Naombeni mwongozo wa kupata simu kali iliyotengenezwa kati ya 2023/24

Naombeni mwongozo wa kupata simu kali iliyotengenezwa kati ya 2023/24

Sipo Mwanza kwa hiyo sijajua maduka ya huko. Kwa Tanzania Redmi Note 13 Pro 5G bei ni ghali na kuwa makini kuna *"Redmi Note 13 Pro 4G" ambayo wengi wanauza kwa laki 7 na 20, hiyo sio nzuri kama ya 5G. Bei ikiwa 700K nunua Samsung Galaxy A34, simple.

Kwa hiyo kwa kuwa upo Mwanza zunguka madukani huwezi kukosa
Tofauti ya hyo 13 Pro 4G na hiyo 13 Pro 5G ni ipi
 
Sa
Umeelewa nilichokuambia lakini? Hiyo Dimensity 9300 nani kasema unaipata kwa bei hii? Simu gani nimeitaja hapa inatumia Helio G88?
MediaTek Dimensity 9300 niliitaja kukuonesha kuwa hata MediaTek wanazo chipset nzuri. Samsung Galaxy A15 inatumia MediaTek Helio G99 na sio G88. G99 inatunza sana chaji na wala hai-oveeheat. Umefuatilia battery test za GSMArena za Galaxy A15??View attachment 3024146
SAmahani ,
Naomba uniambie Simu Nzuri kwa ajili ya Kazi nzito ......
 
Umeelewa nilichokuambia lakini? Hiyo Dimensity 9300 nani kasema unaipata kwa bei hii? Simu gani nimeitaja hapa inatumia Helio G88?
MediaTek Dimensity 9300 niliitaja kukuonesha kuwa hata MediaTek wanazo chipset nzuri. Samsung Galaxy A15 inatumia MediaTek Helio G99 na sio G88. G99 inatunza sana chaji na wala hai-oveeheat. Umefuatilia battery test za GSMArena za Galaxy A15??View attachment 3024146
G99 iko poa
 
Mkuu ondoa hiyo misconception kichwani mwako eti MediaTek nj mbaya, sio kweli. MediaTek wana processor nzuri ambazo zinazidi hata baadhi ya processor kali za Snapdragon kama Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2.

Kwa laki 5 tafuta AliExpress kule utapata "Xiaomi Redmi Note 13 Pro 5G" au "Xiaomi Poco X6". Hizo mbili ni simu moja ileile isipokuwa Redmi Note 13 Pro 5G ina kamera nzuri zaidi, ila almost everything else ni sawa ila sana sana tafuta hiyo Redmi kwa sababu itapokea 4 years major Android updates na 5 years security patches wakati hiyo Poco inapokea 3 na 4years updates respectively. Redmi Note 13 Pro 5G na Poco X6 zinatumia processor ya Qualcomm Snapdragon 7s Gen 2, 67W fast charger in box, stereo speaker, high quality 120Hz AMOLED display na vitu vingi vizuri

Kwa Tanzania options ni chache. Unaweza kutoa 450K ukanunua Redmi Note 13 4G yenye 8GB RAM 256GB ROM. Nayo ni nzuri na inakuja na Qualcomm Snapdragon 685, 108MP, underdisplay fingerprint scanner, stereo speakers, etc.

Au okoa pesa kwa 350K upate Samsung Galaxy A15 4G ambayo ina MediaTek Helio G99 na ndio simu bora zaidi kwa bei hii. Samsung Galaxy A24 kwa 350K pia sio mbaya. Kwa 450K unaweza pata Samsung Galaxy A15 4G yenye 8GB RAM.
Option ndio hizo ila acha kuchukia MediaTek. Cha msingi angalia sanasana uwezo wa processor kuliko jina lake

Tofauti na Snapdragon na MediaTek kwa bei hii kuna processor za Samsung Exynos na UniSoC ambazo hazitupi simu nyingi nzuri za kuchagua kwa bei hii
Mkuu samahani hivi s20 na note 20 ipi ni Simi nzuri naomba ushauri na Sony ipi ni nzuri
 
Kwa wale wenye uelewa wahayo maelezo hapo kwenye picha nimenunua hiyo simu s23 ultra aliyenunua alibahatika kunitumia picha ya box na kuchukua Imei number na kuzicheck kupitia browser nakupata maelezo hayo jee iko vizur?
. Simu bado haijanifikia
2024-06-26 05.49.51.png
 

Attachments

  • 2024-06-26 05.50.55.png
    2024-06-26 05.50.55.png
    619.2 KB · Views: 6
Mkuu samahani hivi s20 na note 20 ipi ni Simi nzuri naomba ushauri na Sony ipi ni nzuri
Zote ni nzuri zinakaribiana sana. Note 20 inatunza chaji kuliko S20 kwa asilimia 21 zaidi, kamera yake ina 3× optical zoom na processor yake inaishinda nguvu ya S20 kwa asilimia kadhaa.
S20 ni nyepesi, kioo chake kina pixel density kubwa na 120Hz refresh rate. Kama advantage unapata sehemu ya kuwekea memory card.
Nunua yoyote ile, zinafanana tofauti ni ndogo tu. Angalia ipi ina bei ndogo pita nayo.
Kuhusu Sony, it depends unataka Sony ya bei gani
 
Redmi Note 13 Pro 5G
Mkuu, ahsante kwa maelezo mazuri, nimeona kuna Redmi Note 13 Pro 5G na Redmi Note 13 Pro+ 5G, nataka kujiridhisha, maelezo uliyoyatoa ni kwa hiyo ya kwanza yenye Pro bila +? Bei yake imenivutia kwa sifa ulizoeleza. Unaweza weka na hicho kipimo cha gsmarena kwa hiyo simu mkuu?
 
