Naombeni mwongozo wa kupata simu kali iliyotengenezwa kati ya 2023/24

Naombeni mwongozo wa kupata simu kali iliyotengenezwa kati ya 2023/24

ashomile

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
2,739
Reaction score
2,697
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kujua Smartphone iliyotengenezwa hivi karibuni, isipokuwa TECNO, INFINIX NA ITEL..

Ninahitaji kununua Smartphone mpya, Budget yangu 450k hadi 500k pia processor isiwe ya SPD au MTK, hii sizihitaji katika list yangu.
 
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kujua Smartphone iliyotengenezwa hivi karibuni, isipokuwa TECNO, INFINIX NA ITEL..

Ninahitaji kununua Smartphone mpya, Budget yangu 450k hadi 500k pia processor isiwe ya SPD au MTK, hii sizihitaji katika list yangu.
Mkuu ondoa hiyo misconception kichwani mwako eti MediaTek nj mbaya, sio kweli. MediaTek wana processor nzuri ambazo zinazidi hata baadhi ya processor kali za Snapdragon kama Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2.

Kwa laki 5 tafuta AliExpress kule utapata "Xiaomi Redmi Note 13 Pro 5G" au "Xiaomi Poco X6". Hizo mbili ni simu moja ileile isipokuwa Redmi Note 13 Pro 5G ina kamera nzuri zaidi, ila almost everything else ni sawa ila sana sana tafuta hiyo Redmi kwa sababu itapokea 4 years major Android updates na 5 years security patches wakati hiyo Poco inapokea 3 na 4years updates respectively. Redmi Note 13 Pro 5G na Poco X6 zinatumia processor ya Qualcomm Snapdragon 7s Gen 2, 67W fast charger in box, stereo speaker, high quality 120Hz AMOLED display na vitu vingi vizuri

Kwa Tanzania options ni chache. Unaweza kutoa 450K ukanunua Redmi Note 13 4G yenye 8GB RAM 256GB ROM. Nayo ni nzuri na inakuja na Qualcomm Snapdragon 685, 108MP, underdisplay fingerprint scanner, stereo speakers, etc.

Au okoa pesa kwa 350K upate Samsung Galaxy A15 4G ambayo ina MediaTek Helio G99 na ndio simu bora zaidi kwa bei hii. Samsung Galaxy A24 kwa 350K pia sio mbaya. Kwa 450K unaweza pata Samsung Galaxy A15 4G yenye 8GB RAM.
Option ndio hizo ila acha kuchukia MediaTek. Cha msingi angalia sanasana uwezo wa processor kuliko jina lake

Tofauti na Snapdragon na MediaTek kwa bei hii kuna processor za Samsung Exynos na UniSoC ambazo hazitupi simu nyingi nzuri za kuchagua kwa bei hii
 
Mkuu ondoa hiyo misconception kichwani mwako eti MediaTek nj mbaya, sio kweli. MediaTek wana processor nzuri ambazo zinazidi hata baadhi ya processor kali za Snapdragon kama Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2.

Kwa laki 5 tafuta AliExpress kule utapata "Xiaomi Redmi Note 13 Pro 5G" au "Xiaomi Poco X6". Hizo mbili ni simu moja ileile isipokuwa Redmi Note 13 Pro 5G ina kamera nzuri zaidi, ila almost everything else ni sawa ila sana sana tafuta hiyo Redmi kwa sababu itapokea 4 years major Android updates na 5 years security patches wakati hiyo Poco inapokea 3 na 4years updates respectively. Redmi Note 13 Pro 5G na Poco X6 zinatumia processor ya Qualcomm Snapdragon 7s Gen 2, 67W fast charger in box, stereo speaker, high quality 120Hz AMOLED display na vitu vingi vizuri

Kwa Tanzania options ni chache. Unaweza kutoa 450K ukanunua Redmi Note 13 4G yenye 8GB RAM 256GB ROM. Nayo ni nzuri na inakuja na Qualcomm Snapdragon 685, 108MP, underdisplay fingerprint scanner, stereo speakers, etc.

