Naombeni ushauri kuhusu mahusiano haya ya mama yangu na huyu mwanaume

Poleni,wanaowasimanga hapa hawajapitia mnayopitia. Duh mmetangishwa sana tangu utoton inaonekana maza hajatulia kabisaa. Hali hio muizoee tu

Kuna wamama/wababa hawashuriki,mapenzi ni upofu.
Hali hiyo ingewafanya mchakarike muwe na maisha yenu ya kujitegemea Sasa nyie mmebweteka kumchunguza mama na ki-serengeti chake.
 
Dogo pole sana. Hebu mtafute mjombaako umshirikishe. Hata kama mjomba yuko upareni au ukerewe au Machame mfuate huko huko. Mjomba anaweza kum discipline bi mkubwa
 
Achananeni na mama yenu, kila mtu akatafute maisha yake, nyinyi sasa ni wakubwa. Kila mtu atambae zake.
Hiyo aibu ya mama yenu kutombwa ovyo ovyo na wanaume ipelekeni kwa wajomba tu.

Kama njia hiyo mnaona ni ngumu basi mjaribu njia nyingine mbaya zaidi. Anzeni kupambana na huyo mwanaume. Mtafuteni mkewe, halafu mwambie aje kupachimbicha kwa mama yenu (kumbukeni dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake). Upande wa pili mtafute vijana wahuni watakaibuka na kumpa kichapo cha mbwa mwizi huyo mwanaume siku akitinga hapo home kwenu kwa mama yenu.
 
Huyo Baba yenu mpya anaweza kuwa na Kama miaka mingapi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni,wanaowasimanga hapa hawajapitia mnayopitia. Duh mmetangishwa sana tangu utoton inaonekana maza hajatulia kabisaa. Hali hio muizoee tu

Kuna wamama/wababa hawashuriki,mapenzi ni upofu.
Jamaa aweke picha ya Mama na Ankali hapa tujaribu kusuluhisha.
 
"jambo linalotusumbua ni kuwa Mama yetu ana mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu"

Hili Ndio tatizo haswa,maana sidhani kama mnatatizo laiti kama mama yenu angelikuwa ameolewa au anaishi na mwanaume mwingine ambaye si mume wa mtu,kwa umri wake kuwa mchepuko ni fedheha na ndio maana hata jamii inamshangaa na kumsema.

Lakini kwa kuwa mlishajaribu kuzungumza naye na hakukubaliana nanyi basi hamna budi kutafuta miji yenu na kiwa mbalinae maana ninyi ni vijana wakubwa.

Maana mnaoona aibu ni nyinyi yeye anajionea sawa tu,na ndio maana anfanya hata mbele yenu.
 
Naona waongee na uncle kwa kuwa kujiachia Ni Jambo huru ambalo hawapaswi kumuingilia lakini kwa Hali hii lazima waingilie maana mwanaume Ni mume wa mtu then anaweza akawaletea magonjwa mzigo ukabaki kwa watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…