Naombeni msaada niko kwenye msongo wa mawazo

Naombeni msaada niko kwenye msongo wa mawazo

Sasa kama mlipima na mkajikuta mko poa nini unawaza halafu acha kuvaa ndomu kimapepe.
Hakikisha hauachi kiputo cha upepo kwenye kichwa.
 
Mkuu punguza tu mawazo yanayozidi kukupukutisha,kwanza ndomu ni overrated sijui Kama serikali inajua vijana wake wanatumia ndomu tu goli la kwanza
 
Kinachowaua watu wengi ni mawazo, we chanja mbuga usifikirie nyuma, huwezi kubadilisha matokeo, kama ni 0 ni 0, na kama ni 1 ni 1.
 
Back
Top Bottom