Nilifanya kazi kwenye kampuni moja ya kuuza vifaa vya ujenzi kwa miaka 5. Mwaka huu mwanzoni sikurenew mkataba kwasababu ya maslahi. Niliamua kupumzika.
Wiki hii katika pitapita yangu, nimekutana na kampuni mpya inayofanya shughuli zinazofanana na zile za kampuni niliyotoka Ila utofauti ni kwamba hii kampuni mpya haina wafanyakazi wazoefu.
Kurasa zao za mitandao ya kijamii hazipo active. Ukiwapigia simu na kuwauliza bidhaa, wanakujibu Kama sio watoa huduma, hawafanyi follow-up nk. Kiufupi wanamakosa mengi katika mauzo ( sekta hiyo mimi nilifanya kwa miaka 5 na kwa mafanikio Sana hapo awali), pia nnaconnection ya mawasiliano ya wateja wakubwa (dealers) nchi nzima.
Hiyo kampuni kwa kuifatilia tu, haijatangaza ajira. Ila mimi naiona fursa hapo kwao. Je njia ipi ni nzuri ya Mimi kuitumia ili niweze kupata ajira hapo?
Nahisi kwa CV yangu inaweza kunibeba kwa upande wa maslahi kiasi, maana kule kwa awali mshahara ulikuwa ni nauli, kodi, kula huwez kusave chochote.
Naomba wataalam mnishauri namna ya kuwasiliana nao ili niweze kupata nafasi hata tu ya Kama interview. Maana nnachokiogopa ni kwenda na kuacha CV reception bila kujua imefika au haijafika.
Wiki hii katika pitapita yangu, nimekutana na kampuni mpya inayofanya shughuli zinazofanana na zile za kampuni niliyotoka Ila utofauti ni kwamba hii kampuni mpya haina wafanyakazi wazoefu.
Kurasa zao za mitandao ya kijamii hazipo active. Ukiwapigia simu na kuwauliza bidhaa, wanakujibu Kama sio watoa huduma, hawafanyi follow-up nk. Kiufupi wanamakosa mengi katika mauzo ( sekta hiyo mimi nilifanya kwa miaka 5 na kwa mafanikio Sana hapo awali), pia nnaconnection ya mawasiliano ya wateja wakubwa (dealers) nchi nzima.
Hiyo kampuni kwa kuifatilia tu, haijatangaza ajira. Ila mimi naiona fursa hapo kwao. Je njia ipi ni nzuri ya Mimi kuitumia ili niweze kupata ajira hapo?
Nahisi kwa CV yangu inaweza kunibeba kwa upande wa maslahi kiasi, maana kule kwa awali mshahara ulikuwa ni nauli, kodi, kula huwez kusave chochote.
Naomba wataalam mnishauri namna ya kuwasiliana nao ili niweze kupata nafasi hata tu ya Kama interview. Maana nnachokiogopa ni kwenda na kuacha CV reception bila kujua imefika au haijafika.