Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Kaza mkuu.
Hakikisha wewe darasani kwako unakuwa ndio kipanga. Usikubali kuwa nyumanyuma, fanya shule kwa bidii uonekane. Changamana na watu usijifungie darasani au kwa kozi yako tu maana dunia inataka mtu awe competent karibu kila mahali. Pia, ukipata fursa ya kufanya mambo mengine mbali na kitabu fanya.
Tumia wakati huu vizuri kwani ndo huwa na fursa za kutosha kuliko utakapotoka hapo ulipo.
Kila la kheri mpambanaji💪
Hakikisha wewe darasani kwako unakuwa ndio kipanga. Usikubali kuwa nyumanyuma, fanya shule kwa bidii uonekane. Changamana na watu usijifungie darasani au kwa kozi yako tu maana dunia inataka mtu awe competent karibu kila mahali. Pia, ukipata fursa ya kufanya mambo mengine mbali na kitabu fanya.
Tumia wakati huu vizuri kwani ndo huwa na fursa za kutosha kuliko utakapotoka hapo ulipo.
Kila la kheri mpambanaji💪