Naombeni msaada niko kwenye msongo wa mawazo

Sasa kama mlipima na mkajikuta mko poa nini unawaza halafu acha kuvaa ndomu kimapepe.
Hakikisha hauachi kiputo cha upepo kwenye kichwa.
 
Mkuu punguza tu mawazo yanayozidi kukupukutisha,kwanza ndomu ni overrated sijui Kama serikali inajua vijana wake wanatumia ndomu tu goli la kwanza
 
Kinachowaua watu wengi ni mawazo, we chanja mbuga usifikirie nyuma, huwezi kubadilisha matokeo, kama ni 0 ni 0, na kama ni 1 ni 1.
 
sawa chief.. nashukuru
Jitahidi bwa mdogo kuleta mada zenye akili,mabinti wanawake na mama zao hatupo huko tena.
Soma hiyo thred mara 2 ujue ulikosea wapi.
Jitahidi sana utafute pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…