Scania 113
Member
- Apr 3, 2020
- 25
- 129
Oya tigo lipa kwa smu vipi bado iko moto au inaenda mwsho ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya tigo lipa kwa smu vipi bado iko moto au inaenda mwsho ?
Ndio ilikuwa ni 500K
Changamoto zake n zip??? ukichukua kwa mtuNdio ilikuwa ni 500K
Ipo moto wa kuotea mbali.Oya tigo lipa kwa smu vipi bado iko moto au inaenda mwsho ?
Umenitia moyo sana mzee wangu.NMB ina wateja wengi sana na faida yake pia ni nzuri kwa uzoefu ukifanya miamala 40 ya wastani 10,000 mpaka 300,000 unaweza pata faida mpaka 700k hiyo ni kwa mtu anaetumia NMB via selcom ila ukitumia NMB Pos unaweza kupata zaidi
N.B hiyo miamala ikiwa ya pesa nyingi unaweza kupata faida zaidi ila ni kazi sana kupata pos ya NMB kwani wamestisha kuzitoa
NMB Selcom ni uwakala kwa kutumia machine ya selcom ndani kunakuwa na application ya selcom hapa Kamisheni kuna asilimia anachukua selcom ila ni kidogo sanaUmenitia moyo sana mzee wangu.
Ila sijakuelewa vitu viwili hapo kati ya NMB selcom na NMB pos naomba tofauti zake mzee wangu
Ngoj waweke makat siunajua. Inakaribia kumaliz mwak Tigo lipa
Asante Sana [emoji120]NMB Selcom ni uwakala kwa kutumia machine ya selcom ndani kunakuwa na application ya selcom hapa Kamisheni kuna asilimia anachukua selcom ila ni kidogo sana
NMB Pos ni utoaji wa huduma za uwakala kwa kutumia machine ambayo hutoewa na NMB direct
Kiongozi msaada muongozo hapaNMB Selcom ni uwakala kwa kutumia machine ya selcom ndani kunakuwa na application ya selcom hapa Kamisheni kuna asilimia anachukua selcom ila ni kidogo sana
NMB Pos ni utoaji wa huduma za uwakala kwa kutumia machine ambayo hutoewa na NMB direct
Kwa sasa Selcom wamebaki na benki nyingine kasoro NMB ambao wamesitisha kwanza mfumo huo mwanzo kabla ya NMB kusitisha Selcom walikua na uwezo pia wa kukuunganisha na uwakala wa NMB ila benki nyingine ni mpaka utembelee matawi ya benki husika Ili waweze kukuunganisha na huduma za uwakala.Kiongozi msaada muongozo hapa
-kwa hiyo selcom wamebaki na bank gani kwa sasa
-Na ukiungwa selcom huduma automatic unaweza toa huduma za bank au mpaka utembele bank husika uunganishwe
-Na mashine ya selcom inakubali/inasoma card za bank kama sifanyavyo mashine za bank husika
Ndio wana benki kama 11 ispokuwa NMB tuKiongozi msaada muongozo hapa
-kwa hiyo selcom wamebaki na bank gani kwa sasa
-Na ukiungwa selcom huduma automatic unaweza toa huduma za bank au mpaka utembele bank husika uunganishwe
-Na mashine ya selcom inakubali/inasoma card za bank kama sifanyavyo mashine za bank husika
Vipi mkuu umeshaanza kuutumia ???Pia mfumo wa simu waliohamia NMB Kwa sasa una changamoto nyingi Sana japo ndio wapo kwenye majaribio lakini unakosesha wateja wengi Sana.
SELCOM wana benki karibia zote. Utaondoa Equity, Exim na vibenki vingine vidogo vidogo.Kwa sasa Selcom wamebaki na benki nyingine kasoro NMB ambao wamesitisha kwanza mfumo huo mwanzo kabla ya NMB kusitisha Selcom walikua na uwezo pia wa kukuunganisha na uwakala wa NMB ila benki nyingine ni mpaka utembelee matawi ya benki husika Ili waweze kukuunganisha na huduma za uwakala.
Wewe sio wakala namaanisha utoe huduma kwa wateja 40 kwa siku miamala 40 kwa siku ya kutoa na kuweka hiyo kamisheni unapata kwa mwezi sawa na wateja 1200 kwa mwezi unapata hiyo kamisheni watu wanapata pesa sana kupitia agency banking ni vile hujui tu😂😂😂Yule wa laki saba kwa miamala ya 10000 kakamatika vibaya
Kwa hiyo inasoma na card za bank husikaNdio wana benki kama 11 ispokuwa NMB tu