Mkuu, ahsante kwa maelezo mazuri, nimeona kuna Redmi Note 13 Pro 5G na Redmi Note 13 Pro+ 5G, nataka kujiridhisha, maelezo uliyoyatoa ni kwa hiyo ya kwanza yenye Pro bila +? Bei yake imenivutia kwa sifa ulizoeleza. Unaweza weka na hicho kipimo cha gsmarena kwa hiyo simu mkuu?
Redmi Note 13 Pro 5G ni simu nzuri, hiyo Note 13 Pro Plus ni nzuri zaidi ya Note 13 pro 5G. Ingawa niliyokuwa naongelea hapo juu ni Redmi Note 13 Pro 5G ya kawaida.
Simu ambayo sio ya kununua kwa bei hiyo ni Redmi Note 13 Pro 4G, hii simu haifai kuuzwa hata kwa laki 6 ila hizo za 5G ndio ziko vizuri

Kuhusu battery test zote mbili utunzaji wake wa chaji ni average. Advantage yake ni kwamba hazichukui muda kujaa chaji. Hiyo Note 13 Pro 5G inatumia around dakika 45 kujaa chaji kutoka asilimia 0 hadi 100 na hiyo Note 13 Pro Plus 5G ni around dakika 20. Charger unazikuta kwenye box
Screenshot_2024-06-27-21-19-25-802_com.android.chrome.png
Screenshot_2024-06-27-21-18-33-562_com.android.chrome.png
 
Mkuu ondoa hiyo misconception kichwani mwako eti MediaTek nj mbaya, sio kweli. MediaTek wana processor nzuri ambazo zinazidi hata baadhi ya processor kali za Snapdragon kama Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2.

Kwa laki 5 tafuta AliExpress kule utapata "Xiaomi Redmi Note 13 Pro 5G" au "Xiaomi Poco X6". Hizo mbili ni simu moja ileile isipokuwa Redmi Note 13 Pro 5G ina kamera nzuri zaidi, ila almost everything else ni sawa ila sana sana tafuta hiyo Redmi kwa sababu itapokea 4 years major Android updates na 5 years security patches wakati hiyo Poco inapokea 3 na 4years updates respectively. Redmi Note 13 Pro 5G na Poco X6 zinatumia processor ya Qualcomm Snapdragon 7s Gen 2, 67W fast charger in box, stereo speaker, high quality 120Hz AMOLED display na vitu vingi vizuri

Kwa Tanzania options ni chache. Unaweza kutoa 450K ukanunua Redmi Note 13 4G yenye 8GB RAM 256GB ROM. Nayo ni nzuri na inakuja na Qualcomm Snapdragon 685, 108MP, underdisplay fingerprint scanner, stereo speakers, etc.

Au okoa pesa kwa 350K upate Samsung Galaxy A15 4G ambayo ina MediaTek Helio G99 na ndio simu bora zaidi kwa bei hii. Samsung Galaxy A24 kwa 350K pia sio mbaya. Kwa 450K unaweza pata Samsung Galaxy A15 4G yenye 8GB RAM.
Option ndio hizo ila acha kuchukia MediaTek. Cha msingi angalia sanasana uwezo wa processor kuliko jina lake

Tofauti na Snapdragon na MediaTek kwa bei hii kuna processor za Samsung Exynos na UniSoC ambazo hazitupi simu nyingi nzuri za kuchagua kwa bei hii
Mkuu naomba uzungumzie hii redimi 13c
 
MediaTek na Snapdragon wote wana processor nzuri kwa bei tofauti tofauti. Kama unaongelea thermal management hata Snapdragon amewahi kutoa chipset zenye shida ya overheating mfano "Snapdragon 888 na 8 Gen 1"
Ukinunua simu angalia performance ya chipset zaidi kuliko kuangalia tu jina la kampuni. Lastly MediaTek za juu sio hata Helio, Kuna MediaTek Dimensity 9300, umewahi kuifuatilia. Angalia uwezo wake
Aiseee this time nahitaji simu ambayo haina ishu za overheating, huwa nacreate content kwa simu sasa niliikimbia sd888 maana nilitaka kuchukua note 20 ultra ila nikakimbia ishu za overheating. 8 gen 1 sikujua pia kama ina hizo ishu,

Nikataka kuhamia kwenye Google pixel 6 pro na yenyewe nikasikia ina ishu za overheating, hapa sijui kama nilifanganywa au lah, mwisho nikadondokea Bionic A14 ila Nimeanza kuregret maana simu inaoverheat na hili ndio nilikuwa nalikimbia.

Nishauri kama kuna soc yenye thermal efficiency nzuri.
 
Back
Top Bottom