Naombeni mwenye kujua faida za kuwa wakala wa NMB

Naombeni mwenye kujua faida za kuwa wakala wa NMB

SELCOM wana benki karibia zote. Utaondoa Equity, Exim na vibenki vingine vidogo vidogo.

Ukihitaji kuwezesha POS yako ya SELCOM kutumika itakubidi utembelee tawi la karibu yako. Isipokuwa kwa benki ya NBC na MCB.

Tatizo la SELCOM ni kuwa, faida inagawanywa katika mihimili mitatu. Benki husika, SELCOM wenyewe na wewe pia.

Lakini pia, kuna baadhi ya huduma hutozipata ukitumia SELCOM kuliko ambapo ungetumia POS ya benki husika.

Karibu Mkuu
Sasa hivi Selcom nao hawakuunganishi Tena na NMB
 
Vipi mkuu umeshaanza kuutumia ???
Ndio nautumia mkuu na Mimi ni miongoni mwa watumiaji wa Huo mfumo pia unaofanyiwa majaribio Kwa kweli sijaona faida ya huo mfumo Kwa sababu una changamoto nyingi Sana wateja wengi wanakuja wanataka watoe Kwa njia ya kadi.
 
Ndio nautumia mkuu na Mimi ni miongoni mwa watumiaji wa Huo mfumo pia unaofanyiwa majaribio Kwa kweli sijaona faida ya huo mfumo Kwa sababu una changamoto nyingi Sana wateja wengi wanakuja wanataka watoe Kwa njia ya kadi.
Mzungu alileta mapinduzi ya hali ya juu ya kiteknolojia hasa kwenye online wire money transfer , sasa kaondoka watakuja wabongo na vi app vyao vya ku download kwenye Google
 
Mzungu alileta mapinduzi ya hali ya juu ya kiteknolojia hasa kwenye online wire money transfer , sasa kaondoka watakuja wabongo na vi app vyao vya ku download kwenye Google
Huu mfumo hautumii hata app huu mfumo unatumia simu kama tigopesa unaunganishwa Kwa njia ya simu Kwa kupitia line ya Airtel sasa mteja akija kutoa anatoa kwenye simu yake kwanza halafu anatumiwa namba ya Siri ya kutolea hela na inapaswa kutolewa ndani ya dk 5 ukichelewa baaada ya hapo unarudi kwenye Akaunti yake sasa changamoto hapo ni mtandao unaanza kukuambia upo chini na pia hata ukifanikiwa kuingiza hizo namba bado itakuambia muamala haupo, pia changamoto kubwa wengi wanataka kutoa Kwa kadi hapo ukiwauliza NMB wanakuambia inabidi uwe unawaelekeza waende kwenye ATM zilizopo karibu Kwa kweli hapa sijui NMB waliwaza Nini lakini wameharibu Sana.
 
Huu mfumo hautumii hata app huu mfumo unatumia simu kama tigopesa unaunganishwa Kwa njia ya simu Kwa kupitia line ya Airtel sasa mteja akija kutoa anatoa kwenye simu yake kwanza halafu anatumiwa namba ya Siri ya kutolea hela na inapaswa kutolewa ndani ya dk 5 ukichelewa baaada ya hapo unarudi kwenye Akaunti yake sasa changamoto hapo ni mtandao unaanza kukuambia upo chini na pia hata ukifanikiwa kuingiza hizo namba bado itakuambia muamala haupo, pia changamoto kubwa wengi wanataka kutoa Kwa kadi hapo ukiwauliza NMB wanakuambia inabidi uwe unawaelekeza waende kwenye ATM zilizopo karibu Kwa kweli hapa sijui NMB waliwaza Nini lakini wameharibu Sana.
Kwa nn wasirud kule selcom.
 
Huu mfumo hautumii hata app huu mfumo unatumia simu kama tigopesa unaunganishwa Kwa njia ya simu Kwa kupitia line ya Airtel sasa mteja akija kutoa anatoa kwenye simu yake kwanza halafu anatumiwa namba ya Siri ya kutolea hela na inapaswa kutolewa ndani ya dk 5 ukichelewa baaada ya hapo unarudi kwenye Akaunti yake sasa changamoto hapo ni mtandao unaanza kukuambia upo chini na pia hata ukifanikiwa kuingiza hizo namba bado itakuambia muamala haupo, pia changamoto kubwa wengi wanataka kutoa Kwa kadi hapo ukiwauliza NMB wanakuambia inabidi uwe unawaelekeza waende kwenye ATM zilizopo karibu Kwa kweli hapa sijui NMB waliwaza Nini lakini wameharibu Sana.
CRDB wao watakuja na mfumo wa simu ila watatengeneza external printer yenye uwezo wa kuaccept card itakuwa na USB Port na pia itaprint nilishoriki semina zao walitangaza hivyo
 
