Naombeni namna ya kuepuka kula kitimoto

Taarifa kwa wote ambao wanajifanya hawali mbuzi wa katoriki et kisa ana madhara kwan ndio utaishi milele?

https://jamii.app/JFUserGuide you. Nishindwe kuenjoy sababu ya magonjwa!
 

😂😁😄😃😀🙄😶😑😐🤨Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha Sana

 
Dah.. nmesoma hii mada nkiwa Iringa kihesa kwa bwana Tom anafanya maajabu yake. Itabidi nisamehewe. Soda nmeacha lakini kwenye Noah, aisee bado sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…