Naombeni mnisaidie kujua mimi ni mtu aina gani?

Naombeni mnisaidie kujua mimi ni mtu aina gani?

Mimi tangu nijue kuwa wabongo wengi ni low IQs nilishaacha kuwauliza ishu zinazofikilisha Kama hizi zinazohusisha saikolojia, nikitaka mada kama hizi huwa naenda Quora huko ndio kuna watu tunaweza think deep na kusaidia vijana wengine katika Mambo mbalimbali Ila humu utatukanwa tu . Wewe Kama unataka ueleweke waulize ishu za ngono nk.
Kabisa mkuu.

Tazama hata majibu wanayo yatoa hapa.

Wabongo wanataka nyuzi za kula kimasihara.
 
..."WEWEEE NI WAKAWAIDAAA SANAAA!."

In Pastor Mgogo voice
 
Kumbe! Nashukuru, Ila watu wasione ni ajabu mtu kuwa wa kundi fulani. Kila upande una strengths na weaknesses zake.

Kuwa introvert ni jambo jema, na kuwa extrovert ni vyema pia. Kila kundi linamuhitaji mwenzake. Kwa hiyo, kila mtu ajikubali kulingana na kundi lake. Hana hasara, bali faida hasa endapo atajifunza kutumia kwa ufasaha strengths za personal traits alizo nazo.
For sure! sema introverts ni kama special case make the moment mtu ataweka wazi kuwa ana traits za hivyo reaction yake ni tofauti na mtu akisema ana-features za extrovert.Sababu ni kwamba kuna wengine hujipachika hizi tabia kutokana na uzoefu waliopitia kimazingira na sio kwamba wamezaliwa hivyo ndio maana negativity kwenye response ikiwa mada ya hivyo ni kiasi cha juu
 
For sure! sema introverts ni kama special case make the moment mtu ataweka wazi kuwa ana traits za hivyo reaction yake ni tofauti na mtu akisema ana-features za extrovert.Sababu ni kwamba kuna wengine hujipachika hizi tabia kutokana na uzoefu waliopitia kimazingira na sio kwamba wamezaliwa hivyo ndio maana negativity kwenye response ikiwa mada ya hivyo ni kiasi cha juu
Ila wakati mwingine bwana! Sasa kuna shida gani mtu akijipachika sifa nzuri hata kama hana, hasa ikizingatiwa kuwa anatumia "anonymous" id? Kama anaamini kuwa akijiita introvert kutamnufaisha kwa namna moja au nyingine, aachwe ajiite hivyo. Tena ikibidi, asijiite tu introvert, bali introvert plus!
 
Ila wakati mwingine bwana! Sasa kuna shida gani mtu akijipachika sifa nzuri hata kama hana, hasa ikizingatiwa kuwa anatumia "anonymous" id? Kama anaamini kuwa akijiita introvert kutamnufaisha kwa namna moja au nyingine, aachwe ajiite hivyo. Tena ikibidi, asijiite tu introvert, bali introvert plus!
Kwangu sioni shida sema ukijipachika hizo tabia huku mtandaoni alafu ukaziendeleza mtaani inakuwa sio poa man.Introverts ambao ni real wanapitia kipindi kigumu kwa sababu ya watu wa design hii(kujipa sifa wasizokuwa nazo).Mtaa unawapokea tofauti wakijua ni waigizaji kumbe sio kweli.
 
Hello!

Matumaini yangu hamjambo kabisa.

Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
  • Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
  • Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
  • Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
  • Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need serious love
  • Napenda Horror movies
  • Nasoma pia horror novels
  • Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
  • Sio msafi sana wala mchafu (normal)
  • Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
  • Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
-Mpira na siasa sipendi kabisa
  • Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
  • Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
-Sina marafiki wengi.
  • Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
  • Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international
ASANTENI SANA
mkuu mbona kama tunafanana ila mim kuna muda nafurahia kampani yangu mwenyew na kuna muda najichanganya na watu.So wewe ni introvert yaan upo wewe kama wewe huhitaji sapoti yeyote kutoka kwa marafiki.
 
