Naombeni ufafanuzi wa hii picha

Naombeni ufafanuzi wa hii picha

Anga za juu..kibla ipo upande gani?
Kwanza kumbuka, ukiwa anga za mbali hakuna juu na chini.

Licha ya anga za mbali, hata hapa duniani ukifika muda wa sala, kama huielewi qibla elekea popote tu.

Falsafa ya qibla ni mshikamano na umoja.
 
Kwa wenye kujua kupekua Historia watakuta mengi ya hao mnaowaita hawajasoma au hawajavumbua vitu.

Elimu inatembea kutoka taifa na taifa kwa nyakati tofauti kufatana na mazingira ya wakati ule.
Leo huko western unaposifia na hizo picha wamejaa watu kutoka Asia wanao changia kwa sehemu kubwa kwenye elimu, teknologia na ufumbuzi.
Hiyo gari ulio ionesha katika picha ya juu isinge kuwepo bila uvumbuzi wa crankshaft uliofanywa na waislam wakati ujulikanao kama " Golden age of Islam"
Hizo computer program zake zinategemea sana Algorithm, angalia nani alikua wa kwanza kutuletea elimu Algorithm.

Hizo ndege, tafiti walioanza utafiti wa kumuwezesha binaadam kuruka

Hao wanaanga angalia mchango wa waislamu katika elimu ya anga. Majina mengi ya hizo nyota yametoka kwa waislamu.

Mchango mkubwa katika hesabu ni kutoka kwao anza na algebra mpaka hizi namba unaotumia leo - tafiti zimetoka wapi.

Ajabu unaweza kuandika ukoko hapa JF lakini huwezi kutafiti mtandaoni upate elimu ya bure

Hii hapa chini ni chembe tu ya historia.
Na kabla hujakejeli watu jiulize wewe na ukoo wako nini mumechangia cha manufaa hapa duniani? =0



View: https://youtu.be/tJJLvoDg2_E?si=8-lveObxojtup5tl


View: https://youtu.be/LyIGsPfMwFc?si=aY-VLlUZS6zU4G4X
 
Kwa wenye kujua kupekua Historia watakuta mengi ya hao mnaowaita hawajasoma au hawajavumbua vitu.

Elimu inatembea kutoka taifa na taifa kwa nyakati tofauti kufatana na mazingira ya wakati ule.
Leo huko western unaposifia na hizo picha wamejaa watu kutoka Asia wanao changia kwa sehemu kubwa kwenye elimu, teknologia na ufumbuzi.
Hiyo gari ulio ionesha katika picha ya juu isinge kuwepo bila uvumbuzi wa crankshaft uliofanywa na waislam wakati ujulikanao kama " Golden age of Islam"
Hizo computer program zake zinategemea sana Algorithm, angalia nani alikua wa kwanza kutuletea elimu Algorithm.

Hizo ndege, tafiti walioanza utafiti wa kumuwezesha binaadam kuruka

Hao wanaanga angalia mchango wa waislamu katika elimu ya anga. Majina mengi ya hizo nyota yametoka kwa waislamu.

Mchango mkubwa katika hesabu ni kutoka kwao anza na algebra mpaka hizi namba unaotumia leo - tafiti zimetoka wapi.

Ajabu unaweza kuandika ukoko hapa JF lakini huwezi kutafiti mtandaoni upate elimu ya bure

Hii hapa chini ni chembe tu ya historia.
Na kabla hujakejeli watu jiulize wewe na ukoo wako nini mumechangia cha manufaa hapa duniani? =0



View: https://youtu.be/tJJLvoDg2_E?si=8-lveObxojtup5tl


View: https://youtu.be/LyIGsPfMwFc?si=aY-VLlUZS6zU4G4X
 
Kwa wenye kujua kupekua Historia watakuta mengi ya hao mnaowaita hawajasoma au hawajavumbua vitu.

Elimu inatembea kutoka taifa na taifa kwa nyakati tofauti kufatana na mazingira ya wakati ule.
Leo huko western unaposifia na hizo picha wamejaa watu kutoka Asia wanao changia kwa sehemu kubwa kwenye elimu, teknologia na ufumbuzi.
Hiyo gari ulio ionesha katika picha ya juu isinge kuwepo bila uvumbuzi wa crankshaft uliofanywa na waislam wakati ujulikanao kama " Golden age of Islam"
Hizo computer program zake zinategemea sana Algorithm, angalia nani alikua wa kwanza kutuletea elimu Algorithm.

Hizo ndege, tafiti walioanza utafiti wa kumuwezesha binaadam kuruka

Hao wanaanga angalia mchango wa waislamu katika elimu ya anga. Majina mengi ya hizo nyota yametoka kwa waislamu.

Mchango mkubwa katika hesabu ni kutoka kwao anza na algebra mpaka hizi namba unaotumia leo - tafiti zimetoka wapi.

