Dadakidoti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2024
- 399
- 1,409
- Thread starter
- #41
namisi vile bibi alikua anambia mfinye mtoto kidogo alie nisikie sauti yake. namisi babu alikuwa anambia umlete akachunge ng'ombe .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namisi vile bibi alikua anambia mfinye mtoto kidogo alie nisikie sauti yake. namisi babu alikuwa anambia umlete akachunge ng'ombe .
Bado unapambania kombe hujakata tamaa?? 😹
Yukoje vipi mwenzio kakuelewa hawezi kuishi bila wewe 😹😹umenifanya nicheke. sijui ukoje wewe
Akija kanda ya ziwa kutembelea makaburi atanikutaYukoje vipi mwenzio kakuelewa hawezi kuishi bila wewe 😹😹
Mkubalie basi naye mpweke km wewe..!!
Si eti broda Wagumu Tunadumu 😜
Ni muda sasa akufikirie, umejitahidi kusoma ile hadithi ilivyo ndefu vile lakini umepambana mpk mwisho 😹😹😹Akija kanda ya ziwa kutembelea makaburi atanikuta
Nimtolee upekwe na nimfundishe aache kuandika kiswahili cha kisukuma cha kufa badala ya kufariki
Pia ntamshawishi aishi huku kabisa,mtoto wake apate mdogo wake pia
Kwanza umewahi kwenda walikozikwa wapendwa wako ?sijui hata pa kuanzia
Ukihamia Msumi naomba nicheki tujenge undugu tafadhali maana undugu sio lazima wa tumbo moja, Kuhusu kufiwa hio hali ni ya kawaida kabisa hata mimi nimepitia cha kufanya chukua pen na karatasi kila siku asubuhi andika kila unachokiwaza page tatu ukimaliza choma moto au chana flash chooni, fanya meditation na kingine tafuta kitu kitakacho ku keep busy sana ufanye nje ya kazi ya kawaida.thamani yangu hipi labda? hiko wapi mdogo wangu tumbo moja baba mmoja na mama mmoja yupo hapa Dar lkn nina miaka saba sasa tangu nimuone, nikimpigia huwa hapokei msg hajibu. nimejifungua mwanangu ana miaka 2.5 sasa lkn hajawahi hata kuja kumuona. kama ndugu yako mwenyewe hakuoni wa thamani nani ataiona thamani yako. mama alikuja Tz kumzka mama yake alipitia Dar lkn hakunipigia hata simu. angalau kumwona mjukuu wake. nisipo mgia mimi hata siku moja hawezi hata kukosea namba akanipigia nina miaka 8 sasa tangu niione sura ya mama yangu. babu na bibi waliokuwa wananipa thamani Mungu akawachukua kudhihirisha kuwa mimi si chochote. kinachoniuma ni hiki kiumbe kisicho na hatia. thamani hipi unaongelea labda.
nitakupigaNi muda sasa akufikirie, umejitahidi kusoma ile hadithi ilivyo ndefu vile lakini umepambana mpk mwisho 😹😹😹
awweeh akupe tu hata uguse 🤣
😹😹😹 Mpe hata ashike tu na roho yake itapona..!!nitakupiga
hapanaUmeshaenda kuzuru makaburi?
Usijikatie tamaa ungali bado hai,kama ndugu sio sehemu ya maisha yako basi mtu wako aweza kuwa zaidi ya ndugu.thamani yangu hipi labda? hiko wapi mdogo wangu tumbo moja baba mmoja na mama mmoja yupo hapa Dar lkn nina miaka saba sasa tangu nimuone, nikimpigia huwa hapokei msg hajibu. nimejifungua mwanangu ana miaka 2.5 sasa lkn hajawahi hata kuja kumuona. kama ndugu yako mwenyewe hakuoni wa thamani nani ataiona thamani yako. mama alikuja Tz kumzka mama yake alipitia Dar lkn hakunipigia hata simu. angalau kumwona mjukuu wake. nisipo mgia mimi hata siku moja hawezi hata kukosea namba akanipigia nina miaka 8 sasa tangu niione sura ya mama yangu. babu na bibi waliokuwa wananipa thamani Mungu akawachukua kudhihirisha kuwa mimi si chochote. kinachoniuma ni hiki kiumbe kisicho na hatia. thamani hipi unaongelea labda.
asante nashukuruUsijikatie tamaa ungali bado hai,kama ndugu sio sehemu ya maisha yako basi mtu wako aweza kuwa zaidi ya ndugu.
Jaribu kumshukuru Mungu hata kwa kidogo alichokupa coz kuna wengine hawana chochote kabisa.samahani naombeni msaada wenu nipo njia panda.
asante kipenzi. asanteJaribu kumshukuru Mungu hata kwa kidogo alichokupa coz kuna wengine hawana chochote kabisa.
1: Amekupa uhai na afya njema(nenda hospitali)
2:Amekupa kazi.(tatizo kubwa duniani ni ajira)
3:Amekupa mtoto.(kuna tasa)
Nb:Kwenye maisha jifunze kuachia na kushukuru, kama unaweza kubadilisha sawa kama huwezi usilazimishe kwani kuna vitu huwezi kuvibadilisha.Mwisho wa siku wote tutakufa na utagundua maisha ni ubatili mtupu.
Huyu mzee alinifungua sana akili.
View attachment 3229115
nitamtumia pm😹😹😹 Mpe hata ashike tu na roho yake itapona..!!
sawa nitafanya hivoUkihamia Msumi naomba nicheki tujenge undugu tafadhali maana undugu sio lazima wa tumbo moja, Kuhusu kufiwa hio hali ni ya kawaida kabisa hata mimi nimepitia cha kufanya chukua pen na karatasi kila siku asubuhi andika kila unachokiwaza page tatu ukimaliza choma moto au chana flash chooni, fanya meditation na kingine tafuta kitu kitakacho ku keep busy sana ufanye nje ya kazi ya kawaida.
asantepole sana