Mimi tangu nijue kuwa wabongo wengi ni low IQs nilishaacha kuwauliza ishu zinazofikilisha Kama hizi zinazohusisha saikolojia, nikitaka mada kama hizi huwa naenda Quora huko ndio kuna watu tunaweza think deep na kusaidia vijana wengine katika Mambo mbalimbali Ila humu utatukanwa tu . Wewe Kama unataka ueleweke waulize ishu za ngono nk.
Au sio
 
Comments zinaonyesha namna tulivyo na taifa la watu wa hovyo.

Wenzetu hizo changamoto wanazichukulia kawaida tu na wana experts kabisa wanao somea hayo mambo na wana saidia sana jamii ila bongo mtu akieleza ukweli wake anadhihakiwa ama kutukanwa.

Pole sana brother, hili ndilo taifa letu kuwa mvumilivu tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
wewe mwenyewe umeishia kulalama tu nakupiga blah blah hakuna lolote la maana ulilomsaidia
 
Sijui sababu kubwa kwanini inakuwa hivyo sema nafikiri sababu zinaweza kuwa kama hizi:

Introverts wengi wanadhaniwa kuwa na uwezo mkubwa(japo sio wote na sina ushahidi wowote ).Hivyo basi kama hii ni kweli basi watu wengi ukishasema wewe ni introvert wanaweza fikiri unataka kujikweza au mambo ya husda(maana mwadamu siku zote struggle zake zimekuwa- recognition,dominance,and being respected(celebrated,appreciated ..just to make list short).

Sababu nyingine ni kuwa kundi la introverts wengi wao ni ngumu jamii kuwaelewa na hulka ya mwanadamu nikupenda kumchimba mtu(kumjua kwa undani)kitu ambacho ni kigumu ku-achieve kwa kundi la watu wa namna hii.Ndio maana unakuta wanapewa label kama machizi,jeuri,n.k lakini sio kweli
Asante hicho ulichoandika hasa kwenye aya ya kwanza ndicho nilichotaka kuandika nilipoquote ile comment yako ya kwanza kabisa, sema nikaona acha nisikushutumu nikuulize kwanza sababu kwanini ulimponda jamaa kujiita introvert, bahati nzuri kumbe sikukosea umekuja mule mule

Hata mimi kuna kasumba nimeiona ya watu wengi kuwachukia na kuwaponda introverts, kisa tu inasemekana wengi wao wana akili sana na uwezo mkubwa wa kuchanganua mambo, kwahiyo ikitokea mtu anasema ana characters za introverts watu wanaanza kumpinga na kusema yeye siyo

Kisa tu vichwani mwao wanahisi kama huyo mtu kwa lugha nyingine anajaribu kusema kuwa yeye ana akili sana, maana kama introverts wasingekuwa na maajabu yoyote basi watu wasingekuwa wanawachukia, so nikahisi nawe ni wale wale wanaochukia introverts kwa sababu hizo hizo
 
Sasa ikiwa wewe mwenyewe hujijui ni mtu wa aina gani unadhani nani atakaekujua?

Ukitaka hasa kujua wewe ni mtu wa aina gani, angalia matendo yako pale unapokuwa peke yako ama kutoonekana na wengine, huo ndio uhalisia wa utu wako.
SASAASA MKUU ATAJUAJE IAKIWA PEKEYAKE NDO KAINGIA HUMU
 
Asante hicho ulichoandika hasa kwenye aya ya kwanza ndicho nilichotaka kuandika nilipoquote ile comment yako ya kwanza kabisa, sema nikaona acha nisikushutumu nikuulize kwanza sababu kwanini ulimponda jamaa kujiita introvert, bahati nzuri kumbe sikukosea umekuja mule mule

Hata mimi kuna kasumba nimeiona ya watu wengi kuwachukia na kuwaponda introverts, kisa tu inasemekana wengi wao wana akili sana na uwezo mkubwa wa kuchanganua mambo, kwahiyo ikitokea mtu anasema ana characters za introverts watu wanaanza kumpinga na kusema yeye siyo

