Naombeni ushauri: Mama wa kambo anauza mali za baba

Naombeni ushauri: Mama wa kambo anauza mali za baba

Mkimuyangu

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
1,054
Reaction score
1,947
Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.

Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.

Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.

Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza arudi kwao zenji atuache mikono mitupu.

Naombeni ushauri tufanye nini?
 
Mama wa kambo wengi wao huwa wako kwenye familia zetu kimkakati.

Unatakiwa uwe na uwezo wa hali ya juu kuzisoma saikorojia zao, na wengi wao wakiaminiwa huwa wanazivuruga familia kwa kuleta migogoro ya hapa na pale ili familia isiwe na umoja wa sababu wanajuwa familia ikiwa na umoja yeye hana chake pale refer familia ya mengi.

Yule mama alikuwa haelewani na watoto wakubwa wa marehemu mengi toka kitambo na sio kwamba wale watoto wa mengi walikuwa hawampendi mama yao wa kambo la hasha!

Ni yeye ndie alikuwa akiingiza migogoro ya hapa na pale ili kuivuruga familia isiwe kitu kimoja.

Unachotakiwa ni kuishi nae kimkakati na kwa tahadhari zaidi kwa sababu akigundua umejua mambo yake hachelewi kukumaliza kwa style yoyote, anaweza hata kukutengenezea kesi uende jela ili upotee huko kuwa makini kijana
 
Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu, baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu, ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu, ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai.

Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi, bahati mbaya kafariki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha.

Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo, mpaka atakapopatikana mrithi kamili. Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani, na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa.

Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza aludi kwao zenji atuache mikono mitupu.

Naombeni ushauri tufanye nini?
muueni tu hakuna namna
 
Iko hivi mimi ni mtoto wa katikati katika familia yetu,baba alirithi mali kutoka kwa mababu zetu,ingawa baadhi ya mababu zetu wengine walivuja sana mali za marehemu babu,ingawa wengine walishakufa na wawili wangali hai

Baba yangu mzazi na mimi yeye alikuwa na uchungu sana na mali za baba yake yaani babu yangu na mimi,bahati mbaya kafaliki mwaka juzi katika mazingira ya kutatanisha

Sasa kikao cha familia kilimuamini mama ili aweze kushikilia mali za ukoo,mpaka atakapopatikana mrithi kamili,Kuja kustuka nahisi mama anauza mali za familia akishirikiana na madalali hapa mtaani,na kibaya mama siyo kabila moja na baba na wala siyo wa huu mkoa

Tunahisi akishamaliza kuuza atatutelekeza aludi kwao zenji atuache mikono mitupu

Naombeni ushauri tufanye nini?
Mali za baba ako ni za mke wake na watoto chini ya miaka 18, Tafuta zako....
 
Mama wa kambo wengi wao huwa wako kwenye familia zetu kimkakati...unatakiwa uwe na uwezo wa hali ya juu kuzisoma saikorojia zao, na wengi wao wakiaminiwa huwa wanazivuruga familia kwa kuleta migogoro ya hapa na pale ili familia isiwe na umoja ...kwa sababu wanajuwa familia ikiwa na umoja yeye hana chake pale refer familia ya mengi, yule mama alikuwa haelewani na watoto wakubwa wa marehemu mengi toka kitambo na sio kwamba wale watoto wa mengi walikuwa hawampendi mama yao wa kambo la hasha! Ni yeye ndie alikuwa akiingiza migogoro ya hapa na pale ili kuivuruga familia isiwe kitu kimoja.......unachotakiwa ni kuishi nae kimkakati na kwa tahadhari zaidi kwa sababu akigundua umejua mambo yake hachelewi kukumaliza kwa style yoyote, anaweza hata kukutengenezea kesi uende jela ili upotee huko kuwa makini kijana
sasa, kama kaona kuna opportunity kwanini usikae kimkakati? kwa mwanadamu wa kawaida tu yaani. hata ungekuwa wewe.
 
Ila kumbuka anasaidiwa na babu zako ambao bado wako hai na jana walikua na kikao kwenye nyumba ya familia wamesema hizi mali lazima ziuzwe ata mfanyeje
 
Zama Burundi hapo kuna mijegeje yakumwaga

Kisha rudi, mvizie maana anatembea sana, kisha JFK, afu Lee Osward
 
Mali za baba ako ni za mke wake na watoto chini ya miaka 18, Tafuta zako....
sio lazima zote ziwe za mke wake, na amesema babake alikufa, that means soon after death ilitakiwa mirathi ifunguliwe ili mali za marehemu zigawanywe. hazikugawanywa. kwenye kuorodhesha mali ndio wangechagua zipi ni za baba peke yake na zipi wanashare na mama. yeye amekuja kwamba anazozisemea ni za baba yake. wewe ni nani umbishie?
 
Code Unlocked.
Kikao cha Ukoo cha baba zako wadogo walishiriki na wameridhia mali ziuzwe. Kikubwa Ungana na watu wema wanaopaza sauti kutetea mali za baba yako jitolee kwa jasho na damu kutetea mali za ukoo wako.
Kwa Nguvu moja tutasshinda Daima nyuma mwiko💪
 
Back
Top Bottom