Naombeni ushauri: Kwa hali hii maamuzi ya kuuza nyumba yatakuwa sahihi?

Naombeni ushauri: Kwa hali hii maamuzi ya kuuza nyumba yatakuwa sahihi?

Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Fanya unachopenda na kila kitu ni sawa na kinaweza kuleta matunda makubwa ila usisahau majuto ni mjukuu

Na ndio maana wahenga walisema heri kenda shika kuliko kumi nenda uje

Sasa wewe uza kila ulichonacho halafu anza upya ndio utajua ya kuwa kwanini mabeberu walisema Roma haikujengwa siku moja
 
nsha nunua gari tatu sijawahi uziwa na dalali,,,,kwa hio sio kazi rahisi kwa upande wangu....rudi chini acha upredeshee fungulia mkeo hata genge msonge ukipata kibunda jaribu kubet huko kwenye udalali...mi nauonaga ni wizi na utapeli
 
Oya nyumba si yako uzaa...afuu chomoa kama milioni mbili njoo bar tuyajenge
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Kaka, maamuzi ya kuuza nyumba ni makubwa na yanahitaji uangalizi wa kina. Kitu cha kwanza ni kujiuliza je, hii nyumba ni mali isiyohamishika ambayo inaweza kuwa faida kwako baadaye? Kama ukiuza sasa na mpango wa biashara mpya usifanikiwe, utakuwa na kitu gani cha kuangalia nyuma? Pia, soko la magari lina changamoto zake, hasa ukiwa mpya kwenye hiyo sekta.

Ikiwa unaamini kweli kwamba kuuza nyumba kutaweza kusaidia katika kuwekeza kwenye biashara yenye faida, basi unaweza kufikiria kuendelea. Lakini hakikisha unafanya utafiti wa kina juu ya biashara ya magari, haswa kuhusu uagizaji kutoka Japan, ili ujue changamoto na faida zake. Pia, ongea na mtu mwenye uzoefu ili akupe mwongozo wa kina kwenye biashara hii mpya.

Jipe muda wa kutafakari na kuhakikisha kuwa una back-up plan iwapo mambo hayataenda kama ulivyopanga.
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Hii nyumba inathamani gani? Ukiuza unaweza kuagiza magari mangapi Toka japani? Nakushauri tulia utafute biashara TU ndogo na uendeshe maisha. Kubali kuishi maisha ya kawaida maana kama ulivyosema mambo yameyumba. Usipoikubali hiyo Hali inaweza kukugharimu zaid
 
Kama biashara umeifanyia utafiti wa kutosha , don't afraid to take risk .

Kikubwa usikurupuke.

Kuna MTU mmoja hapo amesema uendelee na udalali angalau mwaka mmoja then ukiona biashara imekubali itakuwa rahisi kuuza nyumba na kuwekeza katilka biashara unayoijua vzr.
 
Inaonekana unafanya mkumbo bila kutafakari. Hakuna mtu wanauza nyumbani kwenda kufanya biashara hata najijua haifahamu na hata kama anao fahamu nayo.
"life is an exam. People fail because they try to copy others but what they forget is that everyone has a different question paper"
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Usiuze nyumba kama unapata hela ya kuendesha maisha yako, pangisha hiyo nyumba ukipata hela ya kodi anzisha biashara kwa mtaji mdogo ikue taratibu, kidogokidogo ndiyo mwendo
 
Kuuza nyumba yatakuwa ni maamuzi ya haraka,hauna tofauti na mtu anayechukua mkopo akaanze biashara,ikiwa bado hajasoma upepo.
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Usiuze. Niliuza nyumba yangu kimasiala kama wewe, nikaongeza mtaji kwenye biashara yangu. Toka utawala wa Kikwete mpaka hivi leo sijawahi pata pesa kubwa ya kujenga nyumba kama ile na maeneo yale.
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Acha Mara moja,umeshakiri huna uzoefu na hiyo biashara,kuuza aset na kuwekeza kwenye biashara usiyoielewa vyema sii poa.
Nafikiri ujifunze hiyo biashara mdogomdogo then ufanye maamuzi baadae sana
 
Back
Top Bottom