa bora kuwa na marafiki wachache lakini walio bora. Anazongatia ubora na si idadi.

Kutokana na kutokuwa mwepesi kumridhia mtu kama rafiki yake, pia ni nadra sana kwa yeye kumpoteza rafiki. Isitoshe, katika makundi yote 4, ndilo kundi linaloongoza kwa kuaminiwa. Ndilo kundi pia linaloongoza kwa kuwa waaminifu.

Kwa kuongezea tu, hizi ni baadhi ya tabia zingine za Melancholy:

A. Ni watu wa kufikiria sana. Kama analifikiria jambo linalogusa hisia, anaweza akfikiria mpaka akaanza kutokwa na machozi, ingawa jambo lenyewe ni la kufikirika tu.

B. Ndilo kundi linaloongoza kwa kuwa na vipaji vingi, ingawa wana changamoto ya kutokujiamini

C. Si wepesi kufanya maamuzi ingawa pia wakishaamua ni vigumu kubadili misimamo yao

D. Wako very organized. Kama ni mwanaume, kwa mfano, anaporudi tu kutoka kazini, si ajabu anaweza akaanza kuhoji sababu ya vyombo kutokupangiliwa katika mpangilio stahiki.

E. Perfectionist. Wao ni bora wachelewe kukamilisha jambo lakini walifanye katika kiwango wanachoamini kuwa ni cha ubora unaoridhisha

F. Hawapendi umaarufu. Yeye anaridhika kukaa "viti" vya nyuma, tofauti na Sanguine ambaye yeye anataka anapokuwa mahali fulani kila mtu autambue uwepo wake. Inasemekana, kama Sanguine akiwa na nusu ya uwezo wa Melancholy, angekuwa maarufu haraka sana.

G. Wakati mwingine huwaona Sanguine kama watu wasiokuwa na akili kutokana na udhaifu wa Sanguine kuongea bila kufikiria.

H. Ni wasiri sana, hivyo wanaaminika sana katika ushauri. Wana vifua vya kutunza siri za watu. Ni tofauti na Sanguine ambaye yeye akishajua mambo ya siri ya mtu, anaweza akashindwa kuvumilia na kuishia kusema kwa mtu anayemwamini akifikiri naye hataenda kuyavujisha kama yeye alivyoyavujisha.

Hizo ni baadhi tu, lakini pia, si lazima mtu awe nazo zote.

Kwa hiyo, inavyoonekana, wewe unaweza ukawa na temperament ya Melancholy.
Big time mkuu✊
 
Uko Kawaida ila ukitaka Kujifahamu zaidi anza Self Development Journey,

Usinagalie Madhaifu, play on your Strengths

Ukijitaji msaada wa mtu anaekuelewa DM iko Open
Inafanyikaje hii?
 
Back
Top Bottom