Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Suala la miwaya angeweza kuletewa hata na hao baba za watoto wake, so halina mashiko,Anatembea na Janamume la mtu akikatwa mapanga watoto wanamzika na wanakosa mama wakati yeye hata maumivu hana na macho amefumba chini ya udongo.
Anatembea na Janamume la mtu.. likimletea miwaya Ni watoto watamuuguza wakati yeye ametulia tuli kitandani Jaha neogo na kubwa zote halali yake... Hana shida anasubiri tuu kulishwa tena kwa kijiko mdomoni
Suala la mume wa mtu, hiyo apambane mwenyewe ni maisha ameyachagua mazee.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.