CRDB wao watakuja na mfumo wa simu ila watatengeneza external printer yenye uwezo wa kuaccept card itakuwa na USB Port na pia itaprint nilishoriki semina zao walitangaza hivyo
Hapa vizuri Sana kama watakuja Kwa njia hiyo
 
CRDB wao watakuja na mfumo wa simu ila watatengeneza external printer yenye uwezo wa kuaccept card itakuwa na USB Port na pia itaprint nilishoriki semina zao walitangaza hivyo
Naomba somo kidogo.
 
Naomba somo kidogo.
CRDB na wao pia wanahitaji kufanya maboresho kuondokana na utaratibu wa kutoa POS machine watumie simu kwa sababu pos zinaonekana kuwa na gharama lakini pia changamoto ya mtandao na wakati mwingine zinaharibika hivyo kuhitaji matengenezo

Sasa wao watadevelop application kupitia smartphone ila watakuwa na kitu kama external printer kama wale jamaa wanaosajili laini kupitia simu ila kile kifaa kitakuwa na uwezo wa mteja kuweka card alafu mtoa huduma atatumia simu yake ambayo itaunganishwa na kitu kama USB

Kidogo hata mimi naona mfumo wa nmb sio rafiki
 
CRDB na wao pia wanahitaji kufanya maboresho kuondokana na utaratibu wa kutoa POS machine watumie simu kwa sababu pos zinaonekana kuwa na gharama lakini pia changamoto ya mtandao na wakati mwingine zinaharibika hivyo kuhitaji matengenezo

Sasa wao watadevelop application kupitia smartphone ila watakuwa na kitu kama external printer kama wale jamaa wanaosajili laini kupitia simu ila kile kifaa kitakuwa na uwezo wa mteja kuweka card alafu mtoa huduma atatumia simu yake ambayo itaunganishwa na kitu kama USB

Kidogo hata mimi naona mfumo wa nmb sio rafiki
Asante kwa somo zuri.
 
CRDB na wao pia wanahitaji kufanya maboresho kuondokana na utaratibu wa kutoa POS machine watumie simu kwa sababu pos zinaonekana kuwa na gharama lakini pia changamoto ya mtandao na wakati mwingine zinaharibika hivyo kuhitaji matengenezo

Sasa wao watadevelop application kupitia smartphone ila watakuwa na kitu kama external printer kama wale jamaa wanaosajili laini kupitia simu ila kile kifaa kitakuwa na uwezo wa mteja kuweka card alafu mtoa huduma atatumia simu yake ambayo itaunganishwa na kitu kama USB

Kidogo hata mimi naona mfumo wa nmb sio rafiki
Mfano kwa kila siku nina uhakika wa kufanya miamala ya 300k kutoa na 200k kuweka (NMB) kwa mwezi naweza nikapat Kam kias gani faida kwa makadirio
 
Bank zilizopo Selcom: Habari ndugu mteja, unaweza kuwa wakala wa benki kama NBC, NMB, ACB, ACCESSBANK, AMANA BANKI, LETSHEGO, MAENDELEO BANKI, MWALIM BANKI, UBA, NK. ila kwa upande wa NMB kwasasa kuna maboresho wanayafanya hivyo yakishakamilika tutawajulisha mlete maombi
Machine ya selcom ikizingua wanakubali kukupa nyingine????
 
Huu mfumo hautumii hata app huu mfumo unatumia simu kama tigopesa unaunganishwa Kwa njia ya simu Kwa kupitia line ya Airtel sasa mteja akija kutoa anatoa kwenye simu yake kwanza halafu anatumiwa namba ya Siri ya kutolea hela na inapaswa kutolewa ndani ya dk 5 ukichelewa baaada ya hapo unarudi kwenye Akaunti yake sasa changamoto hapo ni mtandao unaanza kukuambia upo chini na pia hata ukifanikiwa kuingiza hizo namba bado itakuambia muamala haupo, pia changamoto kubwa wengi wanataka kutoa Kwa kadi hapo ukiwauliza NMB wanakuambia inabidi uwe unawaelekeza waende kwenye ATM zilizopo karibu Kwa kweli hapa sijui NMB waliwaza Nini lakini wameharibu Sana.
Hii ni fursa kwa crdb mshinan wao abak kwenye POS tu atafanya kazi sanaaa sanaa,,NMB amejimix pakubwa
 
Back
Top Bottom