Naombeni ushauri: Kwa hali hii maamuzi ya kuuza nyumba yatakuwa sahihi?

Naombeni ushauri: Kwa hali hii maamuzi ya kuuza nyumba yatakuwa sahihi?

Haifai kabisa usiuze mwaya jaribu kutafuta njia ingine why usiwe dalali tu wa magari ya mwenzako uwe unakusanya hela mpaka upate ya mzigo
Dada angu siuzi Tena
Nimeona hii changamoto ambayo ninayo Sasa nitaikabili Tu kivyovyote Na itapiata.

Huu Ni wakati wangu wa KATIKATI yaani nisonge mbele kwa kuvuka huu mstari au nishindwe nirudi nyuma.

Kwahiyo nimeona Ni Bora iwe machozi damu Na jasho lakini nivuke huu mstari.

Nimeumbwa MWANAUME kwahiyo inabidi nisifelishe kizazi changu yaani watoto wangu wasije kusikia baba yanu aliuza nyumba Kwa ugumu wa maisha nataka wasikie baba yenu alitaka kuuza nyumba zake Kwa ugumu wa maisha lakini alikomaa na hadi Leo hii nyumba zipo Na nyingine anazo huko Dar es salaam mlipo kulia.Mana hapa mkoani mliondoka mkiwa bado wadogo.
 
Dada angu siuzi Tena
Nimeona hii changamoto ambayo ninayo Sasa nitaikabili Tu kivyovyote Na itapiata.

Huu Ni wakati wangu wa KATIKATI yaani nisonge mbele kwa kuvuka huu mstari au nishindwe nirudi nyuma.

Kwahiyo nimeona Ni Bora iwe machozi damu Na jasho lakini nivuke huu mstari.

Nimeumbwa MWANAUME kwahiyo inabidi nisifelishe kizazi changu yaani watoto wangu wasije kusikia baba yanu aliuza nyumba Kwa ugumu wa maisha nataka wasikie baba yenu alitaka kuuza nyumba zake Kwa ugumu wa maisha lakini alikomaa na hadi Leo hii nyumba zipo Na nyingine anazo huko Dar es salaam mlipo kulia.Mana hapa mkoani mliondoka mkiwa bado wadogo.
Usiuze mwaya
 
Kwann usifanye mpango ukaongea na watu wa bank wakakupa mkopo mkubwa kuzid thaman ya nyumba yako

Lakin la pili ulichonacho ndo chako unaweza uza nyumba afu ukafika mkoa mambo yakagoma

Tatu na mwisho kua mkwel eleza ni mkoa gan unataka enda yaweza saidia wadau kujua ni ushauri gan wanakupa sabu unaweza ukasema ni mkoa x kumbe ni Arusha so ni bora ubakie dar kulko kuja arusha
 
Kwann usifanye mpango ukaongea na watu wa bank wakakupa mkopo mkubwa kuzid thaman ya nyumba yako

Lakin la pili ulichonacho ndo chako unaweza uza nyumba afu ukafika mkoa mambo yakagoma

Tatu na mwisho kua mkwel eleza ni mkoa gan unataka enda yaweza saidia wadau kujua ni ushauri gan wanakupa sabu unaweza ukasema ni mkoa x kumbe ni Arusha so ni bora ubakie dar kulko kuja arusha
Hapana it's the same and it is a bad idea
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Kama nyumba haipo dsm uzaaaa
 
Kwann usifanye mpango ukaongea na watu wa bank wakakupa mkopo mkubwa kuzid thaman ya nyumba yako

Lakin la pili ulichonacho ndo chako unaweza uza nyumba afu ukafika mkoa mambo yakagoma

Tatu na mwisho kua mkwel eleza ni mkoa gan unataka enda yaweza saidia wadau kujua ni ushauri gan wanakupa sabu unaweza ukasema ni mkoa x kumbe ni Arusha so ni bora ubakie dar kulko kuja arusha
Kwa sasa naishi Dar es salaam lakini nyumba zipo mkoa X.

Yaani nimetoka huko nimekuja Dar kutafuta
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
nyumba ina hati?

ichukulie mkopo bank ifanye kua lodge umalaya wa watu unalipa mikopo yako ya bank ukiendelea na udalali wako mkuu

lakini ushauri sio lazima ukiona vipi uza nyumba yako
 
Mimi ni baba wa watoto watatu Na mke mmoja Nina miaka 34.

Mtoto wa Kwanza ni kwa mwanamke wa Kwanza na Hawa wawili ni kwa mke niliyenae sasa ambaye naishi nae hapa nyumbani.

Nimezaliwa Na kukulia mkoa X, nimekuja Dar kutafuta Maisha lakini mji huu unahitaji uwekezaji Na connection Za biashara.

Nina nyumba yenye uwanja mkubwa, nimeijenga baada ya kwenda South Africa lakini Kwa sasa Maisha ni magumu Sana South Africa kwahiyo nikachukuwa jukumu la kurudi nyumbani.

Nilianzisha biashara ya Duka la spear za pikipiki mkoa niliozaliwa lakini Ile biashara ilikuja kufa kabisa nikaamua kuuza ili nipate Kodi ya kuja kuanza Maisha Dar es salaam.

Nimepata rafiki ambaye yeye anauza magari yake kwahiyo Mimi nikaanza Kazi ya udalali WA kuuza magari lakini Sina uzoefu hii Kazi ya udalali WA magari.

Maamuzi yangu Ni kuuza nyumba Na kuondoka mkoa X kabisa na pesa ambayo nitaipata natumia hili tobo la huyu rafiki yangu kwajili ya kununua MAGARI japani Na kuuza hapa nyumbani.

Naombe ushauri wenu wadau maamuzi ya kuuza nyumba Ni mazuri kweli ama hapana.?
Mie nataka unambie thamani ya hio nyumba kabla ya kutoa ushauri wowote. Ila kwa kifupi tu usiogope maisha uza tu hio nyumba.
KUMBUKA: Ukijenga nyumba na wewe ukaishi humo na haikuingizii chochote, hio ni LIABILITY SIO ASSET.
Kama hio nyumba ina thamani ya kuanzia million 50 na kuendelea iuze halafu kupitia bank yako nunua "bonds" za BOT kama million 40 hivi ili kila mwezi uwe unapata magao wako wa hata laki 5 na hio 10m ilobaki fanya hio biashara huku ukiwa na uhakika wa kipato toka BOT. Maisha ni ku take risk usiogope bado uko kijana 34 years old.
 
Back
Top Bottom