Au okoa pesa kwa 350K upate Samsung Galaxy A15 4G ambayo ina MediaTek Helio G99 na ndio simu bora zaidi kwa bei hii. Samsung Galaxy A24 kwa 350K pia sio mbaya. Kwa 450K unaweza pata Samsung Galaxy A15 4G yenye 8GB RAM.
Option ndio hizo ila acha kuchukia MediaTek. Cha msingi angalia sanasana uwezo wa processor kuliko jina lake

Tofauti na Snapdragon na MediaTek kwa bei hii kuna processor za Samsung Exynos na UniSoC ambazo hazitupi simu nyingi nzuri za kuchagua kwa bei hii
Shukrani mkuu Xiaomi kwa mwanza nitapata kweli maana online sijawahi kufanya matumizi .
 
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kujua Smartphone iliyotengenezwa hivi karibuni, isipokuwa TECNO, INFINIX NA ITEL..

Ninahitaji kununua Smartphone mpya, Budget yangu 450k hadi 500k pia processor isiwe ya SPD au MTK, hii sizihitaji katika list yangu.
Naomba tuwasiliane ndugu usihangaike sana
Sismi tunakuletea Samsung mpya ya mwaka huuu
IMG-20240520-WA0008.jpg
 
Shukrani mkuu Xiaomi kwa mwanza nitapata kweli maana online sijawahi kufanya matumizi .
Sipo Mwanza kwa hiyo sijajua maduka ya huko. Kwa Tanzania Redmi Note 13 Pro 5G bei ni ghali na kuwa makini kuna *"Redmi Note 13 Pro 4G" ambayo wengi wanauza kwa laki 7 na 20, hiyo sio nzuri kama ya 5G. Bei ikiwa 700K nunua Samsung Galaxy A34, simple.

Kwa hiyo kwa kuwa upo Mwanza zunguka madukani huwezi kukosa
 
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kujua Smartphone iliyotengenezwa hivi karibuni, isipokuwa TECNO, INFINIX NA ITEL..

Ninahitaji kununua Smartphone mpya, Budget yangu 450k hadi 500k pia processor isiwe ya SPD au MTK, hii sizihitaji katika list yangu.
Tafuta A52 au S20Fe, hutajutia hizo ni flagship za ukwel qualcomm 750G na 860G njoo inbox ni kidirect
 
Mkuu ondoa hiyo misconception kichwani mwako eti MediaTek nj mbaya, sio kweli. MediaTek wana processor nzuri ambazo zinazidi hata baadhi ya processor kali za Snapdragon kama Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2.

Kwa laki 5 tafuta AliExpress kule utapata "Xiaomi Redmi Note 13 Pro 5G" au "Xiaomi Poco X6". Hizo mbili ni simu moja ileile isipokuwa Redmi Note 13 Pro 5G ina kamera nzuri zaidi, ila almost everything else ni sawa ila sana sana tafuta hiyo Redmi kwa sababu itapokea 4 years major Android updates na 5 years security patches wakati hiyo Poco inapokea 3 na 4years updates respectively. Redmi Note 13 Pro 5G na Poco X6 zinatumia processor ya Qualcomm Snapdragon 7s Gen 2, 67W fast charger in box, stereo speaker, high quality 120Hz AMOLED display na vitu vingi vizuri

Kwa Tanzania options ni chache. Unaweza kutoa 450K ukanunua Redmi Note 13 4G yenye 8GB RAM 256GB ROM. Nayo ni nzuri na inakuja na Qualcomm Snapdragon 685, 108MP, underdisplay fingerprint scanner, stereo speakers, etc.

Au okoa pesa kwa 350K upate Samsung Galaxy A15 4G ambayo ina MediaTek Helio G99 na ndio simu bora zaidi kwa bei hii. Samsung Galaxy A24 kwa 350K pia sio mbaya. Kwa 450K unaweza pata Samsung Galaxy A15 4G yenye 8GB RAM.
Option ndio hizo ila acha kuchukia MediaTek. Cha msingi angalia sanasana uwezo wa processor kuliko jina lake

Tofauti na Snapdragon na MediaTek kwa bei hii kuna processor za Samsung Exynos na UniSoC ambazo hazitupi simu nyingi nzuri za kuchagua kwa bei hii
Processor zenye thermol efficiency nzuri ni snapdragon zaaid kuliko helio huu ndo ukwel kibali ukatae, yan G99 ni kama snap 695G
 
Mkuu ondoa hiyo misconception kichwani mwako eti MediaTek nj mbaya, sio kweli. MediaTek wana processor nzuri ambazo zinazidi hata baadhi ya processor kali za Snapdragon kama Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2.

