Naombeni ushauri: Kwa hali hii maamuzi ya kuuza nyumba yatakuwa sahihi?

Naombeni ushauri: Kwa hali hii maamuzi ya kuuza nyumba yatakuwa sahihi?

Kuna madalali wengi tu hapo kinondoni na kwingine hawana ofisi wanachofanya ni kuyapost magari mitandaoni wanashinda bar kusubiri wateja.

Unaweza fanya hivyo.
 
Chakula, Malazi na Mavazi... Katika Udalali wako unapata pesa ya kula ? Sasa unataka kuuza basic need moja ili ufanye biashara ambayo hauna uhakika nayo ?

The only way itakuwa ni sawa kuuza hio nyumba ni iwapo utakachopata kitakupa nyumba nyingine sehemu ya kuishi na itabaki pesa ya kuzungusha kupata kipato...

Kuhama sio mbaya ila kama nyumba unaweza kuipangisha ofisi au kitu kingine fanya hivyo...

Wealthy sio kuwa na pesa kiasi kingi benki bali income ya kutosha na consistently......
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Huna uzoefu wa udalali wa kuuza magari halafu unataka kuuza nyumba utumie tobo ikiwa huna uzoefu?pata kwanza uzoefu halafu utajua kama hela yako itarudi.
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Usije ukauza nyumba kisa kuja kifanya kazi ambayo huna uhakika nayo Dar
Nyumba ni asset , ardhi ni asset hvii vitu vinatabia ya kupanda bei muda unavyokwenda nadra sana kukutaa vinashuka thamani
Okay umezungumzia udalali hi kazi unaweza kufanya bila kuuza nyumba ni wewe kuwa online (matumizi mazuri ya mitandao) na kutafta wateja
Dalali kwenye baishara yyte hana hasara maana yeye sio mwenye mali yeye ni kiunganishi kati ya mwenye mali na mteja
 
Kutoka South mpaka kuja kuwa dalali bongo..bonge la msamba.
Hii akili na yeye pia anayo, ndio mana anashindwa kuishi bongo,kabeba usouthusouth kichwani kiasi kuokota makopo apate pesa ya kuishi anaona jau, Wana watamcheka,, anataka biashara zenye hadhi ya kisouth south, ningemshauri kitu jamaa, atune, apunguze mahitaji na vipaumbele, aanzie chini, this time ajitahidi kutafuta Hela ya kula tu, watoto awapeleke shule za kawaida, atangaze Hali ngumu ya kiuchumi kwa wife ili wife nae ajiandae kisaikolojia , kama mke ana hofu ya Mungu atavuka kipindi hiki, mana mwanamke kama siyo mwelewa ni kazi kufuata ushauri wangu, wanapenda sifa sana wanawake
 
Hii akili na yeye pia anayo, ndio mana anashindwa kuishi bongo,kabeba usouthusouth kichwani kiasi kuokota makopo apate pesa ya kuishi anaona jau, Wana watamcheka,, anataka biashara zenye hadhi ya kisouth south, ningemshauri kitu jamaa, atune, apunguze mahitaji na vipaumbele, aanzie chini, this time ajitahidi kutafuta Hela ya kula tu, watoto awapeleke shule za kawaida, atangaze Hali ngumu ya kiuchumi kwa wife ili wife nae ajiandae kisaikolojia , kama mke ana hofu ya Mungu atavuka kipindi hiki, mana mwanamke kama siyo mwelewa ni kazi kufuata ushauri wangu, wanapenda sifa sana wanawake
Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom