MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Ndiyo nani huyu Ndugu?Gentaaaaaaaaaaa
Nimetega kwa Sumu Kali hawategeki.Samaki na sumukuvu
Sukuhisho la kikatili ni kufuga nguruwe hapo.Kuna Mmoja nimetoka na Panga ili nikabiliane nae Kikamilifu nikakuta amenisonya na Kujamba kama Binadamu nikaamua kurudi tu ndani na Panga langu na Kuendelea kuwa hapa JamiiForums, ila kwa Nje nawasikia Wakilia kama Watoto Wachanga na tena sasa hivi Wamezidisha Kulia na wakisogea upande wa lilipo Dirisha langu.
Na kwanini ukiwategea Sumu hawali?
Nimecheka kinouma na bado nacheka tuKuna Mmoja nimetoka na Panga ili nikabiliane nae Kikamilifu nikakuta amenisonya na Kujamba kama Binadamu nikaamua kurudi tu ndani na Panga langu na Kuendelea kuwa hapa JamiiForums, ila kwa Nje nawasikia Wakilia kama Watoto Wachanga na tena sasa hivi Wamezidisha Kulia na wakisogea upande wa lilipo Dirisha langu.
Na kwanini ukiwategea Sumu hawali?
Kinondoni South.Mkuu upo mkoani gani?
Angalia kipindi cha ukombozi wa familia kila siku saa tatu usiku chnnel ya Arise and Shine, paka wote watakimbia au kufa. Usidharau
Kuna Mmoja nimetoka na Panga ili nikabiliane nae Kikamilifu nikakuta amenisonya na Kujamba kama Binadamu nikaamua kurudi tu ndani na Panga langu na Kuendelea kuwa hapa JamiiForums, ila kwa Nje nawasikia Wakilia kama Watoto Wachanga na tena sasa hivi Wamezidisha Kulia na wakisogea upande wa lilipo Dirisha langu.
Na kwanini ukiwategea Sumu hawali?