Kisa tu vichwani mwao wanahisi kama huyo mtu kwa lugha nyingine anajaribu kusema kuwa yeye ana akili sana, maana kama introverts wasingekuwa na maajabu yoyote basi watu wasingekuwa wanawachukia, so nikahisi nawe ni wale wale wanaochukia introverts kwa sababu hizo hizo
Mi sina chuki na introvert maana ni jambo la creation sio utashi wa mtu.So,God knows why he created them so.It was all about jokes(nothing serious here bro).Sema tu chuki yangu ni kwa introvert wa mchongo tu
 
SASAASA MKUU ATAJUAJE IAKIWA PEKEYAKE NDO KAINGIA HUMU
nyeto unapiga ukiwa mwenyewe hivyo kama mtu ana tabia hiyo inamaanisha huwa ndio uhalisia wake.

Kwa mganga unaenda peke yako, hii inamaanisha ni mshirikina n.k
 
Sasa ikiwa wewe mwenyewe hujijui ni mtu wa aina gani unadhani nani atakaekujua?

Ukitaka hasa kujua wewe ni mtu wa aina gani, angalia matendo yako pale unapokuwa peke yako ama kutoonekana na wengine, huo ndio uhalisia wa utu wako.
Nafikiri Yuko sahihi kuuliza mkuu kwani nivigumu kujijua Tabia yako Ila watu wanaweza kuijua Tabia yako

Yani nihivi mkuu wewe unanijua Mimi vizuri kuliko ninavyo jijua Mimi
Na Mimi naweza kujijua wewe vizuri kuliko vile wewe unavyo jijua
 
Nimtu mwenye kujitolea na asiye hitaji shukrani

Nikiongozi usiye penda kuonekana unaongoza

Nimtu unaye ishi kwenye ndoto Sana kuriko Maisha harisi lakini Maisha huanzia kwenye ndoto kwahiyo si vibaya kuishi ndotoni

Nimtu mwenye kuku bariana na matokeo/Hari harisi kwani..
una Amini kukataliwa nijibu na kuku baliwa no jibu

kwakifupi wewe ni mtu mwema na nimiongoni mwa binadam wachache wanao patikana kwenye hii dunia

ungekuwa raisi ungekufa Kama alivyo kufa nyelele /bila kitu lakini heshima moaka kesho
 
Mi sina chuki na introvert maana ni jambo la creation sio utashi wa mtu.So,God knows why he created them so.It was all about jokes(nothing serious here bro).Sema tu chuki yangu ni kwa introvert wa mchongo tu
Sasa huku si ni mtandaoni mkuu mnajuaje kuwa huyu ni introvert halisi na huyu ni wa mchongo, na kama nilivyosema humu sijawahi kuona mtu kaanzisha uzi wa kujiita introvert halafu ukose comments za watu kumpinga na kumponda, sasa najiuliza introverts wote wanaokuja kujisema humu ni wa mchongo au tatizo siyo uintrovert wake bali ni kule kujisema tu mitandaoni
 
Sasa huku si ni mtandaoni mkuu mnajuaje kuwa huyu ni introvert halisi na huyu ni wa mchongo, na kama nilivyosema humu sijawahi kuona mtu kaanzisha uzi wa kujiita introvert halafu ukose comments za watu kumpinga na kumponda, sasa najiuliza introverts wote wanaokuja kujisema humu ni wa mchongo au tatizo siyo uintrovert wake bali ni kule kujisema tu mitandaoni
Trust me wengi waliochangia kwenye hii mada in a negative way( not all but a resonable number ilikuwa ni jokes)
 
Intro hanaga time na watu huezi mkuta intro anazungumza ovyo ata awe na watu aliowazoea labda awe kalewa sana ,inrov wanajuwa mambo makubwa ila wanayachukulia simple
 
Back
Top Bottom