Naombeni ushauri kuhusu mahusiano haya ya mama yangu na huyu mwanaume

Naombeni ushauri kuhusu mahusiano haya ya mama yangu na huyu mwanaume

Hawa namshangaa sana mtu anayemsimanga mtoto kwa sababu ya mzazi, ni hivi. Hakuna kitu mnaweza fanya kumbadilisha mama yenu. Ni kumkubali tu jinsi alivyo maana kwa vyovyote iwavyo huyo ndio mzazi wenu. Cha muhimu jipangeni muwe na maisha yenu mkae mbali nae maana ni mtumishi wa umma, she can take care of herself.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndiyo suruhu ya jambo hili, la sivyo wantaingia kwenye mgogoro wa kifamilia na maa yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama bado anahitaji kupata ladha ,
Mwili unakua moyo ungali bado kijana tu.

Upande wangu sioni kosa la mama, na haiwezekani kutopata burudani kama ambavyo nyie mnapata.

Na nyie isiwanyime raha maana mna mama mwenye nguvu na afya ndo maana mwili bado wahitaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi cha utuuzima sio kipindi cha mtu kua peke yake, ndio kipindi hasaa cha mtu kua na mwenza wake, kuna maradhi ya hapa na pale, kaumwa kiuno atawaita nyie watoto mumchue? Usiku kapaliwa mtakimbilia room kwake kutoa msaada? Lakini akiwa na mwenzie basi maisha yanaenda burudaaan kabisa,



Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Yani unaweza kuongea pumba kias hiki??


stidy
 
Mshaurini akawapangishie vyumba sehemu ili msione yanayoendelea au kama mnaona basi isiwe ni kila siku.
Maana isijekuwa nyumba yenyewe haina ceiling board halafu nyamaa nae ana jiandaa kwa game la kuheshimika na matokeo mnaambulia kelele zao tu.INAUMA.
Hameni tu hata kama ni kwenda kwa ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe ni mama pia? Bahati mbaya sana watoto hawana uwezo wa kuchagua wazazi wao!
Miaka 52 mnasema ana umri mkubwa!!?
Na nyie 24+ mna umri mdogo wa kuishi na mama hahaha
Bora ulivyokuja kwa ID nyingine maana unachekesha sana.

Miaka 52 aache kufurahia maisha ajibane kwa ajili yenu msiojua kutafuta vyenu,

Pathetic.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Naam mkuu. Huyu dogo hakutaka kuweka kila kitu wazi lakini inaonekna hali ndivyo ilivyo. Kusikia mama yako mzazi akiguna katika tendo hata iwe kwa sababu ya baba yako mzazi siyo kitu kizuri.
Mshaurini akawapangishie vyumba sehemu ili msione yanayoendelea au kama mnaona basi isiwe ni kila siku.
Maana isijekuwa nyumba yenyewe haina ceiling board halafu nyamaa nae ana jiandaa kwa game la kuheshimika na matokeo mnaambulia kelele zao tu.INAUMA.
Hameni tu hata kama ni kwenda kwa ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu,

Nimekuja na ID mpya ili kuficha utambulisho wangu wa awali ni kuomba msaada wa ushauri.

Naombeni ushauri na njia za kutatua tatizo hili.Ipo hivi kwenye tumbo la Mama yetu tulikuwa watoto 7 hadi Leo hii tupo 4. Katika watoto 7 tumezaliwa na Baba tofautitofauti 4. Katika hao baba zetu kuna moja wao ndio tumekuliwa kwake toka tukiwa wadogo badaye miaka 6 iliyopita Mama alitengana Nate.

Mama ni mtumishi wa umma, hivyo alinunua kiwanja na kujenga nyumba ambapo watoto wote 4 tuliongozana nae na kwenda kuishi nae, maana haikuwezekana kukaa tena kwa huyo baba mlezi sababu katika wathili.4 tuliobaki kati yetu 1 tu ndio mwanae kwahiyo ikabidi wote sisi sote tuongozane na mama. Ikumbuke kuwa katika sisi watoto 4, mtoto 1 hamjui baba yake wengine 2 Baba yao alifariki na mtoto 1 baba take ndio huyo aliyetulea.

Sisi sote miaka yetu ni 24+ na Mama yetu ni 52, jambo linalotusumbua ni kuwa Mama yetu ana mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu. Jamaa huyu huwa anakuja na kulala hapa nyumbani karibu kila siku; huwa anasitisha kuja pale ambapo kaka yetu mkubwa akija nyumbani.

Ndugu na marafiki wamejaribu kumshauri mama kuwa tayari umri umekwenda na ana vijana wakubwa anatakiwa kuacha mambo hayo pasipo mafanikio, haelezeki wala haambiwi chochote. Kwa sasa tumefunga chuo sababu ya hii CORONA nipo hapa home naona aibu kijiji kizima kinatuzungumza.

