Endelea kuota kijana , Tena endelea sanaNakwambia endelea kulala mpaka jua lichomoze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuota kijana , Tena endelea sanaNakwambia endelea kulala mpaka jua lichomoze
Nimepitia ,akishindwa ku save shaur yakeUmepitia hiyo hatua aliyo yeye mkuu?
Ulisevu ngapi ulipotoka...??Nimepitia ,akishindwa ku save shaur yake
Kazi gani mkuu ambayo una experience nayo..?Dogo Nina experience na hii kazi miaka 13,tafuta shughuli nyingine ya kufanya,washikaji ninesoma nao wapo mbali
Watu wenye Poor Brain 🧠 ni ngumu kuelewaUlisevu ngapi ulipotoka...??
Ukifanyia nini..?
Wote ?Kama Ni kazi utapata Ila utaushi maisha magumu sana
achana na ndoa
utanishukuru
Nielekeze tuu mi muelewa mbona 🤓🤓🤓🤓🤓Watu wenye Poor Brain 🧠 ni ngumu kuelewa
🤓🤓🤓🤓🤓 Nafurahi sana kusikia hivo..Njoo tuuze bangi kitaa😂nimesoma medical laboratory ila naona ushuzi tu niliyotegemea na niliyokuta tofauti
3Soma kwanza kwani hiyo degree ni miaka mingapi
Kwanin🤓🤓🤓🤓🤓 Nafurahi sana kusikia hivo..
Nafurahi sana
🤓🤓🤓🤓🤓 Nafurahi sana kusikia hivo..
Nafurahi sana
🤓🤓🤓🤓 Basi tu...daaah bongo hii mambo hovyo sanaKwanin
Bachelor au certificate au diploma?Njoo tuuze bangi kitaa😂nimesoma medical laboratory ila naona ushuzi tu niliyotegemea na niliyokuta tofauti