Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Danganyika uache chuo... Danganyika bodaboda wanaingiza pesa kuliko mtumish wa umma... Danganyika utakuja kufa vbaya wew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe ajira chapuNjoo tuuze bangi kitaa😂nimesoma medical laboratory ila naona ushuzi tu niliyotegemea na niliyokuta tofauti
Boda boda wanapiga pesa wewe acha mambo ya ajabu hapa🤓🤓Danganyika uache chuo... Danganyika bodaboda wanaingiza pesa kuliko mtumish wa umma... Danganyika utakuja kufa vbaya wew
Kazi kila siku napata ila malipo ndo ujinga unanipaje mim laki mbili😂nimefanya kaz sehem kama 6 nkaachana nao nipo zangu tu kitaa naroll lesen yangu nimekodishaNikupe ajira chapu
Daaah kweli laki 2 hapo hapana hata mi nisingekubaliKazi kila siku napata ila malipo ndo ujinga unanipaje mim laki mbili😂nimefanya kaz sehem kama 6 nkaachana nao nipo zangu tu kitaa naroll lesen yangu nimekodisha
Nikupe ajira chapu
Dharau yan mambo yakikaa poa ishallah namm ntafungua lab yanguDaaah kweli laki 2 hapo hapana hata mi nisingekubali
Upo maeneo gani mkuuDharau yan mambo yakikaa poa ishallah namm ntafungua lab yangu
Niko dsm kwa sasa ila hom mbeyaaUpo maeneo gani mkuu
Ulisoma ili ulipwe milioni ngap?Una ela ya kunilipa???yan mim nipime mavi mikojo af uniletee kilaki mbil chako
Nilisoma ili nilipwe elf tatuUlisoma ili ulipwe milioni ngap?
Sawa sawa mkuu...Niko dsm kwa sasa ila hom mbeyaa
Mwaisa ujue jamaa wa nyumbani kabisa huyu... Uyole mojaUlisoma ili ulipwe milioni ngap?
Safi sana😁Nilisoma ili nilipwe elf tatu
Sijakata tamaa wala usinipe moyo,,,ajira za lab zipo nying sana wa kumpa moyo ni huyo mwamba ambae anasoma😂Sawa sawa mkuu...
Ila bado usikate tamaaa unajua unapokaa sehemu kwa mda mrefu ndio unapata uzoefu pia hata pesa itaongezeka tuu
Mi mwenyewe mbeya hio lab alio soma yeye Mimi nimesomaMwaisa ujue jamaa wa nyumbani kabisa huyu... Uyole moja
Mwaisa ujue jamaa wa nyumbani kabisa huyu... Uyole moja
Yan mim kaka sio kwamba nadharau hiyo laki mbili hapana ila nikaona maisha yang hayawez kuendelea kwa laki mbil hizo ndo maana nikajiongeza kivingneMi mwenyewe mbeya hio lab alio soma yeye Mimi nimesoma
Ahahahahahah naona unalalamika mkuuSijakata tamaa wala usinipe moyo,,,ajira za lab zipo nying sana wa kumpa moyo ni huyo mwamba ambae anasoma😂