Kaka yangu mkubwa alijaribu kuongea na huyo bwana mwaka jana; kwa kweli jamaa alisitisha kama miezi 2 hivi pasipo kuonekana, badaye ratiba ikaanza kama kawaida nimemjulisha kaka atafute siku 3 nyumbani tusaidiane kutatua tatizo hili. Pia, kila tukimsuhi Mama kuacha hiyo tabia majibu anayotupa ni kuwa huu mji ni wake na hamna aliyemsaidia kujenga hivyo anafanya chochote atakacho.

Ndugu zangu wana JF, naombeni msaada wa mawazo namna ya kutatua tatizo hili.
Kina mama wa Singida wote ndivyo walivyo hata wewe ukikuwa utakuwa hivyo hivyo. Jasili haachi asili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu,

Nimekuja na ID mpya ili kuficha utambulisho wangu wa awali ni kuomba msaada wa ushauri.

Naombeni ushauri na njia za kutatua tatizo hili.Ipo hivi kwenye tumbo la Mama yetu tulikuwa watoto 7 hadi Leo hii tupo 4. Katika watoto 7 tumezaliwa na Baba tofautitofauti 4. Katika hao baba zetu kuna moja wao ndio tumekuliwa kwake toka tukiwa wadogo badaye miaka 6 iliyopita Mama alitengana Nate.

Mama ni mtumishi wa umma, hivyo alinunua kiwanja na kujenga nyumba ambapo watoto wote 4 tuliongozana nae na kwenda kuishi nae, maana haikuwezekana kukaa tena kwa huyo baba mlezi sababu katika wathili.4 tuliobaki kati yetu 1 tu ndio mwanae kwahiyo ikabidi wote sisi sote tuongozane na mama. Ikumbuke kuwa katika sisi watoto 4, mtoto 1 hamjui baba yake wengine 2 Baba yao alifariki na mtoto 1 baba take ndio huyo aliyetulea.

Sisi sote miaka yetu ni 24+ na Mama yetu ni 52, jambo linalotusumbua ni kuwa Mama yetu ana mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu. Jamaa huyu huwa anakuja na kulala hapa nyumbani karibu kila siku; huwa anasitisha kuja pale ambapo kaka yetu mkubwa akija nyumbani.

Ndugu na marafiki wamejaribu kumshauri mama kuwa tayari umri umekwenda na ana vijana wakubwa anatakiwa kuacha mambo hayo pasipo mafanikio, haelezeki wala haambiwi chochote. Kwa sasa tumefunga chuo sababu ya hii CORONA nipo hapa home naona aibu kijiji kizima kinatuzungumza.

Kaka yangu mkubwa alijaribu kuongea na huyo bwana mwaka jana; kwa kweli jamaa alisitisha kama miezi 2 hivi pasipo kuonekana, badaye ratiba ikaanza kama kawaida nimemjulisha kaka atafute siku 3 nyumbani tusaidiane kutatua tatizo hili. Pia, kila tukimsuhi Mama kuacha hiyo tabia majibu anayotupa ni kuwa huu mji ni wake na hamna aliyemsaidia kujenga hivyo anafanya chochote atakacho.

Ndugu zangu wana JF, naombeni msaada wa mawazo namna ya kutatua tatizo hili.
[/QUOTE
Junguzeni nani zuzu kati yao kama ni huyo mwanaume ishu mukide ila kama mama ndo zuzu nenda nae kwenye maombi
 
Nikisoma hizo comments kweli ni vema mtu kutulia.

Sasa hawa watoto wangu walivyo mibaunsa nikileta mwanaume humu ndani si watampiga mangumi.

Duuuu, aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajibu wa kawaida wa mzazi huo. Hata mnyama wa porini ananyonyesha, kama ni simba anafundisha watoto wake jinsi ya kuwinda halafu ndio wanajitegemea. Wazazi msichukulie kuwa mnawapa favor (upendeleo) fulani watoto wenu. Ni wajibu wa mzazi kuzaa na kulea. Watoto wote hao amezaa, tena na wanaume mbalimbali, wewe ulitaka nani awalee? Huo ni wajibu wake wa msingi. After all, mtoto haombi kuzaliwa.

Swala la maelezi ni swala linalowajibika kwa wazazi wote wawili na sio mmoja na endapo itatokea mmoja kusukumiziwa huo mzigo matokeo yake ndo tunaona wale watoto wa mtaani,mayatima,vichanga kutupwa.

Kwani hao wanaotelekeza watoto au kuwatupa hawajibu kwamba ni wajibu wao kulea na kuwatunza hao watoto?
 
Jibu - Wajibu ni kwa kila mzazi kulea watoto wake, akiwemo huyu mama anayeongelewa hapa. Watoto hawaombi kuzaliwa ma kutokuzaliwa.
Swala la maelezi ni swala linalowajibika kwa wazazi wote wawili na sio mmoja na endapo itatokea mmoja kusukumiziwa huo mzigo matokeo yake ndo tunaona wale watoto wa mtaani,mayatima,vichanga kutupwa.