Ajabu unaweza kuandika ukoko hapa JF lakini huwezi kutafiti mtandaoni upate elimu ya bure

Hii hapa chini ni chembe tu ya historia.
Na kabla hujakejeli watu jiulize wewe na ukoo wako nini mumechangia cha manufaa hapa duniani? =0



View: https://youtu.be/tJJLvoDg2_E?si=8-lveObxojtup5tl


View: https://youtu.be/LyIGsPfMwFc?si=aY-VLlUZS6zU4G4X
 
Kwa wenye kujua kupekua Historia watakuta mengi ya hao mnaowaita hawajasoma au hawajavumbua vitu.

Elimu inatembea kutoka taifa na taifa kwa nyakati tofauti kufatana na mazingira ya wakati ule.
Leo huko western unaposifia na hizo picha wamejaa watu kutoka Asia wanao changia kwa sehemu kubwa kwenye elimu, teknologia na ufumbuzi.
Hiyo gari ulio ionesha katika picha ya juu isinge kuwepo bila uvumbuzi wa crankshaft uliofanywa na waislam wakati ujulikanao kama " Golden age of Islam"
Hizo computer program zake zinategemea sana Algorithm, angalia nani alikua wa kwanza kutuletea elimu Algorithm.

Hizo ndege, tafiti walioanza utafiti wa kumuwezesha binaadam kuruka

Hao wanaanga angalia mchango wa waislamu katika elimu ya anga. Majina mengi ya hizo nyota yametoka kwa waislamu.

Mchango mkubwa katika hesabu ni kutoka kwao anza na algebra mpaka hizi namba unaotumia leo - tafiti zimetoka wapi.

Ajabu unaweza kuandika ukoko hapa JF lakini huwezi kutafiti mtandaoni upate elimu ya bure

Hii hapa chini ni chembe tu ya historia.
Na kabla hujakejeli watu jiulize wewe na ukoo wako nini mumechangia cha manufaa hapa duniani? =0



View: https://youtu.be/tJJLvoDg2_E?si=8-lveObxojtup5tl


View: https://youtu.be/LyIGsPfMwFc?si=aY-VLlUZS6zU4G4X
 
Kwa wenye kujua kupekua Historia watakuta mengi ya hao mnaowaita hawajasoma au hawajavumbua vitu.

Elimu inatembea kutoka taifa na taifa kwa nyakati tofauti kufatana na mazingira ya wakati ule.
Leo huko western unaposifia na hizo picha wamejaa watu kutoka Asia wanao changia kwa sehemu kubwa kwenye elimu, teknologia na ufumbuzi.
Hiyo gari ulio ionesha katika picha ya juu isinge kuwepo bila uvumbuzi wa crankshaft uliofanywa na waislam wakati ujulikanao kama " Golden age of Islam"
Hizo computer program zake zinategemea sana Algorithm, angalia nani alikua wa kwanza kutuletea elimu Algorithm.

Hizo ndege, tafiti walioanza utafiti wa kumuwezesha binaadam kuruka

Hao wanaanga angalia mchango wa waislamu katika elimu ya anga. Majina mengi ya hizo nyota yametoka kwa waislamu.

Mchango mkubwa katika hesabu ni kutoka kwao anza na algebra mpaka hizi namba unaotumia leo - tafiti zimetoka wapi.

Ajabu unaweza kuandika ukoko hapa JF lakini huwezi kutafiti mtandaoni upate elimu ya bure

Hii hapa chini ni chembe tu ya historia.
Na kabla hujakejeli watu jiulize wewe na ukoo wako nini mumechangia cha manufaa hapa duniani? =0



View: https://youtu.be/tJJLvoDg2_E?si=8-lveObxojtup5tl


View: https://youtu.be/LyIGsPfMwFc?si=aY-VLlUZS6zU4G4X
 
Kwa wenye kujua kupekua Historia watakuta mengi ya hao mnaowaita hawajasoma au hawajavumbua vitu.

Elimu inatembea kutoka taifa na taifa kwa nyakati tofauti kufatana na mazingira ya wakati ule.
Leo huko western unaposifia na hizo picha wamejaa watu kutoka Asia wanao changia kwa sehemu kubwa kwenye elimu, teknologia na ufumbuzi.
Hiyo gari ulio ionesha katika picha ya juu isinge kuwepo bila uvumbuzi wa crankshaft uliofanywa na waislam wakati ujulikanao kama " Golden age of Islam"
Hizo computer program zake zinategemea sana Algorithm, angalia nani alikua wa kwanza kutuletea elimu Algorithm.

Hizo ndege, tafiti walioanza utafiti wa kumuwezesha binaadam kuruka

Hao wanaanga angalia mchango wa waislamu katika elimu ya anga. Majina mengi ya hizo nyota yametoka kwa waislamu.

Mchango mkubwa katika hesabu ni kutoka kwao anza na algebra mpaka hizi namba unaotumia leo - tafiti zimetoka wapi.

Ajabu unaweza kuandika ukoko hapa JF lakini huwezi kutafiti mtandaoni upate elimu ya bure

Hii hapa chini ni chembe tu ya historia.
Na kabla hujakejeli watu jiulize wewe na ukoo wako nini mumechangia cha manufaa hapa duniani? =0



View: https://youtu.be/tJJLvoDg2_E?si=8-lveObxojtup5tl


View: https://youtu.be/LyIGsPfMwFc?si=aY-VLlUZS6zU4G4X
 
Back
Top Bottom