Kwa laki 5 tafuta AliExpress kule utapata "Xiaomi Redmi Note 13 Pro 5G" au "Xiaomi Poco X6". Hizo mbili ni simu moja ileile isipokuwa Redmi Note 13 Pro 5G ina kamera nzuri zaidi, ila almost everything else ni sawa ila sana sana tafuta hiyo Redmi kwa sababu itapokea 4 years major Android updates na 5 years security patches wakati hiyo Poco inapokea 3 na 4years updates respectively. Redmi Note 13 Pro 5G na Poco X6 zinatumia processor ya Qualcomm Snapdragon 7s Gen 2, 67W fast charger in box, stereo speaker, high quality 120Hz AMOLED display na vitu vingi vizuri

Kwa Tanzania options ni chache. Unaweza kutoa 450K ukanunua Redmi Note 13 4G yenye 8GB RAM 256GB ROM. Nayo ni nzuri na inakuja na Qualcomm Snapdragon 685, 108MP, underdisplay fingerprint scanner, stereo speakers, etc.

Au okoa pesa kwa 350K upate Samsung Galaxy A15 4G ambayo ina MediaTek Helio G99 na ndio simu bora zaidi kwa bei hii. Samsung Galaxy A24 kwa 350K pia sio mbaya. Kwa 450K unaweza pata Samsung Galaxy A15 4G yenye 8GB RAM.
Option ndio hizo ila acha kuchukia MediaTek. Cha msingi angalia sanasana uwezo wa processor kuliko jina lake

Tofauti na Snapdragon na MediaTek kwa bei hii kuna processor za Samsung Exynos na UniSoC ambazo hazitupi simu nyingi nzuri za kuchagua kwa bei hii
Ulisha wai agiza jitu alliexpress?
 
Processor zenye thermol efficiency nzuri ni snapdragon zaaid kuliko helio huu ndo ukwel kibali ukatae, yan G99 ni kama snap 695G
MediaTek na Snapdragon wote wana processor nzuri kwa bei tofauti tofauti. Kama unaongelea thermal management hata Snapdragon amewahi kutoa chipset zenye shida ya overheating mfano "Snapdragon 888 na 8 Gen 1"
Ukinunua simu angalia performance ya chipset zaidi kuliko kuangalia tu jina la kampuni. Lastly MediaTek za juu sio hata Helio, Kuna MediaTek Dimensity 9300, umewahi kuifuatilia. Angalia uwezo wake
 
MediaTek na Snapdragon wote wana processor nzuri kwa bei tofauti tofauti. Kama unaongelea thermal management hata Snapdragon amewahi kutoa chipset zenye shida ya overheating mfano "Snapdragon 888 na 8 Gen 1"
Ukinunua simu angalia performance ya chipset zaidi kuliko kuangalia tu jina la kampuni. Lastly MediaTek za juu sio hata Helio, Kuna MediaTek Dimensity 9300, umewahi kuifuatilia. Angalia uwezo wake
Samsung za bei rahisi wanaweka media tek na zingine wamepiga watu pesa kwa sababu ya jina tu,
Hyo g888 ni bomu lina kula sana chaji na hawaitumii tena.
Hiyo dimensity 9300 simu zilinazo hawez pata kwa hiyo bei maana ni flagship mpya za kampuni na hii ndo chip kubwa zaidi
 
Samsung za bei rahisi wanaweka media tek na zingine wamepiga watu pesa kwa sababu ya jina tu,
Hyo g888 ni bomu lina kula sana chaji na hawaitumii tena.
Hiyo dimensity 9300 simu zilinazo hawez pata kwa hiyo bei maana ni flagship mpya za kampuni na hii ndo chip kubwa zaidi
Umeelewa nilichokuambia lakini? Hiyo Dimensity 9300 nani kasema unaipata kwa bei hii? Simu gani nimeitaja hapa inatumia Helio G88?
MediaTek Dimensity 9300 niliitaja kukuonesha kuwa hata MediaTek wanazo chipset nzuri. Samsung Galaxy A15 inatumia MediaTek Helio G99 na sio G88. G99 inatunza sana chaji na wala hai-oveeheat. Umefuatilia battery test za GSMArena za Galaxy A15??
Screenshot_2024-06-23-22-49-37-713_com.android.chrome.png
 
Back
Top Bottom