Kwani hao wanaotelekeza watoto au kuwatupa hawajibu kwamba ni wajibu wao kulea na kuwatunza hao watoto?
 
Naam mkuu. Huyu dogo hakutaka kuweka kila kitu wazi lakini inaonekna hali ndivyo ilivyo. Kusikia mama yako mzazi akiguna katika tendo hata iwe kwa sababu ya baba yako mzazi siyo kitu kizuri.
Huyo dogo anaweza kumkaza Mama yake? Kama hawezi amuachie Anko aendelee kumkaza vizuri.
**News ingekua Kama Mama anakazwa na mwanae vinginevyo all the best kwa Mama mzaa chema
 
Habari zenu,

Nimekuja na ID mpya ili kuficha utambulisho wangu wa awali ni kuomba msaada wa ushauri.

Naombeni ushauri na njia za kutatua tatizo hili.Ipo hivi kwenye tumbo la Mama yetu tulikuwa watoto 7 hadi Leo hii tupo 4. Katika watoto 7 tumezaliwa na Baba tofautitofauti 4. Katika hao baba zetu kuna moja wao ndio tumekuliwa kwake toka tukiwa wadogo badaye miaka 6 iliyopita Mama alitengana Nate.

Mama ni mtumishi wa umma, hivyo alinunua kiwanja na kujenga nyumba ambapo watoto wote 4 tuliongozana nae na kwenda kuishi nae, maana haikuwezekana kukaa tena kwa huyo baba mlezi sababu katika wathili.4 tuliobaki kati yetu 1 tu ndio mwanae kwahiyo ikabidi wote sisi sote tuongozane na mama. Ikumbuke kuwa katika sisi watoto 4, mtoto 1 hamjui baba yake wengine 2 Baba yao alifariki na mtoto 1 baba take ndio huyo aliyetulea.

Sisi sote miaka yetu ni 24+ na Mama yetu ni 52, jambo linalotusumbua ni kuwa Mama yetu ana mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu. Jamaa huyu huwa anakuja na kulala hapa nyumbani karibu kila siku; huwa anasitisha kuja pale ambapo kaka yetu mkubwa akija nyumbani.

Ndugu na marafiki wamejaribu kumshauri mama kuwa tayari umri umekwenda na ana vijana wakubwa anatakiwa kuacha mambo hayo pasipo mafanikio, haelezeki wala haambiwi chochote. Kwa sasa tumefunga chuo sababu ya hii CORONA nipo hapa home naona aibu kijiji kizima kinatuzungumza.

Kaka yangu mkubwa alijaribu kuongea na huyo bwana mwaka jana; kwa kweli jamaa alisitisha kama miezi 2 hivi pasipo kuonekana, badaye ratiba ikaanza kama kawaida nimemjulisha kaka atafute siku 3 nyumbani tusaidiane kutatua tatizo hili. Pia, kila tukimsuhi Mama kuacha hiyo tabia majibu anayotupa ni kuwa huu mji ni wake na hamna aliyemsaidia kujenga hivyo anafanya chochote atakacho.

Ndugu zangu wana JF, naombeni msaada wa mawazo namna ya kutatua tatizo hili.
Pole sana.

Kile kitendo tu cha nyie kuzaliwa kila MTU na Baba yake ni tatizo tayari ambalo mnatakiwa mjuwe mama yenu anashida mahali.

Cha msingi na cha sekondari, mwacheni afanye anachotaka kufanya, ilimradi ni maisha yake.

Msiige tabia zake hata siku moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu - Wajibu ni kwa kila mzazi kulea watoto wake, akiwemo huyu mama anayeongelewa hapa. Watoto hawaombi kuzaliwa ma kutokuzaliwa.

Ni wajibu kwa wazaz wote wawili kulea watoto wao adi pale watakapofikia hatua ya kujitegemea labda itokee mzazi mmoja kufariki apo ndo tunasema wajibu utabakia kwa mzazi alie baki hai...

Pia ni wajibu watoto kuwahudumia wazazi wao pale wanapofikia hatua ya uzee.

So mtoto unapopata hudumu na mapenz mazur kutoka kwa wazaz au mzaz wako ni jambo la kushukuru sana kwani sio wote wanaopata hayo mapenzi,japo ni wajibu kwa mzazi kufanya hvyo.
 
Siku mwenye mke akaja mchambia hapo hapo [emoji8] daa, huyo kijana bado mwanachuo bado hao wadogo zake, kama kuna mabinti duu anawaambukiza tabia mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mano likwe likwe, ila kama ana mabinti wakiwa malaya ni wao tu, kuwa na mama malaya sio lazima na wao wawe hivyo
 
Back
Top Bottom