rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,020
- 3,309
Kwa nn boss???Hii ni fursa kwa crdb mshinan wao abak kwenye POS tu atafanya kazi sanaaa sanaa,,NMB amejimix pakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn boss???Hii ni fursa kwa crdb mshinan wao abak kwenye POS tu atafanya kazi sanaaa sanaa,,NMB amejimix pakubwa
Kwa nn boss???Hii ni fursa kwa crdb mshinan wao abak kwenye POS tu atafanya kazi sanaaa sanaa,,NMB amejimix pakubwa
Poa ni zile touch au zile za kizamani250k
TouchPoa ni zile touch au zile za kizamani
Matumizi ya K ndo hujaelewa yanamaanisha nini kwenye cash,ndo maana hawakuelewi taja tu fig kamili.Ninafanya hiyo biashara kwa mda mrefu zaidi ili upate faida itabidi ufanye miamala mingi ya kutoa ukitoa 10k untapata faida ya 380k ukitoa 100k utapata 720 ukitoa laki 2 unatapa kama 1000 plus akiangalia salio utapata 180 kamisheni
N.B japo haitabiliki inategemeana na nature ya miamala
Mkuu napataje machine ya selcomHuu mfumo hautumii hata app huu mfumo unatumia simu kama tigopesa unaunganishwa Kwa njia ya simu Kwa kupitia line ya Airtel sasa mteja akija kutoa anatoa kwenye simu yake kwanza halafu anatumiwa namba ya Siri ya kutolea hela na inapaswa kutolewa ndani ya dk 5 ukichelewa baaada ya hapo unarudi kwenye Akaunti yake sasa changamoto hapo ni mtandao unaanza kukuambia upo chini na pia hata ukifanikiwa kuingiza hizo namba bado itakuambia muamala haupo, pia changamoto kubwa wengi wanataka kutoa Kwa kadi hapo ukiwauliza NMB wanakuambia inabidi uwe unawaelekeza waende kwenye ATM zilizopo karibu Kwa kweli hapa sijui NMB waliwaza Nini lakini wameharibu Sana.
Hebu Soma Tena ulichoandika hapaNinafanya hiyo biashara kwa mda mrefu zaidi ili upate faida itabidi ufanye miamala mingi ya kutoa ukitoa 10k untapata faida ya 380k ukitoa 100k utapata 720 ukitoa laki 2 unatapa kama 1000 plus akiangalia salio utapata 180 kamisheni
N.B japo haitabiliki inategemeana na nature ya miamala
Unatakiwa uwe na tin leseni na kitambulisho pamoja na barua ya utambulisho pamoja na mtaji wa laki 5 laki 3 unawekewa float na laki mbili no gharama za mashineMkuu napataje machine ya selcom
Sio mtaji laki mbili na laki tatu gharama ya machine????Unatakiwa uwe na tin leseni na kitambulisho pamoja na barua ya utambulisho pamoja na mtaji wa laki 5 laki 3 unawekewa float na laki mbili no gharama za mashine
Kinachofanyika ni kwambaKiongozi msaada muongozo hapa
-kwa hiyo selcom wamebaki na bank gani kwa sasa
-Na ukiungwa selcom huduma automatic unaweza toa huduma za bank au mpaka utembele bank husika uunganishwe
-Na mashine ya selcom inakubali/inasoma card za bank kama sifanyavyo mashine za bank husika
Ninayo nauzaaMkuu napataje machine ya selcom
Hii ni mwaka gani mkuu, mie nimefanya hiyo biashara hakuna kitu kama hicho.Ninafanya hiyo biashara kwa mda mrefu zaidi ili upate faida itabidi ufanye miamala mingi ya kutoa ukitoa 10k untapata faida ya 380k ukitoa 100k utapata 720 ukitoa laki 2 unatapa kama 1000 plus akiangalia salio utapata 180 kamisheni
N.B japo haitabiliki inategemeana na nature ya miamala